Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


POLISI: MBASHA JITOKEZE MWENYEWE

Stori: Mwandishi Wetu TAHADHARI! Wakati akiwa hajulikani alipo huku akishtakiwa kwa tuhuma ya ubakaji wa shemejiye, jeshi la polisi Bongo limemtaka mume wa mwimbaji wa Injili, Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha kujisalimisha mwenyewe. Mwimbaji wa Injili, Flora Mbasha, akiwa na mume wake, Emmanuel Mbasha. Habari za ndani zilieleza kuwa polisi wa Kituo cha Tabata-Shule, Dar ndiyo wamemtaka kujisalimisha baada ya binti anayedaiwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Breaking News! Askofu Gwajima ‘alidindia’ jeshi la Polisi waliomfuata na ving’ora, ajipeleka mwenyewe

maaskofu wenzake

Baadhi ya Maaskofu wa Kanisa la Gwajima na maaskofu rafiki wa makanisa ya Pentekoste wakiongea na Gwajima (Hayupo pichani) ambaye alikuwa akiwapa maelekezo kabla ya kuondoka kwenda kuhojiwa jeshi la Polisi mchana wa leo.

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima  mapema leo ameibua hofu kubwa  kwa majirani  na waumini wake waliokuwa wametanda nje ya nyumba yake baada ya Jeshi la Polisi kuvamia kwake kwa lengo la kumchukua kwenda Polisi Central...

 

10 years ago

Bongo Movies

Baada ya wake kukanusha, Wema Sepetu mwenyewe kaongea kuhusu ishu ya kumpeleka Diamond Polisi.

Baada ya hapo jana meneja wa mwigizaji Wema Sepetu, Martin Kadinda  kukanusha habari za Wema kumpeleka polisi Diamond Platnumz ambae alikuwa mpezi wake. Kwa kutoweza kulipa kwa wakati deni la shilingi million 10. Leo Wema Sepetu amefunguka  kuhusu swala hili katika mahojiano na Millard Ayo.

Wema  ameyasema haya “Hii taarifa imenishtua sana maana asubuhi ya jana nimekuta kwenye gazeti wameandika nikashangaa yaani hapa nimekaa kwa sababu muda mwingi siendeshi mimi akaunti yangu ya twitter,...

 

9 years ago

GPL

FLORA MBASHA AKIRI: MWANANGU SI WA MBASHA!

Mwimbaji wa nyimbo za Injili, Flora Mbasha na aliyekuwa mumewe, Emmanuel Mbasha. Waandishi wetu OHOOO! Kimenuka tena. Mwimbaji wa nyimbo za Injili, Flora Mbasha amesema mwanaye mdogo (jina linahifadhiwa) hahusiani hata kidogo na aliyekuwa mumewe, Emmanuel Mbasha huku akidai kuwa anamtambua mwanaume huyo kama mzazi mwenzake kwa mtoto mmoja tu (Liz), Risasi Jumatano linakupa zaidi. Mtoto anayedaiwa kuibuwa mazito. Akizungumza na...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Annabel — Jitokeze

Wimbo mpya wa Mwanadada Annabel unaitwa “Jitokeze” Umetaarishwa na Producer Jobanjo Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi, ya Ngoswe aachiwe Ngoswe mwenyewe

MWISHONI mwa wiki hii  gazeti hili lilichapisha picha inayoonyesha askari wawili wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) waliokuwa kwenye lindo katika benki ya NMB, Mtaa wa Samora jijini Dar es...

 

9 years ago

Vijimambo

WIMBO MPYA WA ANNABEL-JITOKEZE

Naomba nichukue nafasi hii kukushukuru kwa ushirikiano wako kuhakikisha kipaji changu kinajulikana. Juhudi zako zilizaa matunda na zinaendelea kufanikiwa kutoka kwenye wimbo niliomshirikisha Barnaba (UNANIONEA) sasa nina Wimbo mpya unaitwa (JITOKEZE). Nakuomba tena support yako ili sauti yangu isikike zaidi na kupitia wewe watu wakafahamu kipaji changu.

Kuelekeza watu jinsi ya kuupata wimbo wanaweza kudowload

https://mkito.com/song/jitokeze/16804

Lakini nimekutumia wimbo mzima usikilize...

 

9 years ago

AllAfrica.Com

'Jitokeze' Graffiti Rallies Tanzanian Voters to Election


eTurboNews
'Jitokeze' Graffiti Rallies Tanzanian Voters to Election
AllAfrica.com
As Tanzanians prepare to vote in the General Election on October 25, Dar es Salaam is ablaze with colourful graffiti as a form of political activism, rallying people to take part in the much anticipated polls. On public walls on several streets of Dar ...
Election campaign Tanzania and a related Helicopter crasheTurboNews

all 2

 

10 years ago

Vijimambo

JITOKEZE 2015 & HIP HOP AND RAP STAR SEARCH (LIVE EDITION)

Joined by the Legendary Music Entertainment and Promotions company's Hip Hop & Rap Star search (Live Edition)
Guest Judges: DJ JD, DJ K.U And DJ One BPerformances by: Nash Emcee, Raf MC, Witness Kibonge and Motra the Future
DATE: 13/06/2015 (Saturday)VENUE: MICHUNGWANI PR.SCHOOL MIKOCHENITIME: 12:00 Noon - 8:00 Pm

 

10 years ago

GPL

WEMA, ZARI JIONGEZE MWENYEWE!

Staa wa filamu Bongo, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ akipozi. Kumekuwa na maneno mengi juu ya nani mzuri kati ya staa wa Uganda, Zarinah Hassan ‘Zari’ au ‘The Boss Lady’ na Wema Isaac Sepetu ‘Madam’. Wema ametembea na Diamond na sasa Zari anadaiwa kuchukua uskani. Ijumaa Wikienda limechukua jukumu la kumaliza ubishi ambapo lilibandika swali hilo kwenye mitandao ya kijamii ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani