Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi kuongeza kipato

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Ame Pereira Silima RAIS Jakaya Kikwete ameridhia kuundwa kwa Shirika la Uzalishaji la Jeshi la Polisi litakalosaidia kuongeza mapato ya Jeshi hilo ili kuendelea kuboresha huduma ndani ya Jeshi la Polisi na hatimaye kuongeza ufanisi katika huduma kwa wananchi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

INVITATION TO A MOTIVATIONAL SEMINAR FOR MINDSET AND "KUONGEZA KIPATO"


Dear Sir, We invite you to extremely exceptional Motivational Seminar for Self-Recognition involving changing the Mindset and MBINU ZA KUONGEZA KIPATO. The Seminar will mainly feature: JINSI YA KUBADILI FIKRA; KUONGEZA KIPATO na KUTIMIZA NDOTO. Your Organization can invite some key prospect clients and existing clients to attend. Your Organization may wish to provide any kind of Sponsorship and will be able to take advantage to promote its products and services at the events.
The Seminar...

 

11 years ago

Habarileo

Polisi kuongeza nguvu udhibiti mauaji ya kishirikina

JESHI la Polisi nchini litaendelea kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia na vitendo vya mauaji yanayosababishwa na imani za kishirikina kwa kuendelea kutoa elimu kwa jamii juu ya madhara ya vitendo hivyo.

 

9 years ago

Mwananchi

Polisi watahadharisha kuongeza nauli Krismasi, Mwaka Mpya

Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga amesema kampuni au mtu atakayeongeza nauli ya mabasi yaendayo mikoani na nje ya nchi katika kipindi cha sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya atakamatwa na kufikishwa mahakamani.

 

5 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI LAAHIDI KUONGEZA ULINZI TUME YA NGUVU ZA ATOMIKI TANZANIA


Jeshi la Polisi nchini limeingia Makubaliano ya kutoa Ulinzi na Tume ya Nguvu za Atomik Tanzania, kutokana na eneo hilo kuwa ni muhimu kwa nchi,pamoja na usalama wa nchi ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kuwa eneo hilo halitumiwi na wahalifu.

Akizungumza wakati wa zoezi hilo Kamishna wa Operesheni Liberatus Sabas alisema kuwa eneo hilo ni muhimu sana kwa usalama wa nchi hivyo, linahitaji kuwa salama na ulinzi mathubutu ili kuzuia wahalifu kutotumia eneo hilo.

Sabas alisema...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Matumizi ya fedha yasizidi kipato

MARA kadhaa huwa hatuna fedha za kutosha katika maisha yetu ya kila siku. Hali hiyo hutusababishia kuingia katika madeni ili kugharamia mahitaji yetu kama chakula, usafiri, mawasiliano na mengineyo. Hiyo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Walalamikia tozo la maji lisilorandana na kipato

DSC00773

Katibu mkuu  wa jumuiya ya umoja wa serikali aa mitaa (ALAT), Habrahani Shamumoyo, akitoa nasaha zake kwenye hafla ya uzinduzi wa ofisi ya Jumuiya ya watumia maji (MWITIJA) kata ya Mgori Singida vijijini, Ofisi hiyo imejengwa kwa ufadhili wa serikali ya Sweden kupitia shirika lake la misaada la SIDA wa zaidi ya shilingi 42 milioni.Wa kwanza kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone na Mkuu wa wilaya Singida, Amanzi.

DSC00774

Mkurungezi mtendaji wa ahalmashauri ya wilaya ya Singida, Hajat...

 

11 years ago

Habarileo

Dk Kamani ataka majibu kukuza kipato

WAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani amesema sura ya wizara hiyo katika jamii si nzuri kwa kuwa haijatoa jawabu ya changamoto zinazowakabili wadau wakiwemo wafugaji na wavuvi na kukuza pato la Taifa kama inavyostahili.

 

10 years ago

GPL

SHIGONGO AHAMASISHA JINSI YA KUJIONGEZEA KIPATO

  Eric Shigongo akitoa somo kuhusu kujiongezea kipato katika ujasiriamali katika maombi ya Glorious Worship Team (GWT) (wasikilizaji hawapo pichani).   …Akisisitiza jambo katika mada yake. Wahudhuriaji  wakifuatilia kwa makini.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani