Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utekelezaji maazimio ya Bunge uanze sasa

Pamoja na ukweli kwamba sakata la kashfa ya akaunti ya Tegeta Escrow kuhusu uchotwaji wa zaidi ya Sh306 bilioni zilizokuwa zimewekwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) halijafikia ukingoni,

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Wenje ahoji utekelezaji maazimio ya Bunge

NA MAREGESI PAUL, DODOMA
MBUNGE wa Nyamagana, Ezekiah Wenje (Chadema), amehoji sababu ya ratiba ya Bunge la 18 lililoanza jana mjini hapa, kutoonyesha kama Serikali itawasilisha ripoti ya utekelezaji wa maazimio manane ya Bunge juu ya fedha zilizochotwa katika Akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Wenje alitoa kauli hiyo jana baada ya kuomba mwongozo wa spika, akihoji utekelezaji wa maazimio hayo yaliyopendekezwa na Bunge lililopita.
“Mheshimiwa Spika, ukiangalia...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yajibu pingamizi la utekelezaji wa maazimio ya Bunge

SERIKALI imewasilisha pingamizi la awali dhidi ya ombi la kupinga utekelezaji wa maazimio manane ya Bunge kuhusu sakata la akaunti ya Tegeta Escrow.

 

9 years ago

Mwananchi

Tofauti za sheria EAC zinavyovuruga utekelezaji wa maazimio

Tunaweza kuwa na maazimio mazuri yanayolenga kuharakisha maendeleo miongoni mwa wanachama, lakini kama yanakinzana na taratibu walizojiweka watu, inakuwa kama mtu anayetwanga maji kwenye kinu akitarajia atapata unga

 

10 years ago

Mwananchi

Kesi ya IPTL kupinga maazimio ya Bunge leo

Kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na Kampuni za IPTL, Pan Africa Power Solutions(T) Limited na Harbinder Singh Seth katika Mahakama Kuu ya Tanzania kupinga maazimio ya Bunge kuhusu Akaunti ya Tegeta Escrow, itaanza kusikilizwa leo baada ya kupangiwa majaji watatu.

 

10 years ago

Mwananchi

Kikwete ana wakati mgumu akijaribu kupuuza maazimio ya Bunge

Maazimio ya Bunge yalimtaka Rais kuwawajibisha wote waliotajwa kuhusika na kashfa ya escrow, uamuzi ambao upo mikononi mwa Rais Kikwete

 

10 years ago

Mwananchi

Bunge laahirishwa mara mbili kutafuta mwafaka maazimio ya PAC

Bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania limeongeza muda wake na kusitisha vikao vyake mara mbili ili kutafuta muafaka juu ya andikaji wa maazimio yatakayotumiwa kuwawajibisha wale wote waliohusika na kashfa ya Escrow.

 

10 years ago

GPL

BUNGE LAAHIRISHWA BAADA YA WABUNGE KUPINGA BAADHI YA MAAZIMIO YA KUWALINDA WATUHUMIWA WA SAKATA LA ESCROW

MAAZIMIO
Pendekezo la kwanza la kumkamata na kumfilisi bwana Seth lina marekebisho ya serikali, naibu waziri wa Sheria anasema haiwezekani Pendekezo la pili kuhusu Rugemalira, serikali imeweka marekebisho kuhusu uhalali wa pesa za Rugemalira alizogawa Azimio la TATU limerekebishwa kuwa waliopokea pesa wachunguzwe na kuchukuliwa hatua mahususi kwa mujibu wa sheria Pendekezo la NNE. Kamati inazitaka mamlaka...

 

10 years ago

Mwananchi

Sera ya Elimu safi, sasa utekelezaji

Rais Jakaya Kikwete juzi alizindua rasmi Sera ya Elimu na Mafunzo ya 2014 ambayo inatarajiwa kuwa dira ya maendeleo ya elimu kwa kipindi cha miaka kadhaa ijayo.

 

10 years ago

Vijimambo

HAYA NDIO BAADHI YA MAAZIMIO YALIYOSABABISHA BUNGE KUAHIRISHWA KWA KUPINGA BAADHI YA MAADHIMIO YA KUWALINDA WATUHUMIWA WA SAKATA LA ESCROW



MAAZIMIO
Pendekezo la kwanza la kumkamata na kumfilisi bwana Seth lina marekebisho ya serikali, naibu waziri wa Sheria anasema haiwezekani

Pendekezo la pili kuhusu Rugemalira, serikali imeweka marekebisho kuhusu uhalali wa pesa za Rugemalira alizogawa

Azimio la TATU limerekebishwa kuwa waliopokea pesa wachunguzwe na kuchukuliwa hatua mahususi kwa mujibu wa sheria

Pendekezo la NNE. Kamati inazitaka mamlaka kuzitangaza benki za Mkombozi na Stanbic kama asasi za utakatishaji fedha
Azimio la 4...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani