Polisi, wabunge wamshutumu Mbowe
KAULI ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ya kuagiza yafanyike maandamano na migomo nchi nzima bila kikomo, ikiwezekana hata bila ya kibali cha Polisi, imelichefua Jeshi la Polisi. Jeshi hilo limeonya kuwa halitasita kumchukulia hatua kali, kwa kuwa anavuka mipaka ya kisiasa na kugeukia makosa ya jinai.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo20 Dec
Sakata la Mbowe laweka rehani ndoa za wabunge
SAKATA la Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe (Chadema), kutuhumiwa kutumia vibaya madaraka yake, limeweka ndoa za wabunge shakani.
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Mbowe kutinga polisi na mawakili
10 years ago
Tanzania Daima18 Sep
Mbowe mikononi mwa polisi
JOPO la Mawakili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), na wanachama wa chama hicho, leo wamepanga kumsindikiza mwenyekiti wao Freeman Mbowe aliyeitwa Makao Makuu ya Polisi kwa ajili ya...
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Mbowe atikisa Bunge na Polisi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/d9P270TQqaq9EF7g1sF6bujp7TnUEE1scSnCX1tMmncXI0c0cxncoRWBpzZl9iF0vc3CwDavzHDrXKpY4Z5Fhrnzv8OTnIOw/breakingnews.gif)
MAMIA WAMSINDIKIZA MBOWE POLISI
11 years ago
Tanzania Daima31 Jan
Mbowe alishukia Jeshi la Polisi
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amelishutumu Jeshi la Polisi nchini kuwa la wauaji, kwa lengo la kutisha wapinzani na kuwatengenezea mazingira ya kuendelea watawala walioko...
10 years ago
Habarileo19 Sep
Mbowe abanwa Polisi kwa saa 4
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, jana alitii amri ya kuripoti Makao Makuu ya Jeshi la Polisi, Dar es Salaam, alikohojiwa kwa saa 4 na dakika 18, huku akiongozana na jopo la mawakili sita.
10 years ago
Mwananchi19 Sep
Mbowe ajisalimisha polisi, Shughuli zasimama
10 years ago
GPLMBOWE ATINGA MAKAO MAKUU YA POLISI KUHOJIWA