Wenje ahoji utekelezaji maazimio ya Bunge
NA MAREGESI PAUL, DODOMA
MBUNGE wa Nyamagana, Ezekiah Wenje (Chadema), amehoji sababu ya ratiba ya Bunge la 18 lililoanza jana mjini hapa, kutoonyesha kama Serikali itawasilisha ripoti ya utekelezaji wa maazimio manane ya Bunge juu ya fedha zilizochotwa katika Akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Wenje alitoa kauli hiyo jana baada ya kuomba mwongozo wa spika, akihoji utekelezaji wa maazimio hayo yaliyopendekezwa na Bunge lililopita.
“Mheshimiwa Spika, ukiangalia...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi02 Dec
Utekelezaji maazimio ya Bunge uanze sasa
10 years ago
Habarileo01 Jan
Serikali yajibu pingamizi la utekelezaji wa maazimio ya Bunge
SERIKALI imewasilisha pingamizi la awali dhidi ya ombi la kupinga utekelezaji wa maazimio manane ya Bunge kuhusu sakata la akaunti ya Tegeta Escrow.
10 years ago
Mwananchi24 Sep
Tofauti za sheria EAC zinavyovuruga utekelezaji wa maazimio
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Mbunge ahoji utekelezaji ahadi kwenye kampeni
MBUNGE wa Viti Maalumu, Pauline Gekul (CHADEMA), ameihoji serikali kama ni halali kwa mgombea kutekeleza ahadi alizozitoa siku za nyuma wakati kampeni zikiendelea katika uchaguzi mdogo. Akiuliza swali bungeni jana,...
11 years ago
Tanzania Daima22 May
Barwany ahoji utekelezaji mpango wa Southern Corridor
MBUNGE wa Lindi Mjini, Salum Barwany (CUF), ametaka kujua kama Bunge limesharidhia kuwepo kwa mpango wa Southern Corridor na kama ulipelekwa utekelezaji wake ukoje. Barwany alihoji hatua hiyo bungeni jana...
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Kesi ya IPTL kupinga maazimio ya Bunge leo
10 years ago
Mwananchi03 Dec
Kikwete ana wakati mgumu akijaribu kupuuza maazimio ya Bunge
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Bunge laahirishwa mara mbili kutafuta mwafaka maazimio ya PAC
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Mbunge ahoji mawasiliano baina ya Bunge la E.A na la Muungano