PUNGUZO LA ASILIMIA 40 KWA MTANZANIA ATAKAYETIBIWA HOSPITALI YA IRAN YA DUBAI
![](http://2.bp.blogspot.com/-YpFc0KpSeMA/VHamyJLGhDI/AAAAAAAGzs8/YF5hWbsQGVU/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
Balozo Mdogo wa Tanzania Dubai Mhe Omar Mjenga na Dkt. Asghar Farshad wa hospitali ya Iran huko Dubai wakitia saini makubaliano ambapo hospitali hiyo imetoa ofa ya punguzo la asilimia 40 ya malipo ya matibabu kwa Mtanzania yeyote atayekwenda kutibiwa hapo Iranian Hospital Dubao
Balozo Mdogo wa Tanzania Dubai Mhe Omar Mjenga na Dkt. Asghar Farshad wa hospitali ya Iran huko Dubai wakibadilishana hati za makubaliano ambapo hospitali hiyo imetoa ofa ya punguzo la asilimia 40 ya malipo ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/--e9xOTlK4zc/VHpGFUP5YEI/AAAAAAADJKQ/-gr84CUFl5Q/s72-c/scan0001.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-pYm0uSdtIew/U_9QLQPpQyI/AAAAAAAGMV8/3Vbir3UlwO4/s72-c/unnamed%2B(50).jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania- Dubai akutana na akutana na Mkurugenzi wa Hospitali ya Iran ya Dubai
Baada ya mazungumzo na mashauriano ya muda wa saa moja, Uongozi wa Juu wa Hospitali,...
10 years ago
CloudsFM11 Nov
SHOO YA BIRTHDAY YA MH.TEMBA, ASILIMIA 80 YA MAPATO KUCHANGIA WODI YA WATOTO HOSPITALI YA TEMEKE
Leo ni kumbukumbu ya kuzaliwa ya msanii Amani Temba a.k.a Mheshimiwa Temba kutoka kundi ya TMK Wanaume Family.
Usiku wa leo ameandaa shoo maalum ndani ya ukumbi wa Ikweta Grill, Temeke kiasi cha mapato kitaenda kuchangia wodi ya watoto katika hospitali ya Temeke, kama ilivyokuwa kwa bendi ya Yamoto Band mwishoni mwa mwezi wa tisa walipoambatana na timu nzima ya TMK Wanaume Temba kuchangia hospitalini hapo.
11 years ago
Michuzi10 May
Punguzo la bei ya umeme mwiba kwa washindani-IPTL
Chanzo cha uhakika kutoka Wizara ya Nishati na Madini kimetoa taarifa hiyo kwa gazeti hili jana kuwa kwa zaidi ya muongo mmoja, kampuni za kigeni zimekuwa zikipata faida kubwa kwa kuzalisha umeme na kuuza kwa bei ya juu nchini.
Kampuni ya IPTL ambayo inamilikiwa na kampuni ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LDRZ*VdxUTG3RlXYs9lzAzhsgzuaZiuergw2no4NYSh5Lr-MuDvQD6NjBZO0WeVlfMDAaTCPg3WYTlEDvMgF62Z81CYoCIGD/1.jpg)
AIRTEL YAJA NA HUDUMA MPYA YA KUTOA PUNGUZO KWA WATEJA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ZpRIe3oJKi4/U5Fq86Rn3WI/AAAAAAACi5s/ex7u4_etMb0/s72-c/emirates.jpg)
Emirates yatoa punguzo maalumu la bei za tiketi kwa Watanzania wanaokwenda Chicago, Marekani
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZpRIe3oJKi4/U5Fq86Rn3WI/AAAAAAACi5s/ex7u4_etMb0/s1600/emirates.jpg)
Shirika la Ndege la Emirates, linalosifika kwa kutoa huduma bora za usafiri wa anga kwa abiria kwa mataifa mbalimbali, limetangaza ofa maalumu kwa Watanzania watakaokwenda Chicago nchini Marekani, kupitia Dubai wakitokea Dar es Salaam. Punguzo hilo au ofa hiyo maalumu ni kwa madaraja ya abiria wa kawaida yaani Economy Class na daraja la wafanyabiashara ‘Business Class’.
Emirates ilitangaza ofa hiyo mapema...
10 years ago
MichuziMBOWE AKABIDHI AMBULANCE MBILI KWA HOSPITALI YA WILAYA YA HAI NA HOSPITALI YA MACHAME
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yKSxyS5Ed2w/Xrr648Zvj7I/AAAAAAALp_M/NCH3ThnMSAAK2u779YLAzklKNV0OB7rgwCLcBGAsYHQ/s72-c/0b30eed9-53fd-4404-aee8-0d9d4d1797f3.jpg)
WAUGUZI HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA WATOA ZAWADI YA CHEREHANI KWA HOSPITALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-yKSxyS5Ed2w/Xrr648Zvj7I/AAAAAAALp_M/NCH3ThnMSAAK2u779YLAzklKNV0OB7rgwCLcBGAsYHQ/s640/0b30eed9-53fd-4404-aee8-0d9d4d1797f3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-t-iSku1E-A4/Xrr64wajdSI/AAAAAAALp_Q/v9ggvbcwqQAgHJ79p3D8dTN-pzby39uZwCLcBGAsYHQ/s640/46253368-5df7-4c6f-8fc6-2db91d438d1f.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-fABH6vnVGNA/Xrr64IqKMII/AAAAAAALp_I/SVAnEdUVZ8sWTt7s0dgvTEb4TH6RMyqlgCLcBGAsYHQ/s640/c65bc8e3-1bda-4181-bacd-fb3d35945366.jpg)
Wauguzi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya, leo wamekabidhi zawadi ya mashine ya cherehani yenye thamani ya shilingi 1,500,000/= MZRH ikiwa ni mchango wao wa alama ya upendo katika maadhimisho ya siku ya kimataifa ya wauguzi duniani.
Akizungumza katika makabidhiano hayo Mwenyekiti wa Chama cha...