Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi jamii waonywa kutokamata magari

JESHI la Polisi kikosi cha usalama barabarani limewataka Polisi jamii wanaokamata magari barabarani kuacha kufanya hivyo, kwani hawana kibali cha kufanya hivyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora ACP Suzan S. Kaganda aendelea na kampeni yake ya kuhamasisha dhana ya polisi jamii

Na Fakih Mapondela wa Tabora Police Press Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora ACP Suzan S. Kaganda Alhamisi  tarehe 20/03/2014 alifanya ziara katika manispaa ya Tabora na kukutana na kikundi shirikishi (Sungusungu) na kukipatia mafunzo mbalimbali ya ulinzi shirikishi na ukamataji salama wa watuhumiwa pamoja na kukipa somo la dhana ya Polisi jamii. Kamanda Kaganda akiwa katikati ya Sungusungu kuonesha mbinu bora za ukamataji salama wa watuhumiwa Kamanda Kaganda akiwa katika harakati za kutoa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi yaimarisha dhana ya polisi jamii

KAMISHNA wa Polisi Jamii nchini (CP), Mussa Ali Mussa, amewataka maofisa wa Polisi na askari wote nchini, kuhakikisha wanafanya kazi katika misingi ya uwazi na usasa, hali itakayosaidia uenezi wa...

 

9 years ago

Vijimambo

PICHA ZINGINE ZA RAIS KIKWETE ALIVYOKABIDHI MAGARI POLISI

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Inspekta Jenerali wa Polisi IGP Ernest Mangu alipowasili Chuo Kikuu cha Mafunzo ya Polisi Kurasini jijini Dar es salaam leo Oktoba 20, 2015 tayari kukabidhi magari 399 kati ya 777 yanayoletwa kwa ajili ya kusaidia utendaji kazi wa  jeshi la polisi.  Wimbo wa Taifa katika sherehe za kukabidhi magari 399 kati ya 777 yanayoletwa kwa ajili ya kusaidia utendaji kazi wa  jeshi la polisi. Wimbo wa Taifa katika sherehe za kukabidhi magari 399 kati ya 777...

 

9 years ago

Mwananchi

TEKNOLOJIA :Magari ya kifahari yanayotumiwa na polisi kuzuia uhalifu

Mara nyingi tumesikia na kuona magari ghali na ya kisasa yakitumiwa na watu mashuhuri, hasa wafanyabiashara wakubwam wasanii na wanamichezo.

 

11 years ago

Mwananchi

Uchaguzi 2015, Polisi kununua magari 700 mapya

>Serikali inatarajia kununua magari mapya 700 kwa ajili ya Jeshi la Polisi ambayo yatatumika kwenye shughuli mbalimbali ukiwamo uchaguzi mkuu utakaofanyika mwakani.

 

5 years ago

Michuzi

Magari ya kifahari Njombe yashikiliwa na polisi kwa kushtukiwa ni ya wizi

Na Amiri Kilagalila, Njombe
Jeshi la polisi mkoani Njombe limefanikiwa kukamata mtandao wa watu 23 wanaotuhumiwa kujihusisha na wizi wa mali mbalimbali yakiwemo magari matano,pikipiki 23 pamoja na vitu mbalimbali vya ndani zikiwemo tv.
Kaimu kamanda wa polisi mkoa wa Njombe Rashid Ngonyani mbele ya vyombo vya habari amesema ,kukamatwa kwa mali hizo kumekuja baada ya kufanyika kwa oparesheni mbalimbali za mitandao ya wizi.
“tunawashikilia watu 23 kwa makosa mbali mbali,watano kwa wizi wa...

 

11 years ago

Michuzi

UN-ICTR Yatoa Msaada wa Magari ya Kiusalama kwa Polisi Arusha

Mahakama ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia Mauaji ya Halaiki ya Rwanda (UN-ICTR) iliyo na makao yake makuu mjini Arusha leo imetoa msaada wa magari mawili ya kiusalama (Amoured Cars) kwa jeshi la polisi mkoani Arusha ili kuimarisha shughuli zake za kiusalama mkoani hapo. 
Magari hayo ni baadhi ya yale yaliyokuwa yakitumika kwa shughuli za usalama kubebea watuhumiwa au watu nyeti,na mahakama hiyo inatarajiwa kumaliza shughuli zake mwakani. 
Magari hayo ni yale yaliyoimarishwa kiusalama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani