PPRA wasema sheria ya manunuzi iko sawa
MAMLAKA ya Udhibiti wa Umma (PPRA) imesema sheria ya manunuzi ya umma siyo mbaya kama inavyolalamikiwa na wadau mbalimbali, bali tatizo ni uelewa wa sheria hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziPPRA YAWAPIGA MSASA WAFANYAKAZI WA TIA KUHUSU SHERIA MPYA YA MANUNUZI JIJINI DAR
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7JucV7hi0CY/VecxLlopCMI/AAAAAAAAEuA/2taKPhwXi0E/s72-c/B%2B1.jpg)
MAKAMU WA RAIS AKAGUA MABANDA KWENYE MKUTANO WA MAMLAKA YA MANUNUZI(PPRA)JIJINI ARUSHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-7JucV7hi0CY/VecxLlopCMI/AAAAAAAAEuA/2taKPhwXi0E/s640/B%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oiiARhHuTDg/VeczR6ZVT8I/AAAAAAAAEuM/5o3uKLRYvew/s640/B%2B2.jpg)
9 years ago
StarTV07 Oct
Mamlaka ya PPRA yabaini ukiukwaji wa sheria
Mamlaka ya kudhibiti Manunuzi ya Umma (PPRA) imezifungia kampuni 7 pamoja na wakurugenzi wake kutoshiriki zabuni za umma kutokana na ukiukwaji wa sheria ya manunuzi.
Adhabu hiyo imekuja baada ya uchunguzi wa PPRA iliyobaini viashiria vya rushwa kwenye manunuzi ya umma kwa kampuni na taasisi mbalimbali za Serikali tatizo ambalo limedaiwa kuonekana kuwa sugu hali inayoathiri uchumi wa Taifa.
Mwenyekiti wa Bodi ya PPRA, Balozi Matern Lumbanga amesisitiza juu ya kufungiwa kwa kampuni SABA...
10 years ago
Dewji Blog08 Nov
JK ataka mabadiliko sheria ya manunuzi
Rais wa Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete.
Na Mwandishi wetu
Rais wa Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete amesema lazima mabadiliko ya kina yafanyike katika idara ya ununuzi wa umma ili kudhibiti kiwango cha rushwa kinachoigharimu serikali
Rais Kikwete amebainisha hayo wiki iliyopita jijini Mwanza katika ufunguzi wa mkutano mkuu wa 12 wa shirikisho la taasisi za kuzuia na kupambana na rushwa katika nchi za Umoja Wa Kusini Mwa Afrika ,SADC ambapo...
10 years ago
Habarileo05 Jul
Wataka Sheria ya Manunuzi kurejewa
SERIKALI imeombwa kuifanyia marekebisho Sheria ya Manunuzi ya Umma ili kuondoa baadhi ya vipengele ambavyo hutumiwa na watumishi wasio waaminifu kama mwanya wa kujinufaisha wao binafsi.
9 years ago
Habarileo16 Dec
Magufuli afumua Sheria Manunuzi
TUME ya Kurekebisha Sheria imeanza mchakato wa kuifanyia marekebisho Sheria ya Manunuzi ya Umma ya Mwaka 2011 kama njia ya kuitikia mwito wa Rais John Magufuli ambaye aliahidi kuifanyia marekebisho sheria hiyo wakati analizindua Bunge la 11.
9 years ago
StarTV31 Dec
Serikali yatakiwa kurekebisha sheria ya manunuzi
Serikali imetakiwa kurekebisha sheria ya manunuzi pamoja na kuweka kipaumbele utoaji wa zabuni kwa viwanda vya ndani kwa nia ya kuvilinda na kuongeza ustawi wa sekta ya viwanda Ili kuendeleza viwanda vilivyopo hapa nchini.
Sambamba na hilo serikali imetakiwa kuzuia uingizaji holela wa bidhaa kutoka nje ya nchi ili kutoa nafasi kwa bidhaa zinazozalishwa hapa nchini.
Wakizungumza katika kiwanda cha utengenezaji wa transforma cha TANELEC kilichopo katika eneo la viwanda, njiro jijini...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7xWFDA0-UTc/U5m2u3Y9IuI/AAAAAAAFqGQ/1RJ_FYZcDoo/s72-c/Untitled1.png)
SEMINA YA SHERIA YA MANUNUZI iliyoandaliwa na ACCT imekamilika leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-7xWFDA0-UTc/U5m2u3Y9IuI/AAAAAAAFqGQ/1RJ_FYZcDoo/s1600/Untitled1.png)
This program is very important to the construction industry as it will highlight key changes introduced in the Public Procurement Act of 2011 and its 2013 regulations and explained the impact of these changes...
9 years ago
Bongo506 Nov
P-Funk adai hawezi kurudi studio hadi sheria ya haki miliki ikae sawa
![10725062_844274638950672_53630798_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/10725062_844274638950672_53630798_n-300x194.jpg)
Mtayarishaji wa muziki na mmiliki wa Bongo Records, P-Funk Majani amesema hawezi kurudi kuendelea kutengeneza muziki kama zamani hadi sheria ya haki miliki na haki shirikishi ikae vizuri.
Majani ameiambia Bongo5 kuwa anahitaji sheria ili watu wanaofanya kazi za sanaa waweze kunufaika na kazi zao.
“Sasa hivi mimi focus yangu imetoka kwenye muziki, najaribu kuweka sheria ya muziki ikae vizuri kwanza. Mambo ya haki miliki na nini vikae vizuri ndio msimamo wangu uliopo sasa hivi,” amesema...