Waangola wampa mbinu Pluijm
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Hans van Pluijm, amenasa mbinu za wapinzani wao katika Kombe la Shirikisho Afrika, Etoile du Sahel ya Tunisia, wanazotumia kwenye michezo mbalimbali wanayocheza.
Moja ya michezo hiyo ni ile dhidi ya Benfica de Luanda ya Angola, waliyoitoa kwenye raundi ya kwanza ya michuano hiyo kwa mabao 2-1, Pluijm amedai kuwa ameziona mbinu zao na amewapa maelekezo wachezaji wake namna ya kukabiliana nazo.
Yanga inatarajia kuvaana na Etoile...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi14 Oct
Pluijm, Hall waamini mbinu zao Jumamosi
9 years ago
GPLUCHAGUZI WAMPA LIKIZO JB
9 years ago
Global Publishers04 Jan
TRA wampa presha Masanja
Mwimba nyimbo za Injili na mchungaji, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji.
MUSA MATEJA
2016, kazi imepamba moto! Zoezi linaloendelea kufanywa na maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) la kuhakikisha kila mtu analipa kodi inavyotakiwa ili kuipa hazina mapato, sasa limetua kwa mchekeshaji, mwimba nyimbo za Injili na mchungaji, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji,’ tembea na Ijumaa Wikienda.
Akizungumza na gazeti hili mwishoni mwa wiki iliyopita, mfanyakazi mmoja wa TRA Tawi la...
10 years ago
Bongo Movies24 May
Ukatili Wampa Ulaji Jengua
Muigizaji mkongwe wa hapa Bongo, Mzee Jengua amesema kuwa ameshirikishwa katika filamu ya Sio Dili inayohusu mauaji ya Albino kutokana na hulka yake ya ukatili awapo kazini.
Akizungumza na Gazeti la Nipashe , Jengua alisema muandaaji wa filamu hiyo aliona yeye ndio anafaa kuwa mtu anayefanya biashara ya viungo vya Albino kutokana na uigizaji wake wa ukatili, katika filamu zilizopita.
Jengua hata hivyo amesema anaumizwa na tabia za watu ambao hukata viungo vya au kuwaua kwa imani za...
11 years ago
Mwananchi13 May
Tabora wampa Kinana salamu za JK
9 years ago
Habarileo06 Nov
Wazee wampa baraka Magufuli
WAASISI na wazee wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamemtakia kila la heri Rais mpya wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Magufuli kutekeleza majukumu yake vyema ya kuwatumikia wananchi wote wa Tanzania akiwa Rais wa Awamu ya Tano.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uErcoZ1KdnIJCklPn-dcHWZf9audHgmklSjuaM*1dQOsFsSmpzkoho4FcyVP0bM8JE30mSWlCmFfv5vlL0ZhnBjAY8UQ-Jok/okwi.jpg?width=650)
Waarabu wampa Okwi sh 800M
9 years ago
Habarileo03 Nov
Ushindi wampa raha Kibadeni
USHINDI wa mabao 2-0 iliyoupata JKT Ruvu dhidi ya African Sports juzi umepokewa kwa mikono miwili na kocha Abdallah Kibadeni.
11 years ago
Mwananchi21 Jul
Walimu ‘wampa ndiyo’ Makamba