Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lutwaza, Mwigizaji Anaefanana na Marehemu Kanumba Asema Atasimama Mwenyewe!

Philemon Lutwaza ‘Lutwaza’ mwigizaji anayefanana nyota wa filamu Bongo marehemu Steven Kanumba ameshuka kwa kusema kuwa anashukru kwa wadau wa filamu kumpokea katika tasnia ya filamu kama msanii anayefanya vema, anataka kusimama mwenyewe.

“Tasnia ya filamu Bongo ili huweze kufaidika na kuwakilisha mawazo yako lazima uwe mtayarishaji, ukibaki kama mwigizaji tu unakwama, nimejipanga kusimama mwenye natoka na filamu yangu ya Anko Kiepe,”anasema Lutwaza.

Lutwaza ametamba kwa kusema kuwa filamu...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Lutwaza, Mwigizaji Anaefanana na Marehemu Kanumba Asema Atasimama Mwenye!

Philemon Lutwaza ‘Lutwaza’ mwigizaji anayefanana nyota wa filamu Bongo marehemu Steven Kanumba ameshuka kwa kusema kuwa anashukru kwa wadau wa filamu kumpokea katika tasnia ya filamu kama msanii anayefanya vema, anataka kusimama mwenyewe.

“Tasnia ya filamu Bongo ili huweze kufaidika na kuwakilisha mawazo yako lazima uwe mtayarishaji, ukibaki kama mwigizaji tu unakwama, nimejipanga kusimama mwenye natoka na filamu yangu ya Anko Kiepe,”anasema Lutwaza.

Lutwaza ametamba kwa kusema kuwa filamu...

 

10 years ago

Bongo Movies

Maneno ya Chopamchopanga Kuhusu Marehemu Kanumba Yaleta Majonzi

Leo Asubuhi kupita ukurasa wake mtandaoni, staa wa Bongo Movies Juma Chikoka “Chopa Mchopanga” ambae amewahi kufanya kazi kwa karibu  na marehmu Steven Kanumba toka enzi wakiwa Kaole, ameonyesha hisia zake za kumkumbuka sana Kanumba kitendo ambacho kimewafanya washabiki wengi nao kuonyesha kukuswa na andiko hilo nakupelekea komenti nyingi za majonzi kutawala kwenye post hiyo.

Chapa aliandika haya mara baadaya kuweka picha ya Kanumba;

“Too soon.. too  young.. very talented  Steven  Kanumba.....

 

10 years ago

CloudsFM

KITABU CHA MAISHA YA MAREHEMU KANUMBA KUZINDULIWA JUMAMOSI HII

Kitabu cha maisha ya aliyekuwa msanii wa filamu za Kibongo,marehemu Steven Kanumba # thegreatfallentree# kinazinduliwa Jumamosi wiki hii katika ukumbi wa Landmark Hotel,Ubungo jijini Dar.Katika uzinduzi huo kutakuwa na burudani mbalimbali ikiwemo bendi ya Malaika chini ya Christian Bella.

 

10 years ago

Michuzi

BONGO MOVIE KUPAMBA UZINDUZI WA KITABU CHA MAREHEMU KANUMBA LANDMARK HOTEL


 
UZINDUZI wa kitabu cha msanii wa filamu hayati Steven Kanumba unatarajia kuandika historia kufuatia maandalizi yaliyopangwa anasema mratibu wa tamasha hilo Mohamed Mwikongi ‘Frank’ amesema kuwa kutakuwa na mambo muhimu sana kwa ajili ya kumuenzi msanii huyo ambaye aliitangaza Tanzania kimataifa.
“Tumepanga kufanya mambo makubwa kwa ajili ya mwenzetu na tunataka ijengeke tabia ya kuenzi wasanii mbalimbali, pesa za uzinduzi wa kitabu hiki utafungua Kanumba Foundation kwa ajili ya kusaidia...

