Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madereva walalamikia mzani Singida

MADEREVA wa magari makubwa ya mizigo na abiria wamelalamikia mzani uliopo mjini Singida katika barabara kuu ya kutoka Mwanza kuelekea jijini Dar es Salaam kwa madai kuwa ni mbovu. Wakizungumza...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mzani wa Wim: Teknolojia ya kuwabana madereva wanaozidisha uzito

Kwa miaka mingi kumekuwa na mvutano mkubwa baina ya serikali na wasafirishaji juu ya matumizi sahihi ya barabara nchini.

 

10 years ago

Michuzi

MADEREVA WAFUNDWA NA TANROADS KUHUSU MZANI WA KISASA WA VIGWAZA

Eng. Japhet Kivuyo kutoka kitengo cha mzani wa Vigwaza mkoani Pwani akifafanua jambo kwa waandishi wa habari waliotembelea mzani huo jana jijini Dar es salaam.Taa ya mzani wa Vigwaza ikielekeza gari lililobeba mzigo mzito kupinda kushoto kwa ajili ya ukaguzi wa kina. Changamoto kubwa iliyopo madereva hawafati taratibu za taa na wengine hawazielewi.Kamera zilizounganishwa na Wakala wa Barabara nchini (TANROADS) eneo la mzani wa Vigwaza zikirekodi matukio mbalimbali yanayotokea katika eneo...

 

9 years ago

StarTV

Wafanya usafi walalamikia madereva wanaokiuka sheria

 

Baadhi ya wanawake wanaofanya usafi katika jiji la Mwanza wamewalalamikia madereva wanaokiuka sheria za usalama barabarani kwa kuendesha magari wakiwa wamelewa na wengine kuendesha kwa mwendo kasi licha ya kuwekewa alama za usalama barabarani.

Katikati ya jiji la Mwanza jua ni kali, usafi wa barabara unaendelea ambao ni miongoni mwa vigezo vya maendeleo kwa sababu mazingira safi ambayo yanapunguza magonjwa lakini hali hiyo inadaiwa kuhatarisha usalama wa wanawake hao wakati wa kufagia...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wakazi wa manispaa ya Singida walalamikia uongozi kushindwa kuzoa taka ngumu

SAM_1999

Baadhi ya maghuba yaliyopo katika Manispaa ya Singida yakiwa yamefurika taka ngumu kwa muda mrefu sasa kama ambavyo Mkurugenzi wa Manispaa hiyo, Bwana Joseph Mchina alivyokiri katika maelezo yake kushindwa kuzoa kutokana na magari ya kuzolea taka kuchelewa kufika.(Picha zote na Jumbe Ismailly).

SAM_2002_1

 

Na Jumbe Ismailly, Singida      

WAKAZI wa Halmashauri ya Manispaa ya Singida wameulalakia uongozi wa Manispaa hiyo kwa kushindwa kuzoa taka kwenye maghuba ya kukusanyia taka ngumu zinazokusanywa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Zoezi la kupima ulevi kwa madereva wa mabasi, latua Singida mjini

DSC03142

Mrakibu msaidizi wa polisi (ACP) mkuu wa  kitengo cha elimu kwa umma makao makuu ya usalama barabarani jijini Dar-es-salaam, Abel Swai, akiwahamasisha abiria wa basi la kampuni ya France line lililokuwa likitokea Dodoma kwenda Arusha mjini  kutoa taarifa kwa jeshi la polisi endapo watagundua dereva mlevi,kucheleweshwa au gari ni mbovu,ili hatua za haraka ziweze kuchukuliwa.

Na Nathaniel Limu, Singida

MRAKIBU msaidizi wa polisi makao makuu kitengo cha elimu kwa umma usalama barabarani...

 

10 years ago

Michuzi

Zoezi la kupima ulevi na kutokutumia simu kwa madereva wa mabasi,latua Singida

Mrakibu msaidizi wa Jeshi la polisi (ACP) mkuu wa kitengo cha elimu kwa umma makao makuu ya usalama barabarani jijini Dar-es-salaam,Abel Swai,akiwahamasisha abiria wa basi la kampuni ya France line lililokuwa likitokea Dodoma kwenda Arusha kutoa taarifa kwa jeshi la polisi endapo watagundua dereva mlevi au akiendesha gari vibaya,ili hatua za haraka ziweze kuchukuliwa ikiwa ni mwendelezo wa kampeni ya"Wait to send"inayohamasisha madereva kutokutumia simu zao wakiwa wanatumia vyombo vya...

 

10 years ago

GPL

ZOEZI LA KUPIMA ULEVI NA KUTOKUTUMIA SIMU KWA MADEREVA WA MABASI,LATUA SINGIDA‏

Mrakibu msaidizi wa Jeshi la polisi (ACP) mkuu wa  kitengo cha elimu kwa umma makao makuu ya usalama barabarani jijini Dar-es-salaam,Abel Swai,akiwahamasisha abiria wa basi la kampuni ya France line lililokuwa likitokea Dodoma kwenda Arusha  kutoa taarifa kwa jeshi la polisi endapo watagundua dereva mlevi au akiendesha gari vibaya,ili hatua za haraka ziweze kuchukuliwa ikiwa ni mwendelezo wa kampeni ya"Wait to...

 

11 years ago

Michuzi

News Alert: madereva wa mabasi wayasusa magari yao mkoani Singida jioni hii

Madereva wa Mabasi yanayokwenda katika mikoa ya Shinyanga, Mwanza na Kagera jioni hii wameingia kwenye mgomo wa kutosafirisha abiria wakiwa mkoani Singida, kwa madai kwamba wanatozwa faini kubwa sana na Askari wa Usalama barabarani mkoani hapo.Baadhi ya abiria wanaosafiri na mabasi hayo wameulalamikia uamuzi wa madereva hao, kwani ni kama wanapewa adabu kwa uamuzi huo.Globu ya jamii inaendelea kufatilia sakata hilo kwa ukaribu zaidi na tutaendelea kufahamishana zaidi.

 

10 years ago

GPL

ZOEZI LA KUPIMA ULEVI NA KUTOKUTUMIA SIMU KWA MADEREVA WA MABASI, LATUA SINGIDA‏

Mrakibu msaidizi wa Jeshi la polisi (ACP) mkuu wa  kitengo cha elimu kwa umma makao makuu ya usalama barabarani jijini Dar-es-salaam,Abel Swai,akiwahamasisha abiria wa basi la kampuni ya France line lililokuwa likitokea Dodoma kwenda Arusha  kutoa taarifa kwa jeshi la polisi endapo watagundua dereva mlevi au akiendesha gari vibaya,ili hatua za haraka ziweze kuchukuliwa ikiwa ni mwendelezo wa kampeni ya"Wait to...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani