Serikali yajibu pingamizi la utekelezaji wa maazimio ya Bunge
SERIKALI imewasilisha pingamizi la awali dhidi ya ombi la kupinga utekelezaji wa maazimio manane ya Bunge kuhusu sakata la akaunti ya Tegeta Escrow.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania28 Jan
Wenje ahoji utekelezaji maazimio ya Bunge
NA MAREGESI PAUL, DODOMA
MBUNGE wa Nyamagana, Ezekiah Wenje (Chadema), amehoji sababu ya ratiba ya Bunge la 18 lililoanza jana mjini hapa, kutoonyesha kama Serikali itawasilisha ripoti ya utekelezaji wa maazimio manane ya Bunge juu ya fedha zilizochotwa katika Akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Wenje alitoa kauli hiyo jana baada ya kuomba mwongozo wa spika, akihoji utekelezaji wa maazimio hayo yaliyopendekezwa na Bunge lililopita.
“Mheshimiwa Spika, ukiangalia...
10 years ago
Mwananchi02 Dec
Utekelezaji maazimio ya Bunge uanze sasa
11 years ago
Habarileo05 Sep
Serikali yaweka pingamizi kesi ya Bunge la Katiba
UPANDE wa Jamhuri umewasilisha pingamizi dhidi ya ombi la kusimamishwa kwa vikao vya Bunge Maalumu la Katiba vinavyoendelea mjini Dodoma, lililofunguliwa na Mwandishi wa Habari, Said Kubenea.
10 years ago
Mwananchi24 Sep
Tofauti za sheria EAC zinavyovuruga utekelezaji wa maazimio
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Kesi ya IPTL kupinga maazimio ya Bunge leo
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Bunge laahirishwa mara mbili kutafuta mwafaka maazimio ya PAC
10 years ago
Mwananchi03 Dec
Kikwete ana wakati mgumu akijaribu kupuuza maazimio ya Bunge
11 years ago
Michuzi16 Jun
5 years ago
BBCSwahili17 May
Virusi vya corona: Serikali ya Tanzania yajibu hatua ya Kenya kufunga mpaka wake na taifa hilo