 

11 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA KUMUENZI MAREHEMU STEVIN KANUMBA KUZINDULIWA APRIL 7, 2014 JIJINI DAR

Uzinduzi wa taasisi ya marehemu Steven Kanumba ijulikanayo  kwa jina la Kanumba The Great Foundation utafanyika Aprili 7 kwenye ukumbi maarufu wa Dar Live uliopo Mbagala, jijini.
 Uzinduzi huo utaenda sambamba na maadhimisho ya miaka miwili tokea kufariki kwa marehemu Kanumba ambaye alifariki dunia Aprili 7.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Mama mzazi wa marehemu Kanumba, Flora Mtegoa alisema kuwa wameamua  kuanzisha taasisi hiyo ili kuendelea kumuenzi mtoto wake na kuendeleza...

 

11 years ago

GPL

KUMBUKUMBU YA KANUMBA: LULU ASEMA ‘U STILL LIVE IN ME DADDY’

Elizabeth Michael 'Lulu'. Hiki ndicho alichokiandika kupitia akaunti yake ya Instagram (@Officiallulumichael):
Bado siamini Kama mwaka wa pili unakatika bila kukuona wala kukusikia baba…!Ninaamini bdo tupo wote kiroho na Ninaamini zaidi nafsi yako huko ilipo inasimama kunitetea na kunipigania,inaweza kunichukua miaka na miaka kukuelezea….u still liv in me daddy and your… ...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mama Kanumba:Nitaendeleza ndoto za Kanumba kupitia "Kanumba Foundation"

Mama wa aliyekuwa nyota wa filamu nchini, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa amesema kuwa kupitia Kampuni ya Kanumba The Great Film inakamilisha uanzishaji wa taasisi itakayoitwa, Kanumba Foundation.

Pia, alikanusha uvumi kuwa kampuni ya Kanumba imekufa, akifafanua jambo hilo alisema kampuni hiyo inaendelea na shughuli zake. Alisema kutakuwapo Kanumba Foundation ili kusaidia jamii wakiwamo wasanii katika masuala mbalimbali.

Akizungumza na gazeti la Mwananchi, Flora alisema uamuzi...

 

10 years ago

Michuzi

FILIKUNJOMBE APELEKEWA FOMU YA UBUNGE NYUMBANI KWAKE , MWENYEWE AMPONGEZA JK ASEMA DR MAGUFULI ATEGEMEE KURA ZA KISHINDO LUDEWA

Msafara  wa  vijana wa Boda  boda  zaidi ya 300  waliowasindikiza  wazee wa Ludewa kumchukulia  fomu  mbunge  Deo FilikunjombeWazee  wakimpoelekea  fomu ya ubunge Deo Filikunjombe nyumbani kwake  kwa maandamanoSafari  ya  kuelekea  nyumbani kwa Filikunjombe kukabidhi fomu ya ubunge.Mbunge  wa  jimbo la  Ludewa  Deo Filikunjombe  akipokea  fomu  kutoka kwa  wazee  na vijana  waliomchukulia na kwenda  kumkabidhi nyumbani kwake Ibani mjini  Ludewa. Kwa taarifa kamili na picha zaidi BOFYA...

 

10 years ago

Bongo Movies

Rachel: Sio JB pekee, Hizi ni baadhi ya Filamu za Marehemu Kanumba na Ray walizokopi Stori Mpaka Majina

Mcheza filamu za kibongo ambae pia ni muigiazaji wa michezo ya kuigiza kupitia kituo cha televisheni cha Chanel Ten, Rachel Silvestar  amesma anashangazwa na baadhi ya watu kumchukulia vibaya muogizaji mkongwe JB baada ya kuonekana amekopi filamu ya kihindi na kuiita mzee wa swaga wakati hicho kitendo ni cha kawaida kwenye sanaa duniani na JB sio mtu wa kwanza kukupi filamu za nje

Amesema wasanii wakubwa pia kama marehemu Kanumba na Ray nao wamewahi kukopi filamu za nje tena mpaka majina...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani