Pinda azungumza na Watanzania Japan
NA MWANDISHI WETU, TOKYO
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amesema mauaji ya albino yanayojirudiarudia nchini yanachafua heshima na jina la Tanzania kwa kuwa yanakwenda kinyume na haki za binadamu.
Akizungumza na Watanzania wanaoishi Japan kwenye ubalozi wa Tanzania jijini Tokyo juzi, Pinda alisema kukosekana kwa hofu ya Mungu na elimu kwa baadhi ya watu nchini ndiyo chanzo cha mauaji hayo.
Alisema binadamu yeyote anayemwamini Mungu na kushika maagizo yake hawezi kudanganyika wala kushawishika...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMH. PINDA AZUNGUMZA NA WATANZANIA LONDON
11 years ago
Dewji Blog14 Jul
Pinda azungumza na Watanzania London
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akitia saini kitabu cha wageni baada ya kuwasili kwenye ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza uliopo mjini London kabla ya kuzungumza na watanzania Julai 11, 2014. Kushoto ni Mkewe Tunu na kulia ni Kaimu Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Carol Chipeta. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Baadhi ya Watanzania waliohudhuria mkutano kati yao na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kwenye ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza uliopo mjini Londoni Julai 11, 2014...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KAUavBusnT0/VFIpeBNORjI/AAAAAAAGuKo/BLI2MY4soXs/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
PINDA AZUNGUMZA NA WATANZANIA WAISHIO OMAN
![](http://4.bp.blogspot.com/-KAUavBusnT0/VFIpeBNORjI/AAAAAAAGuKo/BLI2MY4soXs/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zxl8Yt4IeaE/VFIozdrCgwI/AAAAAAAGuKI/4qzQIaI9wEE/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-gZfOZseSK6c/VFIozmAHiOI/AAAAAAAGuKM/OBWPz8mP2R4/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
10 years ago
VijimamboWAZIRI MKUU MH. PINDA AZUNGUMZA NA WATANZANIA LONDON
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WR_yoC4qSBU/VJ1pNdYO--I/AAAAAAAG56s/zOSYtGsKlUU/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
PINDA AZUNGUMZA NA VIJANA WA MLELE
![](http://1.bp.blogspot.com/-WR_yoC4qSBU/VJ1pNdYO--I/AAAAAAAG56s/zOSYtGsKlUU/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
10 years ago
Dewji Blog05 Feb
PINDA azungumza na viongozi wa dini
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza katika kikao cha viongozi wa dini cha mashauriano kilichofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam Februari 3, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza katika kikao cha mashauriano cha viongozi wa dini kilichofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifafa cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam Februari 3, 2015. Kulia ni ni Sheikh wa Mkoa wa Dar es salaam ,Alhad...
11 years ago
Michuzi13 Feb
PINDA AZUNGUMZA NA WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO NA MIKOANI
10 years ago
Dewji Blog29 Oct
Pinda azungumza na Naibu Waziri Mkuu wa Oman
Waziri mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Naibu Waziri Mkuu wa Oman , Mhe. Sayyid Fahad Mahmoud El Said kabla ya mazungumzo yao rasmi ya kiserikali kwenye Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu wa Oman mjini Muscat Oktoba 28, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Viongozi wa serikali ya Oman kabla ya mazungumzo yake rasmi ya kiserikali na Naibu Waziri Mkuu wa nchi hiyo , Sayyid Fahad Mahmoud Al- Said kwenye Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu wa Oman mjini...
10 years ago
Dewji Blog14 Mar
Pinda ahutubia mkutano wa maafa Japan
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza katika mkutano wa tatu wa dunia kuhusu upunguzaji wa hatari ya majanga duniani uliofanyika katika mji wa Sendai nchini Japan ambako alimwakilisha Rais Jakaya Kikwete Machi 14, 2015.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa katika mkutano wa tatu wa dunia kuhusu upunguzaji wa hatari ya majanga duniani uliofanyika katika mji wa Sendai nchini Japan ambako alimwakilisha Rais Jakaya Kikwete Machi 14, 2015. Kulia ni Naibu Waziri wa mambo ya Nje na...