Madereva walalamikia mzani Singida
MADEREVA wa magari makubwa ya mizigo na abiria wamelalamikia mzani uliopo mjini Singida katika barabara kuu ya kutoka Mwanza kuelekea jijini Dar es Salaam kwa madai kuwa ni mbovu. Wakizungumza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Aug
Mzani wa Wim: Teknolojia ya kuwabana madereva wanaozidisha uzito
10 years ago
MichuziMADEREVA WAFUNDWA NA TANROADS KUHUSU MZANI WA KISASA WA VIGWAZA
9 years ago
StarTV21 Sep
Wafanya usafi walalamikia madereva wanaokiuka sheria
Baadhi ya wanawake wanaofanya usafi katika jiji la Mwanza wamewalalamikia madereva wanaokiuka sheria za usalama barabarani kwa kuendesha magari wakiwa wamelewa na wengine kuendesha kwa mwendo kasi licha ya kuwekewa alama za usalama barabarani.
Katikati ya jiji la Mwanza jua ni kali, usafi wa barabara unaendelea ambao ni miongoni mwa vigezo vya maendeleo kwa sababu mazingira safi ambayo yanapunguza magonjwa lakini hali hiyo inadaiwa kuhatarisha usalama wa wanawake hao wakati wa kufagia...
10 years ago
Dewji Blog20 May
Wakazi wa manispaa ya Singida walalamikia uongozi kushindwa kuzoa taka ngumu
Baadhi ya maghuba yaliyopo katika Manispaa ya Singida yakiwa yamefurika taka ngumu kwa muda mrefu sasa kama ambavyo Mkurugenzi wa Manispaa hiyo, Bwana Joseph Mchina alivyokiri katika maelezo yake kushindwa kuzoa kutokana na magari ya kuzolea taka kuchelewa kufika.(Picha zote na Jumbe Ismailly).
Na Jumbe Ismailly, Singida
WAKAZI wa Halmashauri ya Manispaa ya Singida wameulalakia uongozi wa Manispaa hiyo kwa kushindwa kuzoa taka kwenye maghuba ya kukusanyia taka ngumu zinazokusanywa...
10 years ago
Dewji Blog02 Jan
Zoezi la kupima ulevi kwa madereva wa mabasi, latua Singida mjini
Mrakibu msaidizi wa polisi (ACP) mkuu wa kitengo cha elimu kwa umma makao makuu ya usalama barabarani jijini Dar-es-salaam, Abel Swai, akiwahamasisha abiria wa basi la kampuni ya France line lililokuwa likitokea Dodoma kwenda Arusha mjini kutoa taarifa kwa jeshi la polisi endapo watagundua dereva mlevi,kucheleweshwa au gari ni mbovu,ili hatua za haraka ziweze kuchukuliwa.
Na Nathaniel Limu, Singida
MRAKIBU msaidizi wa polisi makao makuu kitengo cha elimu kwa umma usalama barabarani...
10 years ago
MichuziZoezi la kupima ulevi na kutokutumia simu kwa madereva wa mabasi,latua Singida
10 years ago
GPLZOEZI LA KUPIMA ULEVI NA KUTOKUTUMIA SIMU KWA MADEREVA WA MABASI,LATUA SINGIDA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vglv73C3_Hw/U66-hPcSJdI/AAAAAAAFtV4/Wq07oXn9Sww/s72-c/IMG-20140628-WA0008.jpg)
News Alert: madereva wa mabasi wayasusa magari yao mkoani Singida jioni hii
![](http://4.bp.blogspot.com/-vglv73C3_Hw/U66-hPcSJdI/AAAAAAAFtV4/Wq07oXn9Sww/s1600/IMG-20140628-WA0008.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-no4z0l-ipck/U66-u7qDoKI/AAAAAAAFtWA/cswDH_FU6YI/s1600/IMG-20140628-WA0009.jpg)
10 years ago
GPLZOEZI LA KUPIMA ULEVI NA KUTOKUTUMIA SIMU KWA MADEREVA WA MABASI, LATUA SINGIDA