Profesa Muhongo ajiuzuru, asema yeye ni mtu safi
Kufuatia kuhusishwa na sakata la uchotwaji wa mabilioni ya fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow, Waziri wa Nishati na madini Profesa Sospeter Muhongo ameamua kumuandikia barua Raisi ya kujiuzulu wadhifa wake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo24 Jan
Profesa Muhongo ajiuzulu, asema yeye ni mtu safi
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2600680/highRes/929367/-/maxw/600/-/139fdua/-/muhongo.jpg)
Profesa Muhongo amekwenda mbali zaidi na kueleza kuwa yeye si mwizi na hawezi kuuza utu wake kwa kupewa rushwa ili kuwakandamiza watanzania.
Kufuatia kuhusishwa na sakata la uchotwaji wa mabilioni ya fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow, Waziri wa Nishati na madini Profesa Sospeter Muhongo ameamua kumuandikia barua Raisi ya kujiuzulu wadhifa wake.Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Profesa Muhongo ameelezea furaha yake ya kupatikana kwa maendeleo ya haraka katika...
10 years ago
Habarileo09 May
Profesa Muhongo, Katibu Maswi safi
UCHUNGUZI dhidi ya aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo na aliyekuwa Katibu wake, Eliakim Maswi, umebaini kuwa viongozi hao hawakukiuka maadili yoyote katika sakata la utoaji wa karibu Sh bilioni 300 zilizokuwa katika akaunti ya Tegeta Escrow, iliyokuwa Benki Kuu (BoT).
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Mengi asema Profesa Muhongo siyo mkweli
11 years ago
Habarileo02 Feb
Profesa Muhongo acharuka
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema baadhi ya kampuni zinazotumiwa na Wakala wa Nishati Vjijini (REA) kuwaunganishia umeme wakazi wa vijijini, zinaomba rushwa, hivyo kuwaondolea matumaini ya kuondokana na umasikini.
10 years ago
Habarileo25 Jan
Profesa Muhongo ajiuzulu
HATIMAYE baada ya kukabiliwa na shinikizo la muda mrefu kuanzia katika vyombo vya habari, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na baadaye katika vikao vya vyama vya siasa, Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amejiuzulu wadhifa huo.
10 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-g8XKKUGp8AI/UwnyUykkLiI/AAAAAAAAAc4/Ay59QVKLHUA/s72-c/jamtz.jpg)
CHARLIE CHAPLIN HAKUSHINDA SHINDANO LA MTU ANAEFANANA NA YEYE
![](http://3.bp.blogspot.com/-g8XKKUGp8AI/UwnyUykkLiI/AAAAAAAAAc4/Ay59QVKLHUA/s1600/jamtz.jpg)
Mchekeshaji Charlie Chaplin alishika nafasi ya tatu kwenye shindano la kumtafuta mtu anaefanana nae. Judges hawakujua kama na Charlie Chaplin alijichomeka kwenye hilo kundi.
9 years ago
Bongo524 Oct
Diego Costa asema yeye si malaika
9 years ago
Mtanzania23 Oct
Magufuli asema yeye ndiye mshindi
NA BAKARI KIMWANGA, CHALINZE
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema anajua yeye ndiye rais wa awamu ya tano na Watanzania wameshamhakikishia watamchagua keshokutwa wakati wa kupiga kura.
Kwa mujibu wa Dk. Magufuli, anajua Watanzania wamechoshwa na ahadi za uongo, na kwamba sasa wanahitaji ahadi za vitendo.
Dk. Magufuli aliyasema hayo jana katika mkutano wa kampeni uliofanyika Chalinze, Mkoa wa Pwani.
“Watu wamechoshwa na ahadi za uongo na wanahitaji...
10 years ago
Mwananchi18 Oct
AREMA wampinga Profesa Muhongo