Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pluijm, Hall waamini mbinu zao Jumamosi

Siku mbili kabla ya Yanga kuikabili Azam Jumamosi, makocha wao, Hans Pluijm na Stewart Hall wameandaa mbinu tofauti  za ushindi, kila mmoja akijinasibu kumaliza dakika 90 kwa kicheko.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Kerr, Hall, Pluijm mwendo wa hesabu

Makocha Dylan Kerr wa Simba, Stewart Hall wa Azam na Hans Pluijm wa Yanga kila mmoja ameanika mikakati ya ushindi katika kuhakikisha anatwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu.

 

10 years ago

Mtanzania

Waangola wampa mbinu Pluijm

pluijmNA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Hans van Pluijm, amenasa mbinu za wapinzani wao katika Kombe la Shirikisho Afrika, Etoile du Sahel ya Tunisia, wanazotumia kwenye michezo mbalimbali wanayocheza.
Moja ya michezo hiyo ni ile dhidi ya Benfica de Luanda ya Angola, waliyoitoa kwenye raundi ya kwanza ya michuano hiyo kwa mabao 2-1, Pluijm amedai kuwa ameziona mbinu zao na amewapa maelekezo wachezaji wake namna ya kukabiliana nazo.

Yanga inatarajia kuvaana na Etoile...

 

10 years ago

Mwananchi

KOMBE LA KAGAME: Hall, Pluijm jino kwa jino

>Makocha Hans Pluijm wa Yanga na Stewart Hall wa Azam wameanza kurushiana vijembe ikiwa ni siku moja kabla ya timu zao kukutana katika robo fainali ya mashindano ya Kombe la Kagame.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kamachumu wabuni mbinu kuukabili ufisadi kwenye zao la kahawa

KWA miaka mingi zao la kahawa limeshughulikiwa kupitia kwenye vyama vya ushirika. Wakulima wa zao hilo walijiunga kwenye ushirika na kuuachia kazi ya kulitafutia soko zao hilo huku ukiwalipa wakulima...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

HIZI NDIO MBINU ZA CCM ZA KUIBIA WANANCHI KURA ZAO

Asalamu Alaikhum Ndugu Watanzania wa kutoka Zanzibar na Tanganyika. Ama sina budi ila kumshukuru Allah Salawatu Wasalamu, kwakunipatia uzima, pumzi na wasia wakuweza kuandika Makala hii kwenu nyinyi WAZALENDO WA ZANZIBAR NA TANGANYIKA. Kama tulivosikia katika […]

The post HIZI NDIO MBINU ZA CCM ZA KUIBIA WANANCHI KURA ZAO appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mwananchi

Zitambue mbinu wanazozitumia wafanyabiashara kukushawishi ili uweze kununua bidhaa zao

Zitambue mbinu wanazozitumia wafanyabiashara kukushawishi ununue bidhaa zao. Baadhi ya habari unazosoma katika magazeti, majarida na mabango huwa zimeandikwa kusudi ili kukushawishi ukikubali au kukataa kitu fulani.

 

10 years ago

GPL

AIRTEL FURSA YAWEZESHA VIJANA ZAIDI YA 200 ARUSHA MBINU ZA KUENDESHA BIASHARA ZAO

Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel Tanzania, Beatrice Singano Mallya akizungumza wakati wa mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana kupitia mpango wa Airtel ‘Fursa Tunakuwezesha’, yaliyofanyika jijini Arusha jana. Afisa Maendeleo ya Jamii Mkoa wa Arusha, Blandina Nkini akifungua mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana kupitia mpango wa Airtel ‘Fursa Tunakuwezesha’, yaliyofanyika jijini Arusha jana.…
...

 

9 years ago

MillardAyo

Watu na mbinu zao, jamaa kavunja sheria za barabarani, baada ya askari kuja akavua nguo ili … (+Pichaz)

Katika maisha watu wana mbinu nyingi za kuhakikisha malengo au mipango yao inafanikiwa kwa kutumia mbinu tofauti tofauti. Mtu wangu wa nguvu katika pita pita zangu mitandaoni nikaingia lindaikejeblog. Tanzania tumezoea kuona madereva wa daladala wakiwashawishi traffic kwa njiani tofauti tofauti ili kukwepa adhabu au faini. Hii imetokea Lagos Nigeria dereva wa basi, baada ya kuvunja […]

The post Watu na mbinu zao, jamaa kavunja sheria za barabarani, baada ya askari kuja akavua nguo ili …...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani