Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda: Tanzania yashuka viwango kibiashara

>Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amesema Tanzania imeshuka kwa nafasi tisa katika orodha ya nchi zinazofanya biashara duniani zilizopo kwenye viwango vya Benki ya Dunia (WB) na kwa sasa inashika nafasi ya 145 kati ya nchi 189.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Tanzania yashuka tena viwango Fifa

>Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) limetoa viwango vipya vya ubora, huku Tanzania ikiporomoka kwa nafasi 12, kiasi cha kuwaumiza wadau wa soka nchini.

 

11 years ago

Michuzi

TAASISI YA VIWANGO ZANZIBAR (ZBS) NA TASISI YA VIWANGO TANZANIA (TBS) ZAKUBALIANA KUFANYA KAZI PAMOJA

Mwenyekiti wa kamati ya pamoja ya mashirikiano kati ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na la Zanzibar (ZBS) Bwa. Suleiman Masoud Makame akiitambulisha kamati ya watalamu yenye wajumbe nane wanne kutoka Bara na wane Zanzibar kwa Naibu Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko Mhe. Thuwaiba Edington Kisasi katika Mkutano uliofanyika Amani Zanzibar. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko Rashid Ali Salum akimkabidhi ripoti ya Kamati ya pamoja ya mashirikiano Mhe. Naibu Waziri...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Pinda ataka ufugaji wa kibiashara

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amewataka wafugaji nchini kufuga kibiashara ili kujikwamua na umaskini. Hayo aliyasema jijini hapa jana wakati akifungua mkutano wa siku tatu wa wadau wa mifugo, uliyoandaliwa na...

 

10 years ago

Mwananchi

Tanzania yashuka ufanyaji biashara

Tanzania imeporomoka katika nafasi za nchi zenye mazingira bora ya ufanyaji biashara ulimwenguni licha ya maboresho katika baadhi ya nyanja za upatikanaji wa taarifa za mikopo na kuboresha bandari ya Dar es Salaam.

 

10 years ago

BBCSwahili

Shilingi ya Tanzania yashuka thamani

Thamani ya shilingi ya Tanzania imeelezwa kuanguka kwa kiasi cha asilimia 7.9.

 

10 years ago

BBCSwahili

Bei ya Mafuta yashuka zaidi Tanzania

Mamlaka ya udhibiti wa Nishati ,Maji na mafuta EWURA nchini Tanzania imetangaza punguzo la jingine la mafuta nchini

 

5 years ago

BBCSwahili

Kenya yashuka kwa idadi ya mamilionea huku Tanzania ikipanda.

Inakadiriwa kuwa Mamilionea 499 kwa kiwango cha dola wamepungua nchini Kenya kutoka mwaka jana.

 

10 years ago

Michuzi

FINLAND NA TANZANIA KUSHIRIKIANA KIBIASHARA

 Mkurugenzi wa biashara ya ndani mamlaka ya maendeleo ya biashara Tanzania (TANTRADE), Edwin Rutagarutwa akizungunza  katika semina ya kibiashara iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mwalimu nyerere jijini Dar es Salaam  leo. Kuhusiana na  wigo wa biashara hapa nchini na nchi ya Finlan.  Mwenyekiti wa mkutano na Ushirikishaji  wa ubalozi wa Finland,Siv Ahlberg katika akizungunza  katika semina ya kibiashara iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam ...

 

10 years ago

Habarileo

Sweden, Tanzania kukuza ushirikiano kibiashara

Rais Jakaya Kikwete.NCHI ya Sweden imedhamiria kuukuza ushirikiano wake na Tanzania kwa Awamu mpya ambayo itaongeza uwekezaji na biashara zaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani