Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda akabidhiwa taarifa ya mapigano

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amekabidhiwa taarifa ya chanzo cha mapigano baina ya wakulima na wafugaji wilayani hapa, Mkoa wa Manyara inayowataja watu 58 wanaomiliki zaidi ya hekta 70,000 katika Hifadhi ya Jamii Emburey Murtangos.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Pinda atoa suluhisho la mapigano Kiteto

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amewataka wakazi wa Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, wanaolima kwenye Hifadhi ya Jamii ya Emboley Murtangos, waridhie amri iliyotolewa na Mahakama ya Rufaa ya kuwataka waondoke kwenye eneo hilo wakati Serikali ikitafuta ufumbuzi wa suala la wapi watakwenda.

 

9 years ago

StarTV

  Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhiwa Ofisi,  Pinda amtaka kuimarisha ufuatiliaji maagizo

 

Waziri mkuu mstaafu Mizengo Pinda amekabidhi ofisi kwa Waziri Mkuu Majaliwa Kasim Majaliwa.

Mheshimiwa Pinda amemtaka Waziri Mkuu Majaliwa kuimarisha ufuatiliaji wa maelekezo anayoyatoa kwenda ngazi za chini.

Akizungumza wakati wa makabidhiano yaliyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Waziri Mkuu Magogoni jijini Dar es Salaam, Pinda amesema katika kipindi cha uongozi wake kulikuwa na ucheleweshaji wa kupata majibu kutoka ngazi ya chini katika maelekezo aliyokuwa akitoa.

Amemtaka...

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda apokea taarifa ya mkoa wa Katavi

IMGL6122

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Dkt. Ibrahim Mzengi wakati aliposoma taarifa fupi ya mkoa huo baada ya Waziri Mkuu kuwasili Mpanda mkoani Katavi kwa mapumziko mafupi  Julai 15, 2015. Kushoto ni Katibu Tawala wa mkoa huo, Mhandisi Emmanuel Kalobelo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU PINDA APOKEA TAARIFA YA MKOA WA KATAVI

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Dkt. Ibrahim Mzengi wakati aliposoma taarifa fupi ya mkoa huo baada ya Waziri Mkuu kuwasili Mpanda mkoani Katavi kwa mapumziko mafupi Julai 15, 2015. Kushoto ni Katibu Tawala wa mkoa huo, Mhandisi Emmanuel Kalobelo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda apokea taarifa ya ujenzi wa wodi ya watoto — Sumbawanga

IMGS6550

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Madaktari, wauguzi na viongozi wa Hospitali Teule ya Wilaya ya Sumbawanga ya Doctor  Atiman  wakati alipokagua ujenzi wa wodi ya watoto katika hospitali hiyo Oktoba 11, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

IMGS6552

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza baadhi ya wagonjwa wakati alipotembelea hospitali Teule ya Wilaya ya Sumbawanga ya Doctor Atiman wakati alipkagua ujenzi wa wodi ya watoto katika hospitali hiyo Oktoba 11, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano yazuka Msumbiji

Mapigano mapya kati ya vikosi vya serikali na wapiganaji wa chama cha upinzani cha Renamo yameripotiwa nchini Msumbiji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mapigano Loliondo yaua 11

MAPIGANO ya kuwindana yanayotokana na mgogoro wa ardhi unaohusisha makabila ya Sonjo na Maasai katika tarafa za Sale na Loliondo, wilayani Ngorongoro, Arusha hadi sasa yameshaua wananchi 11. Akizungumza katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Filamu za mapigano kushindanishwa

FILAMU za Kitanzania zinazoonyesha mchezo wa mapambano zimeingizwa kwenye shindano la Action & Cut Viewers Choice Award 2013 ambalo fainali zake zitakuwa Machi 10, jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano Ukingo wa magharibi

Hali ya wasiwasi iliyoikumba Israel na Ukingo wa magharibi imeongezeka baada ya mashambulio kadhaa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani