Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Professor Benezeth Mutayoba apata tuzo ya 2014 National Geographic Buffett for leadership in conservation

Professor Benezeth Mutayoba , Profesa chuo kikuu cha Sokonne na makamu mwenyekiti wa Tanzania Elephant Protection society akipokea tuzo ya Buffet For Leadership In Conservation kutoka National Geographic siku ya Alhamisi June 12, 2014 Washington, DC. Wanaomkabidhi tuzo ni Dr. John Francis (kushoto) ambaye ni makamu wa Rais National Geographic kwenye Utafiti na Gary E. Knell ambaye ni Ris National Geographic na Afisa Mtendaji Mkuu Professor Benezeth Mutayoba , Profesa chuo kikuu cha...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

National Geographic

The National Geographic Society


National Geographic
The National Geographic Society
National Geographic
Debate moderator John Sibi-Okumu (middle) gestures in the debate session between Paula Kahumbu and Charles Onyango Obbo. Photo by Emmanuel Muasya/WildlifeDirect. By Paula Kahumbu. In Kenya, when you hear that “Things are Elephant,” it means ...
Tanzania Unveils New Elephant OrphanageEcorazzi
Illegal Ivory Traders Now Explore New Export RoutesAllAfrica.com

all 3

 

11 years ago

GPL

NATIONAL GEOGRAPHIC WASHINGTON, DC YAFAGILIA MBUGA ZA WANYAMA ZA TANZANIA

National Geographic ya Washington, DC siku ya Jumatano, Dec 11, 2913 walionyesha vivutio mbalimbali vilivyopo kwenye mbuga zetu za wanyama kwa wahudhuriaji ambao wengi wao walikua Wamarekani pia ulialikwa Ubalozi wa Tanzania akiwemo Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknologia, Mhe. January Makamba.…

 

11 years ago

Dewji Blog

National Geographic Society Names Winners of Terra Watt Prize Competition for Innovative Energy Solutions

TerraWattPrize-logo-FINAL

India-based Mera Gao Micro Grid Power (MGP) and Tanzania-based EGG-energy (EGG) are the winners of National Geographic’s first Terra Watt Prize, a competition aimed at developing innovative solutions that address on energy poverty. National Geographic launched the Terra Watt Prize to support entrepreneurs and investors in the quest to bring basic access to electricity to people worldwide. MGP and EGG will each receive grants of $125,000 to implement their proposed projects to provide...

 

10 years ago

Michuzi

mamaa wa mitindo asia idarous apata tuzo ya Zakhia Meghji Life Time Achievement 2014

Mwanamitindo Mkongwe hapa nchini na nje ya Mipaka ya Tanzania,Asia Idarous a.k.a Mamaa wa Mitindo (pichani) akiwa na tuzo yake ya "Zakhia Meghji Life Time Achievement 2014" alioshinda jana katika Jukwaa kubwa na maonyesho ya Mitindo la Swahili Fashion Week Tanzania.Asia Idarous ambaye ni Mwanamitindo wa miaka mingi aliweza kunyakua tuzo hiyo baada ya kuwepo kwenye tasnia hiyo ya mitindo kwa zaidi ya miaka 35 na amefanya maonyesho ya mitindo mara 150 ndani ya Tanzania na nje ya mipaka ya...

 

10 years ago

IPPmedia

CUF National Chairman Professor Ibrahim Lipumba


IPPmedia
CUF National Chairman Professor Ibrahim Lipumba
IPPmedia
Both the ruling party and major opposition Civic United Front (CUF) are calling on all officials implicated in the Tegeta 306bn/- escrow account scandal to voluntarily resign before they are publicly kicked out of office. Additionally, CUF wants all accounts that ...

 

11 years ago

Michuzi

2ND NATIONAL ECONOMIC FORUM 24TH OCTOBER, 2014, DAR ES SALAAM 2.00PM to 6.00PM, KARIMJEE HAL THEME: ENTREPRENEURSHIP IN NATIONAL DEVELOPMENT; PUBLIC PRIVATE PARTNERSHIP PERSPECTIVE.

I greet you on behalf of the Tanzania Professionals Network, a network that was started as a Non-Governmental Organization which brings together Tanzanian Professionals and corporate from various industries within and outside the country to address cross-cutting issues. The top agenda being mobilizing our resources using the Power of Brain to empower economically Professionals and Tanzanians at large by using opportunities which has already been identified.TPN has decided to organize the...

 

9 years ago

Bongo5

EFM yashinda tuzo za Tanzania Leadership [Awards] 2015

1

Kituo cha redio cha EFM cha Dar es Salaam, kimeshinda tuzo za Tanzania Leadership [Awards] zinazotolewa na taasisi maarufu ya Purple Cow.

1

Utoaji wa tuzo hizo ulifanyika Ijumaa iliyopita kwenye hoteli ya Hyatt Regency Kilimanjaro. Katika kipengele cha Kituo Bora cha Redio mwaka 2015, nafasi ya pili ilikamatwa na TBC Taifa.

Meneja Mawasiliano na Mahusiano wa EFM, Dennis Ssebo amesema ushindi huo una maana kubwa kwao.

“Sina wasiwasi kwa mafanikio haya kwasababu juhudi zetu zinajidhihirisha...

 

11 years ago

GPL

TUZO ZA BET 2014: DAVIDO ATWAA TUZO YA BEST AFRICAN ACT

Davido akiwa na tuzo yake. Mwanamuziki kutoka Nigeria, Davido ametwaa tuzo ya BET ya Best African Act iliyokuwa pia ikiwaniwa na msanii Diamond Platinumz wa Tanzania. Katika kundi hilo pia walikuwemo Mafikizolo (Afrika Kusini), Sarkodie (Ghana), Tiwa Savage (Nigeria) na Toofan (Togo). Baada ya kutwaa tuzo hiyo, Davido aliandika hivi katika akaunti yake ya Instagram:… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani