Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafanya usafi walalamikia madereva wanaokiuka sheria

 

Baadhi ya wanawake wanaofanya usafi katika jiji la Mwanza wamewalalamikia madereva wanaokiuka sheria za usalama barabarani kwa kuendesha magari wakiwa wamelewa na wengine kuendesha kwa mwendo kasi licha ya kuwekewa alama za usalama barabarani.

Katikati ya jiji la Mwanza jua ni kali, usafi wa barabara unaendelea ambao ni miongoni mwa vigezo vya maendeleo kwa sababu mazingira safi ambayo yanapunguza magonjwa lakini hali hiyo inadaiwa kuhatarisha usalama wa wanawake hao wakati wa kufagia...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

RC awaonya wagombea wanaokiuka sheria

Uongozi wa Mkoa wa Shinyanga umewaonya baadhi ya wagombea wanaodaiwa kutembea na silaha za jadi kwenye magari yao kuwa watachukuliwa hatua kwa kukiuka sheria na taratibu za Uchaguzi Mkuu.

 

10 years ago

Mtanzania

Nyalandu awaonya wanaokiuka sheria

nyalanduNA MWANDISHI WETU, BUSEGA
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema atawachukulia hatua watendaji wa wizara yake wanaofanya kazi kwa kukiuka sheria za kazi.
Amesema kwamba, kama watumishi hao wanadhani hana mamlaka ya kuwachukulia hatua, wanatakiwa kujua uwezo huo anao kwa mujibu wa sheria.
Kutokana na hali hiyo, amewataka wananchi wakiwamo wafugaji, wamfikishie taarifa sahihi za watendaji wanaokiuka sheria kwa kuwatoza faini kinyume cha sheria ili aweze kuwachukulia...

 

11 years ago

Mwananchi

Walalamikia usafi wa soko Kariakoo

Baadhi ya wafanyabiashara Soko la Kariakoo wilayani Nzega, mkoani Tabora, wameomba halmashauri kuwatatulia kero zao ikiwamo suala la usafi ili kuepusha magonjwa ya mlipuko.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madereva walalamikia mzani Singida

MADEREVA wa magari makubwa ya mizigo na abiria wamelalamikia mzani uliopo mjini Singida katika barabara kuu ya kutoka Mwanza kuelekea jijini Dar es Salaam kwa madai kuwa ni mbovu. Wakizungumza...

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi wafanya usafi hospitalini

 Polisi Mkoa wa Kigoma wameazimia kuhamasisha jamii kuzingatia usafi wa mazingira, ili kujikinga na magonjwa ya mlipuko yanayosabaishwa na uchafu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madiwani wafanya ziara ya usafi

MADIWANI  wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero Mkoa wa Morogoro wamefanya ziara katika Halmashauri ya Mji wa Mpanda yenye lengo la kujifunza  wenzao walivyofanikiwa kuwa  mshindi wa  kwanza  wa usafi ...

 

9 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI HOSPITALI YA MUHIMBILI WAFANYA USAFI

VE1 Baadhi ya Wafanyakazi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) wakifanya usafi leo nje ya jengo la Kibasila akiwamo Mwenyekiti wa Khoja Shia Ithnashery Jamaat ya jijini Dar es Salaam, Dewji Azim (katikati). VE2 Kushoto ni Mwanasheria wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Veronica Hillary, Mkuu wa Idara ya Upasuaji,  Dk Julieth Magandi, Mkurugenzi wa Upasuaji, Dk John Kimario na Mwenyekiti wa Khoja Shia Ithnashery Jamaat ya jijini Dar es Salaam, Dewji Azim wakifanya usafi leo Desemba 9...

 

10 years ago

Michuzi

WANANFUNZI WA SHULE YA MSINGI KAKUNI WAFANYA USAFI SHULENI KWAO

Wanafunzi wa shule ya Msingi ya Kakuni wilayani Mlele wakitoka kufanya usafi wa barabara zinazozunguka shule yao mpya waliyojengewa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kwenye kijiji cha Kibaoni Julai 25, 2015.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

 

9 years ago

StarTV

Wakazi Wilaya ya Mbogwe Geita wafanya usafi kujikinga Ya Kipindupindu  

 

Mkuu wa Wilaya ya Mbogwe mkoani Geita Mariam Lugaila ameongoza wananchi kutekeleza agizo la mkuu wa mkoa huo Fatma Mwasa la kufanya usafi.

Lengo ni kuhakikisha kila wilaya inajikinga na ugonjwa wa kipindupindu ambao umeshaingia mkoani humo.

Zoezi la usafi limefanyika katika eneo la sokoni na stendi ya mabasi mjini Masumbwe wananchi wote wakihimizwa kufanya usafi majumbani na maeneo ya kazi sambamba na kuchimba vyoo na kuvitumia.

Mkuu wa wilaya ya mbogwe Bi Mariamu Lugaila Amesema Rais John...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani