Polisi wafanya usafi hospitalini
 Polisi Mkoa wa Kigoma wameazimia kuhamasisha jamii kuzingatia usafi wa mazingira, ili kujikinga na magonjwa ya mlipuko yanayosabaishwa na uchafu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziAskari wa kituo cha polisi Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara wafanya usafi kwenye mazingira yanayozunguka kituo chao.
11 years ago
Tanzania Daima22 Dec
Madiwani wafanya ziara ya usafi
MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero Mkoa wa Morogoro wamefanya ziara katika Halmashauri ya Mji wa Mpanda yenye lengo la kujifunza wenzao walivyofanikiwa kuwa mshindi wa kwanza wa usafi ...
9 years ago
Michuzi09 Dec
WAFANYAKAZI HOSPITALI YA MUHIMBILI WAFANYA USAFI


10 years ago
StarTV21 Sep
Wafanya usafi walalamikia madereva wanaokiuka sheria
Baadhi ya wanawake wanaofanya usafi katika jiji la Mwanza wamewalalamikia madereva wanaokiuka sheria za usalama barabarani kwa kuendesha magari wakiwa wamelewa na wengine kuendesha kwa mwendo kasi licha ya kuwekewa alama za usalama barabarani.
Katikati ya jiji la Mwanza jua ni kali, usafi wa barabara unaendelea ambao ni miongoni mwa vigezo vya maendeleo kwa sababu mazingira safi ambayo yanapunguza magonjwa lakini hali hiyo inadaiwa kuhatarisha usalama wa wanawake hao wakati wa kufagia...
10 years ago
Michuzi
WANANFUNZI WA SHULE YA MSINGI KAKUNI WAFANYA USAFI SHULENI KWAO


9 years ago
StarTV31 Dec
Wakazi Wilaya ya Mbogwe Geita wafanya usafi kujikinga Ya Kipindupindu Â
Mkuu wa Wilaya ya Mbogwe mkoani Geita Mariam Lugaila ameongoza wananchi kutekeleza agizo la mkuu wa mkoa huo Fatma Mwasa la kufanya usafi.
Lengo ni kuhakikisha kila wilaya inajikinga na ugonjwa wa kipindupindu ambao umeshaingia mkoani humo.
Zoezi la usafi limefanyika katika eneo la sokoni na stendi ya mabasi mjini Masumbwe wananchi wote wakihimizwa kufanya usafi majumbani na maeneo ya kazi sambamba na kuchimba vyoo na kuvitumia.
Mkuu wa wilaya ya mbogwe Bi Mariamu Lugaila Amesema Rais John...
9 years ago
StarTV27 Nov
Vita Dhidi Ya Kipindupindu  Watumishi, wakazi wa Bukoba wafanya usafi
Kauli ya Rais John Magufuli ya kufanya usafi na kutokomeza ugonjwa wa kipindupindu imeanza kuungwa mkono na watumishi wa Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera ambao wameungana na wakazi wa manispaa hiyo kufanya usafi na kusimamia zoezi hilo.
Kitendo cha watumishi hao kinakwenda sambamba na kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu ambao hadi sasa umekwishapoteza maisha ya watu wawili katika manispaa hiyo.
Moja ya maeneo ya biashara ambayo yameamuriwa kufungwa ,kutokana na eneo hilo kukithiri kwa...
10 years ago
Michuzi
SECURITYGROUP (T) LTD (SGA) WAFANYA USAFI KUADHIMISHA MIAKA 30 YA UTENDAJI KAZI NCHINI



9 years ago
Michuzi
WAFANYAKAZI WA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII WAFANYA USAFI MAENEO MBALIMBALI JIJINI DAR ES SALAAM


