Polisi jamii waonywa kutokamata magari
JESHI la Polisi kikosi cha usalama barabarani limewataka Polisi jamii wanaokamata magari barabarani kuacha kufanya hivyo, kwani hawana kibali cha kufanya hivyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yCchVDjyWq4/UytdMMfNNEI/AAAAAAAFVSQ/MPI1n8f-8OU/s72-c/unnamed+(54).jpg)
Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora ACP Suzan S. Kaganda aendelea na kampeni yake ya kuhamasisha dhana ya polisi jamii
Na Fakih Mapondela wa Tabora Police Press
Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora ACP Suzan S. Kaganda Alhamisi tarehe 20/03/2014 alifanya ziara katika manispaa ya Tabora na kukutana na kikundi shirikishi (Sungusungu) na kukipatia mafunzo mbalimbali ya ulinzi shirikishi na ukamataji salama wa watuhumiwa pamoja na kukipa somo la dhana ya Polisi jamii.
Kamanda Kaganda akiwa katikati ya Sungusungu kuonesha mbinu bora za ukamataji salama wa watuhumiwa
Kamanda Kaganda akiwa katika harakati za kutoa...
![](http://1.bp.blogspot.com/-yCchVDjyWq4/UytdMMfNNEI/AAAAAAAFVSQ/MPI1n8f-8OU/s1600/unnamed+(54).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yohAQB6kBds/UytdMjP05UI/AAAAAAAFVSc/nz68yZTcMfM/s1600/unnamed+(55).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Polisi yaimarisha dhana ya polisi jamii
KAMISHNA wa Polisi Jamii nchini (CP), Mussa Ali Mussa, amewataka maofisa wa Polisi na askari wote nchini, kuhakikisha wanafanya kazi katika misingi ya uwazi na usasa, hali itakayosaidia uenezi wa...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-SmMY1ZsN6M0/ViaCK2AQwKI/AAAAAAAIBRY/rwV0gvwpUp8/s72-c/IMGL1310.jpg)
PICHA ZINGINE ZA RAIS KIKWETE ALIVYOKABIDHI MAGARI POLISI
![](http://2.bp.blogspot.com/-SmMY1ZsN6M0/ViaCK2AQwKI/AAAAAAAIBRY/rwV0gvwpUp8/s640/IMGL1310.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JF_8uFTql4E/ViaB_AVz_yI/AAAAAAAIBRI/BGr1QpI4FLU/s640/IMGL1315.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Vmpv8q08kT0/ViaB-1Hl1RI/AAAAAAAIBRM/qNNnBdKoGxM/s640/IMGL1316.jpg)
9 years ago
Mwananchi13 Sep
TEKNOLOJIA :Magari ya kifahari yanayotumiwa na polisi kuzuia uhalifu
Mara nyingi tumesikia na kuona magari ghali na ya kisasa yakitumiwa na watu mashuhuri, hasa wafanyabiashara wakubwam wasanii na wanamichezo.
11 years ago
Mwananchi10 May
Uchaguzi 2015, Polisi kununua magari 700 mapya
>Serikali inatarajia kununua magari mapya 700 kwa ajili ya Jeshi la Polisi ambayo yatatumika kwenye shughuli mbalimbali ukiwamo uchaguzi mkuu utakaofanyika mwakani.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-huew_CtEXno/XoYE1Z1cLJI/AAAAAAAC85Y/64VzLVcjhpAXtCwI2UjzMC8CIiF2w9wDACLcBGAsYHQ/s72-c/2.png)
Magari ya kifahari Njombe yashikiliwa na polisi kwa kushtukiwa ni ya wizi
Na Amiri Kilagalila, Njombe
Jeshi la polisi mkoani Njombe limefanikiwa kukamata mtandao wa watu 23 wanaotuhumiwa kujihusisha na wizi wa mali mbalimbali yakiwemo magari matano,pikipiki 23 pamoja na vitu mbalimbali vya ndani zikiwemo tv.
Kaimu kamanda wa polisi mkoa wa Njombe Rashid Ngonyani mbele ya vyombo vya habari amesema ,kukamatwa kwa mali hizo kumekuja baada ya kufanyika kwa oparesheni mbalimbali za mitandao ya wizi.
“tunawashikilia watu 23 kwa makosa mbali mbali,watano kwa wizi wa...
Jeshi la polisi mkoani Njombe limefanikiwa kukamata mtandao wa watu 23 wanaotuhumiwa kujihusisha na wizi wa mali mbalimbali yakiwemo magari matano,pikipiki 23 pamoja na vitu mbalimbali vya ndani zikiwemo tv.
Kaimu kamanda wa polisi mkoa wa Njombe Rashid Ngonyani mbele ya vyombo vya habari amesema ,kukamatwa kwa mali hizo kumekuja baada ya kufanyika kwa oparesheni mbalimbali za mitandao ya wizi.
“tunawashikilia watu 23 kwa makosa mbali mbali,watano kwa wizi wa...
11 years ago
MichuziUN-ICTR Yatoa Msaada wa Magari ya Kiusalama kwa Polisi Arusha
Mahakama ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia Mauaji ya Halaiki ya Rwanda (UN-ICTR) iliyo na makao yake makuu mjini Arusha leo imetoa msaada wa magari mawili ya kiusalama (Amoured Cars) kwa jeshi la polisi mkoani Arusha ili kuimarisha shughuli zake za kiusalama mkoani hapo.
Magari hayo ni baadhi ya yale yaliyokuwa yakitumika kwa shughuli za usalama kubebea watuhumiwa au watu nyeti,na mahakama hiyo inatarajiwa kumaliza shughuli zake mwakani.
Magari hayo ni yale yaliyoimarishwa kiusalama...
Magari hayo ni baadhi ya yale yaliyokuwa yakitumika kwa shughuli za usalama kubebea watuhumiwa au watu nyeti,na mahakama hiyo inatarajiwa kumaliza shughuli zake mwakani.
Magari hayo ni yale yaliyoimarishwa kiusalama...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania