Tofauti za sheria EAC zinavyovuruga utekelezaji wa maazimio
Tunaweza kuwa na maazimio mazuri yanayolenga kuharakisha maendeleo miongoni mwa wanachama, lakini kama yanakinzana na taratibu walizojiweka watu, inakuwa kama mtu anayetwanga maji kwenye kinu akitarajia atapata unga
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania28 Jan
Wenje ahoji utekelezaji maazimio ya Bunge
NA MAREGESI PAUL, DODOMA
MBUNGE wa Nyamagana, Ezekiah Wenje (Chadema), amehoji sababu ya ratiba ya Bunge la 18 lililoanza jana mjini hapa, kutoonyesha kama Serikali itawasilisha ripoti ya utekelezaji wa maazimio manane ya Bunge juu ya fedha zilizochotwa katika Akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Wenje alitoa kauli hiyo jana baada ya kuomba mwongozo wa spika, akihoji utekelezaji wa maazimio hayo yaliyopendekezwa na Bunge lililopita.
“Mheshimiwa Spika, ukiangalia...
10 years ago
Mwananchi02 Dec
Utekelezaji maazimio ya Bunge uanze sasa
10 years ago
Habarileo01 Jan
Serikali yajibu pingamizi la utekelezaji wa maazimio ya Bunge
SERIKALI imewasilisha pingamizi la awali dhidi ya ombi la kupinga utekelezaji wa maazimio manane ya Bunge kuhusu sakata la akaunti ya Tegeta Escrow.
10 years ago
VijimamboKITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU CHAZUNGUMZIA CHANGAMOTO ZA UTEKELEZAJI WA SHERIA YA KURA YA MAONI YA KATIBAâ€
KITUO cha Sheria na Haki za...
10 years ago
GPLKITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU CHAZUNGUMZIA CHANGAMOTO ZA UTEKELEZAJI WA SHERIA YA KURA YA MAONI YA KATIBA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-myAzHbARpL0/XsE-sf--kAI/AAAAAAALqj4/J7ZtXz37qO4BMQ_7wxexy7gIyEEEMOj3ACLcBGAsYHQ/s72-c/image1170x530cropped.jpg)
USIMAMIZI NA UTEKELEZAJI WA SHERIA KUYAWEKA SALAMA MAZINGIRACYETU
MAZINGIRA yanatajwa kuwa ni mojawapo ya chanzo kuu cha maendeleo ya sekta zote za uzalishaji mali na ukuaji uchumi wa taifa lolote duniani na hivyo kuwa rasilimali muhimu kwa ajili ya mahitaji ya sasa na vizazi vijavyo. Katika miaka ya hivi karibuni imedhihirika kuwa mazingira yetu si salama kutokana na shughuli zisizo endelevu zinavyochangia kwa kiasi kikubwa katika uharibifu wa mazingira na kusababisha uharibifu wa ardhi, uchafuzi wa mazingira...
10 years ago
Habarileo03 Apr
Wabunge wataka utekelezaji sheria uhalifu wa mtandao
WABUNGE wamekemea vitendo vilivyokithiri vya uhalifu wa mtandao nchini, na kutaka Muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao wa mwaka 2015, uliopitishwa, Sheria yake itumike ipasavyo, ili kudhibiti uhalifu huo wa mtandao.
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/06/Mmoja-wa-washiriki-wa-mjadala-wa-wazi-akichangia-mada.jpg)
WASHAURI KUUNDWA SHERIA KUSIMAMIA UTEKELEZAJI WA BAJETI
5 years ago
MichuziOSHA, WENYE VIWANDA WAJADILI UTEKELEZAJI WA SHERIA YA AFYA NA USALAMA KAZINI
Ujumbe huo wa viongozi kutoka CTI ambao ulijumuisha baadhi ya wawakilishi wa wanachama wa CTI uliongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa shirikisho hilo, Bw. Leodgar Tenga.Akizungumza baada ya kuhitimisha kikao hicho, Tenga amesema madhumuni ya kikao yalikuwa ni...