Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tofauti za sheria EAC zinavyovuruga utekelezaji wa maazimio

Tunaweza kuwa na maazimio mazuri yanayolenga kuharakisha maendeleo miongoni mwa wanachama, lakini kama yanakinzana na taratibu walizojiweka watu, inakuwa kama mtu anayetwanga maji kwenye kinu akitarajia atapata unga

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Wenje ahoji utekelezaji maazimio ya Bunge

NA MAREGESI PAUL, DODOMA
MBUNGE wa Nyamagana, Ezekiah Wenje (Chadema), amehoji sababu ya ratiba ya Bunge la 18 lililoanza jana mjini hapa, kutoonyesha kama Serikali itawasilisha ripoti ya utekelezaji wa maazimio manane ya Bunge juu ya fedha zilizochotwa katika Akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Wenje alitoa kauli hiyo jana baada ya kuomba mwongozo wa spika, akihoji utekelezaji wa maazimio hayo yaliyopendekezwa na Bunge lililopita.
“Mheshimiwa Spika, ukiangalia...

 

10 years ago

Mwananchi

Utekelezaji maazimio ya Bunge uanze sasa

Pamoja na ukweli kwamba sakata la kashfa ya akaunti ya Tegeta Escrow kuhusu uchotwaji wa zaidi ya Sh306 bilioni zilizokuwa zimewekwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) halijafikia ukingoni,

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yajibu pingamizi la utekelezaji wa maazimio ya Bunge

SERIKALI imewasilisha pingamizi la awali dhidi ya ombi la kupinga utekelezaji wa maazimio manane ya Bunge kuhusu sakata la akaunti ya Tegeta Escrow.

 

10 years ago

Vijimambo

KITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU CHAZUNGUMZIA CHANGAMOTO ZA UTEKELEZAJI WA SHERIA YA KURA YA MAONI YA KATIBA‏

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk.Hellen Kijo-Bisimba (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam wakati akitoa taarifa kuhusu changamoto za utekelezaji wa sheria ya kura ya maoni ya Katiba. Kulia ni Mratibu wa Katiba wa LHRC, Anna Henga na Mkurugenzi wa Fedha na Utawala, Ezekiel Massanja.Wanahabari wakichukua taarifa hiyoWapiga picha na wanahabari kutoka vyombo mbalimbali wakichukua taarifa hiyo.
KITUO cha Sheria na Haki za...

 

10 years ago

GPL

KITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU CHAZUNGUMZIA CHANGAMOTO ZA UTEKELEZAJI WA SHERIA YA KURA YA MAONI YA KATIBA‏

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk.Hellen Kijo-Bisimba (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam wakati akitoa taarifa kuhusu changamoto za utekelezaji wa sheria ya kura ya maoni ya Katiba. Kulia ni Mratibu wa Katiba wa LHRC, Anna Henga na Mkurugenzi wa Fedha na Utawala, Ezekiel Massanja.… ...

 

5 years ago

Michuzi

USIMAMIZI NA UTEKELEZAJI WA SHERIA KUYAWEKA SALAMA MAZINGIRACYETU

Na Ismail Ngayonga,MAELEZO-DAR ES SALAAM

MAZINGIRA yanatajwa kuwa ni mojawapo ya chanzo kuu cha maendeleo ya sekta zote za uzalishaji mali na ukuaji uchumi wa taifa lolote duniani na hivyo kuwa rasilimali muhimu kwa ajili ya mahitaji ya sasa na vizazi vijavyo. Katika miaka ya hivi karibuni imedhihirika kuwa mazingira yetu si salama kutokana na shughuli zisizo endelevu zinavyochangia kwa kiasi kikubwa katika uharibifu wa mazingira na kusababisha uharibifu wa ardhi, uchafuzi wa mazingira...

 

10 years ago

Habarileo

Wabunge wataka utekelezaji sheria uhalifu wa mtandao

mbunge wa Pangani, Saleh Pamba WABUNGE wamekemea vitendo vilivyokithiri vya uhalifu wa mtandao nchini, na kutaka Muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao wa mwaka 2015, uliopitishwa, Sheria yake itumike ipasavyo, ili kudhibiti uhalifu huo wa mtandao.

 

11 years ago

GPL

WASHAURI KUUNDWA SHERIA KUSIMAMIA UTEKELEZAJI WA BAJETI

Mmoja wa washiriki wa mjadala wa wazi akichangia mada. Mmoja wa washiriki akichangia mada kwenye mjadala wa wazi. Baadhi ya washiriki wa mjadala kutoka asasi anuai wakifuatilia mada. Baadhi ya washiriki wa mjadala kutoka asasi anuai wakifuatilia mada. Washiriki wa mjadala. Mwakilishi wa asasi ya Network for Vulnerables Rescue Foundation… ...

 

5 years ago

Michuzi

OSHA, WENYE VIWANDA WAJADILI UTEKELEZAJI WA SHERIA YA AFYA NA USALAMA KAZINI

Viongozi wa Shirikisho la Wenye Viwanda (CTI) wametembelea ofisi za Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kwa lengo la kujadiliana na wenyeji wao namna bora zaidi ya kuboresha mifumo ya usalama na afya katika viwanda hapa nchini.

Ujumbe huo wa viongozi kutoka CTI ambao ulijumuisha baadhi ya wawakilishi wa wanachama wa CTI uliongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa shirikisho hilo, Bw. Leodgar Tenga.Akizungumza baada ya kuhitimisha kikao hicho, Tenga amesema madhumuni ya kikao yalikuwa ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani