Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Profesa Muhongo ajiuzuru, asema yeye ni mtu safi

Kufuatia kuhusishwa na sakata la uchotwaji wa mabilioni ya fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow, Waziri wa Nishati na madini Profesa Sospeter Muhongo ameamua kumuandikia barua Raisi ya kujiuzulu wadhifa wake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Profesa Muhongo ajiuzulu, asema yeye ni mtu safi


Profesa Muhongo amekwenda mbali zaidi na kueleza kuwa yeye si mwizi na hawezi kuuza utu wake kwa kupewa rushwa ili kuwakandamiza watanzania.
Kufuatia kuhusishwa na sakata la uchotwaji wa mabilioni ya fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow, Waziri wa Nishati na madini Profesa Sospeter Muhongo ameamua kumuandikia barua Raisi ya kujiuzulu wadhifa wake.Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Profesa Muhongo ameelezea furaha yake ya kupatikana kwa maendeleo ya haraka katika...

 

10 years ago

Habarileo

Profesa Muhongo, Katibu Maswi safi

Aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter MuhongoUCHUNGUZI dhidi ya aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo na aliyekuwa Katibu wake, Eliakim Maswi, umebaini kuwa viongozi hao hawakukiuka maadili yoyote katika sakata la utoaji wa karibu Sh bilioni 300 zilizokuwa katika akaunti ya Tegeta Escrow, iliyokuwa Benki Kuu (BoT).

 

11 years ago

Mwananchi

Mengi asema Profesa Muhongo siyo mkweli

>Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi amesema kauli zinazotolewa na  Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo dhidi yake kuhusu uwekezaji katika sekta ya gesi nchini hazina ukweli wowote.

 

11 years ago

Habarileo

Profesa Muhongo acharuka

WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema baadhi ya kampuni zinazotumiwa na Wakala wa Nishati Vjijini (REA) kuwaunganishia umeme wakazi wa vijijini, zinaomba rushwa, hivyo kuwaondolea matumaini ya kuondokana na umasikini.

 

10 years ago

Habarileo

Profesa Muhongo ajiuzulu

Aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter MuhongoHATIMAYE baada ya kukabiliwa na shinikizo la muda mrefu kuanzia katika vyombo vya habari, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na baadaye katika vikao vya vyama vya siasa, Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amejiuzulu wadhifa huo.

 

10 years ago

Africanjam.Com

CHARLIE CHAPLIN HAKUSHINDA SHINDANO LA MTU ANAEFANANA NA YEYE


Mchekeshaji Charlie Chaplin alishika nafasi ya tatu kwenye shindano la kumtafuta mtu anaefanana nae. Judges hawakujua kama na Charlie Chaplin alijichomeka kwenye hilo kundi.

 

9 years ago

Bongo5

Diego Costa asema yeye si malaika

Mchezaji wa Chelsea Diego Costa ameeleza anajua kwamba yeye “si malaika” pindi anapo kuwa uwanjani na kwamba hatabadilisha mtindo wake wa uchezaji soka. Costa amepigwa marufuku mechi tatu mara mbili mwaka huu, mara ya kwanza kwa kumkanyaga mchezaji wa Liverpool Emre Can na mara ya pili kwa kumsukuma difenda wa Arsenal Laurent Koscielny. “Nimefika mbali […]

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli asema yeye ndiye mshindi

mtz1FINALNA BAKARI KIMWANGA, CHALINZE

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema anajua yeye ndiye rais wa awamu ya tano na Watanzania wameshamhakikishia watamchagua keshokutwa wakati wa kupiga kura.

Kwa mujibu wa Dk. Magufuli, anajua Watanzania wamechoshwa na ahadi za uongo, na kwamba sasa wanahitaji ahadi za vitendo.
Dk. Magufuli aliyasema hayo jana katika mkutano wa kampeni uliofanyika Chalinze, Mkoa wa Pwani.
“Watu wamechoshwa na ahadi za uongo na wanahitaji...

 

10 years ago

Mwananchi

AREMA wampinga Profesa Muhongo

Chama cha Wachimbaji Madini Mkoa wa Arusha (Arema), kimepinga mpango wa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo wa kukifuta Chama cha Wachimbaji Madini Wanawake (Tawoma) baada ya kupinga ongezeko la tozo kwa wachimbaji wadogo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani