Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHARLIE CHAPLIN HAKUSHINDA SHINDANO LA MTU ANAEFANANA NA YEYE


Mchekeshaji Charlie Chaplin alishika nafasi ya tatu kwenye shindano la kumtafuta mtu anaefanana nae. Judges hawakujua kama na Charlie Chaplin alijichomeka kwenye hilo kundi.

africanjam.com

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Profesa Muhongo ajiuzulu, asema yeye ni mtu safi


Profesa Muhongo amekwenda mbali zaidi na kueleza kuwa yeye si mwizi na hawezi kuuza utu wake kwa kupewa rushwa ili kuwakandamiza watanzania.
Kufuatia kuhusishwa na sakata la uchotwaji wa mabilioni ya fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow, Waziri wa Nishati na madini Profesa Sospeter Muhongo ameamua kumuandikia barua Raisi ya kujiuzulu wadhifa wake.Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Profesa Muhongo ameelezea furaha yake ya kupatikana kwa maendeleo ya haraka katika...

 

10 years ago

Mwananchi

Profesa Muhongo ajiuzuru, asema yeye ni mtu safi

Kufuatia kuhusishwa na sakata la uchotwaji wa mabilioni ya fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow, Waziri wa Nishati na madini Profesa Sospeter Muhongo ameamua kumuandikia barua Raisi ya kujiuzulu wadhifa wake.

 

10 years ago

Vijimambo

ETI ‘SIWEZI KUISHI BILA YEYE’ KWANI YEYE NANI?

Hakuna shaka tulio wengi tupo katika uhusiano wa kimapenzi wa mashaka. Hakuna hata mmoja wetu ambaye anaweza kujiaminisha kwa asilimia mia moja kwamba mpenzi wake aliye naye anampenda kwa dhati kabisa au anazuga. Hii inabaki kuwa siri ya anayependa!

Lakini sasa, kuna kitu nilichogundua miongoni mwetu, kitu ambacho tusipokuwa makini nacho tunaweza kujikuta tunajilazimisha kuishi maisha ya huzuni wakati tunayo haki ya kuishi maisha yenye furaha.
Ukweli ni kwamba, kila mtu anao uhuru wa kupenda...

 

10 years ago

GPL

ETI ‘SIWEZI KUISHI BILA YEYE’ KWANI YEYE NANI?

Hakuna shaka tulio wengi tupo katika uhusiano wa kimapenzi wa mashaka. Hakuna hata mmoja wetu ambaye anaweza kujiaminisha kwa asilimia mia moja kwamba mpenzi wake aliye naye anampenda kwa dhati kabisa au anazuga. Hii inabaki kuwa siri ya anayependa! Lakini sasa, kuna kitu nilichogundua miongoni mwetu, kitu ambacho tusipokuwa makini nacho tunaweza kujikuta tunajilazimisha kuishi maisha ya huzuni wakati tunayo haki ya kuishi maisha...

 

5 years ago

Michuzi

SITASHANGAA MTU AKIJIITA MAGUFULI AU HATA AKIJIITA FISI NI YEYE MWENYEWE- DK.MAGUFULI

Asisitiza watu kukataa kupokea barakoa wasizojua zinatoka wapi...
 Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
RAIS Dk.John Magufuli ameendelea kusisitiza kuwa Watanzania wasikubali kupewa msaada wa barakoa na kisha kuzivaa bila kujua zilikotoka kwani hiyo huenda ikawa njia nyingine ya kuingiza Corona nchini.
Amefafanua licha ya kutoa maelekezo na maagizo kwa Wizara ya Afya na kwa viongozi wa mikoa na wilaya ameshudia watu wakipewa barakoa na juzi kwenye taarifa ya habari ameona kuna grupu linajiita...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lutwaza, Mwigizaji Anaefanana na Marehemu Kanumba Asema Atasimama Mwenyewe!

Philemon Lutwaza ‘Lutwaza’ mwigizaji anayefanana nyota wa filamu Bongo marehemu Steven Kanumba ameshuka kwa kusema kuwa anashukru kwa wadau wa filamu kumpokea katika tasnia ya filamu kama msanii anayefanya vema, anataka kusimama mwenyewe.

“Tasnia ya filamu Bongo ili huweze kufaidika na kuwakilisha mawazo yako lazima uwe mtayarishaji, ukibaki kama mwigizaji tu unakwama, nimejipanga kusimama mwenye natoka na filamu yangu ya Anko Kiepe,”anasema Lutwaza.

Lutwaza ametamba kwa kusema kuwa filamu...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lutwaza, Mwigizaji Anaefanana na Marehemu Kanumba Asema Atasimama Mwenye!

Philemon Lutwaza ‘Lutwaza’ mwigizaji anayefanana nyota wa filamu Bongo marehemu Steven Kanumba ameshuka kwa kusema kuwa anashukru kwa wadau wa filamu kumpokea katika tasnia ya filamu kama msanii anayefanya vema, anataka kusimama mwenyewe.

“Tasnia ya filamu Bongo ili huweze kufaidika na kuwakilisha mawazo yako lazima uwe mtayarishaji, ukibaki kama mwigizaji tu unakwama, nimejipanga kusimama mwenye natoka na filamu yangu ya Anko Kiepe,”anasema Lutwaza.

Lutwaza ametamba kwa kusema kuwa filamu...

 

10 years ago

GPL

ETI ‘SIWEZI KUISHI BILA YEYE’, KWANI YEYE NI ‘OKSIJENI’?

Hakuna shaka tulio wengi tupo katika uhusiano wa kimapenzi wa mashaka. Hakuna hata mmoja wetu ambaye anaweza kujiaminisha kwa asilimia mia moja kwamba mpenzi wake aliye naye anampenda kwa dhati kabisa au anazuga. Hii inabaki kuwa siri ya anayependa! Lakini sasa, kuna kitu nilichogundua miongoni mwetu, kitu ambacho tusipokuwa makini nacho tunaweza kujikuta tunajilazimisha kuishi maisha ya huzuni wakati tunayo haki ya kuishi...

 

11 years ago

GPL

WIKI 3 KUELEKEA FAINALI YA SHINDANO LA TMT, WASHIRIKI WENGINE 2VWAAGA SHINDANO‏

 Joyce Kalinga Mshiriki wa Shindano la TMT ambae apia alikua mshindi kutoka Kanda ya Kati Mkoani Dodoma akitoa maneno yake ya shukrani na pia kuwashukuru wadau, Kampuni ya Proin Promotions na watazamaji na waliompigia kura japokuwa bahati haikuwa yake kutokana na kutolewa kwenye kinyanganyiro hicho baada na uchache wa kura kutoka kwa watazamaji.  Lulu na Joti wakitoa maelekezo kwa washiriki wawili wa Shindano la TMT...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani