Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pomboo hujichua kukidhi tamaa zake za mapenzi

SIFA nyingine kubwa ya pomboo ni kuonyesha tabia ya ukali baina yao. Mara nyingi wanaofanyiana ukali ni pomboo madume. Kikubwa kinachowagombanisha ni kugombea majike katika kundi. Madume wa pomboo wanakuwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Pomboo hupenda kucheza na binadamu

KAMA tulivyoahidiana wiki iliyopita, hii itakuwa ni sehemu ya mwisho katika awamu ya kwanza na simulizi kuhusiana na samaki mnyama pomboo. Pamoja na haya tutakayoyaeleza leo, bado kuna mambo mengine...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pomboo humlinda binadamu anaposhambuliwa na papa

WIKI iliyopita tulianza kuangalia sifa za mfumo wa fahamu wa samaki aina ya pomboo. Tuliona mathalani pomboo ana uono hafifu lakini husaidiwa na mfumo wa kutumia mwangwi wa sauti katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pomboo ana uwezo wa kujitibu mwenyewe

KATIKA mfululizo wa simulizi kuhusiana na samaki pomboo, leo tuanze kwa kuangalia umbo na mwili wake ulivyo. Pomboo ana mwili mrefu wenye umbo la duara kwa ujumla. Umbile hili linamwezesha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

POMBOO: Samaki mwenye asili ya nchi kavu

POMBOO ni mnyama wa baharini ambaye yupo kundi moja na samaki wengine kama vile nyangumi na porpoises. Kuna kama aina 40 za pomboo ambao wamegawanyika katika makundi makubwa 17. Makundi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanakijiji Japan waitikisa dunia kwa uvuvi wa pomboo

POMBOO ni mmoja wa samaki wapole wa baharini ambao wanapendwa sana na binadamu. Anahesabika kati ya wanyama wenye akili nyingi kwani ana uwezo wa kujifunza mambo na kuyakariri. Pia ana...

 

10 years ago

Michuzi

Tutatekeleza majukumu kukidhi matarajio: Profesa Assad


Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za serikali Tanzania Profesa Mussa Assad (Kushoto) akihojiwa na Assumpta Massoi wa Radio ya Umoja wa Mataifa. (Picha:RedioyaUM)Hivi karibuni Tanzania ambayo ni mjumbe wa bodi ya wakaguzi wa Umoja wa Mataifa imepata Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali naye ni Profesa Mussa Juma Assad. Uteuzi wake unafuatia kustaafu kwa mtangulizi wake Ludovick Uttouh. Mara baada ya uteuzi na kuapishwa, Profesa Assad alifika makao makuu ya Umoja wa Mataifa mjini...

 

11 years ago

Michuzi

DHAMIRA YETU NI KUKIDHI MAHITAJI YA WATEJA YA KIBENKI NA YA KIFEDHA.

Pichani ni  Meneja wa Tawi lililopo ndani ya  maonyesho ya biashara ya Kimataifa ya 38 yanayoendelea kwenye viwanja vya Mwal.Julius Nyerere jijini Dar,Bi. Upendo Tendewa akifafanua zaidi huduma zitolewazo na benki hiyo.Bi.Upendo amesema kuwa dhamira yao kubwa ni kukidhi mahitaji ya wateja ya kibenki na ya kifedha kwa kuhakikisha upatikanaji wa bidha na huduma bora kabisa katika soko  kwa bei inayowezekana kulipa na viwango  vyenye manufaa yanayolingana na gharama na faida ya kurudhisha...

 

11 years ago

GPL

DHAMIRA YETU NI KUKIDHI MAHITAJI YA WATEJA YA KIBENKI NA YA KIFEDHA.‏

Afisa Masoko wa Benki ya Twiga Bancorp Bwa.Adalbert Alchard akizungumza na Wanahabari nje ya banda lao kuhusiana na huduma mbalimbali zitolewazo na benki hiyo kwa wateja wao, kwenye maonyesho ya biashara ya Kimataifa ya 38 yanayoendelea kwenye viwanja vya Mwal.Julius Nyerere jijini Dar.Pichani kushoto ni  Afisa wa Benki hiyo,Bi Tuddy Lutengan.… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani