Prof. Kamuzora ateuliwa bodi ya kimataifa ya CTA
KAMATI ya mabalozi ya nchi za Afrika, Karibiani, Pasifiki na Ulaya, imemteua Mtanzania, Profesa Faustin Kamuzora, kuwa mjumbe wa bodi ya Kituo cha Ufundi cha Kilimo na Maendeleo Vijijini (CTA).
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima31 Dec
Profesa Kamuzora ateuliwa Bodi CTA
KAMATI ya mabalozi toka nchi za Afrika, Caribbean, Pacific na Ulaya imemteua Mtanzania, Profesa Faustin Kamuzora, kuwa mjumbe wa Bodi ya Kituo cha Ufundi cha Kilimo na Maendeleo Vijijini (CTA)....
10 years ago
Tanzania Daima24 Nov
Prof. Kamuzora: Wasomi wamuenzi Nyerere kwa vitendo
WASOMI nchini wametakiwa kutumia taaluma zao kubuni njia zitakazoleta suluhisho la matatizo na changamoto mbalimbali za wananchi na kuleta maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Ushauri huo ulitolewa na Naibu Makamu...
9 years ago
MichuziMapokezi ya Katibu Mkuu Mpya Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano katika sekta ya Mawasiliano Prof. Faustine Kamuzora
10 years ago
Tanzania Daima17 Oct
Balozi Maajar ateuliwa Mwenyekiti bodi ya BOA
BALOZI Mwanaidi Sinare Maajar ameteuliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Benki ya Afrika (BOA) na kuidhinishwa na Benki Kuu ya Tanzania. Kabla ya uteuzi huo, Balozi Maajar alikuwa mjumbe wa Bodi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-m3vLD-cK5Og/VMD-oEUNJ0I/AAAAAAAG-7A/wbY7sjrD7hg/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
Dk. Hussein ateuliwa kuwa mwenyekiti wa muda wa Bodi ya Wakurugenzi ya NBC
![](http://2.bp.blogspot.com/-m3vLD-cK5Og/VMD-oEUNJ0I/AAAAAAAG-7A/wbY7sjrD7hg/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
Hatua hiyo imetokana na kuteuliwa kwa aliyekuwa mwenyekiti wa bodi ya benki hiyo, Profesa Mussa Assad, kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali (CAG) wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .
Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari iliyotolewa jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Muda wa NBC, Bwana Pius Tibazarwa alisema Dk Hussein atashika wadhifa wa uenyekiti wa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-J-mRcz3wzig/VjJOBlmX7dI/AAAAAAAIDYM/flGPUsS5EeU/s72-c/New%2BPicture.png)
NATU RASHID MSUYA ATEULIWA KUWA MWENYEKITI WA BODI YA WADHAMINI YA MFUKO WA RAIS WA KUJITEGEMEA (PTF).
![](http://3.bp.blogspot.com/-J-mRcz3wzig/VjJOBlmX7dI/AAAAAAAIDYM/flGPUsS5EeU/s1600/New%2BPicture.png)
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Alhamisi, Oktoba 29, 2015 Ikulu, Dar es Salaam na Katibu Mkuu - Ikulu, Ndugu Peter Ilomo uteuzi huo ulianza Jumapili ya Oktoba 25 mwaka huu, 2015 na ni wa miaka mitatu.
Bibi...
10 years ago
Vijimambo04 May
BALOZI LIBERATA MULAMULA ATEULIWA KUWA KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua Balozi Liberata Rutageruka Mulamula kuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa. Kwa sasa Balozi Mulamula ni Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico.
Rais Kikwete pia amemteua Balozi Hassan Simba Yahya kuwa naibu Katibu Mkuu katika Wizara hiyo ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa. Kwa sasa Balozi Yahya ni Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OPxZMels_KU/VWb9FNAQnUI/AAAAAAAHaZw/TBDpYqONJ58/s72-c/0554fd477a37c37ec7068f94770a2a9b.jpg)
BODI YA CHAKULA,MADAWA NA VIPODOZI ZANZIBAR KUJENGA MAABARA YA KISASA YA KIMATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-OPxZMels_KU/VWb9FNAQnUI/AAAAAAAHaZw/TBDpYqONJ58/s400/0554fd477a37c37ec7068f94770a2a9b.jpg)
Hayo ameyasema leo huko Baraza la Wawakilishi nje kidogo ya Mji wa Zanzibar wakati akijibu swali la Mwakilishi wa Jimbo la Muyuni Mhe. Jaku Hashimu Ayoub aliyetaka kujua...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-OPxZMels_KU/VWb9FNAQnUI/AAAAAAAHaZw/TBDpYqONJ58/s72-c/0554fd477a37c37ec7068f94770a2a9b.jpg)
BODI YA CHAKULA,MADAWA NA VIPODOZI ZANZIBAR KUJENGA MAABARA YA KISASA YA KIMATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-OPxZMels_KU/VWb9FNAQnUI/AAAAAAAHaZw/TBDpYqONJ58/s400/0554fd477a37c37ec7068f94770a2a9b.jpg)
Na Ali Issa Maelezo Zanzibar. Naibu waziri wa Afya wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mahamoud Thabiti Kombo amesema bodi ya Chakula, Madawa na Vipodozi inajenga maabara ya kisasa ya uchunguzi wa madawa , chakula na vipodozi ambayo itakuwa na ubora wa Kimataifa.
Hayo ameyasema leo huko Baraza la Wawakilishi nje kidogo ya Mji wa Zanzibar wakati akijibu swali la Mwakilishi wa Jimbo la Muyuni Mhe. Jaku Hashimu Ayoub aliyetaka kujua...