Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Query as Meghji votes as Islander

>More claims of voter tampering in the just-ended Constituent Assembly (CA) continue to emerge, this time involving a member from the Union Parliament from the Mainland who reportedly voted as a representative from Zanzibar.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kura ya Meghji yazua utata mpya

Suala la Mjumbe wa lililokuwa Bunge Maalumu la Katiba, Zakia Meghji kupiga kura upande wa Zanzibar wakati wa kupitisha Katiba Inayopendekezwa, limechukua sura mpya baada ya uliokuwa uongozi wa Bunge hilo kusema, “hakuna sehemu yoyote iliyobainisha kwamba alikuwa mjumbe kutoka Bara.”

 

11 years ago

Mwananchi

Chadema walaani Meghji kuipigia kura Zanzibar

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema kitendo kilichofanywa na uongozi wa lililokuwa Bunge Maalumu la Katiba cha kumfanya Mjumbe wa Bunge hilo, Zakia Meghji kupiga kura kama Mzanzibar badala ya ‘Mtanzania Bara’ ni ‘uhuni’ unaotakiwa kuchukuliwa hatua na wananchi.

 

11 years ago

Mwananchi

Meghji alisajiliwa Bara kamati Bunge Maalumu

Utata wa kupiga kura unaomhusu Mjumbe wa lilikokuwa Bunge Maalumu, Zakia Meghji umechukua sura mpya baada ya kubainika kwamba alipiga kura upande wa Tanzania Bara tofauti na ilivyokuwa wakati wa kupiga kura ya uamuzi wa kupitisha Katiba Inayopendekezwa ambako alipiga kura upande wa Zanzibar.

 

11 years ago

Habarileo

Meghji azawadiwa kwa kukaa miaka 9 Wizara ya Maliasili

Zakhia Meghji WIZARA ya Maliasili na Utalii imemzawadia aliyewahi kuwa waziri wake, Zakhia Meghji kwa kuwa pekee aliyeiongoza kwa muda mrefu.

 

11 years ago

Michuzi

michango ya waheshimiwa zakhia meghji na Frederick Migala wavutia wengi bungeni dodoma

 Mheshimiwa Zakia Hamdani Meghji ambaye uchangiaji wake uliwavutia wengi baada ya kuweka wazi kuwa anaunga mkono Serikali mbili na kuwa hayuko tayari kuona muungano unakufa wakati akichangia kifungu namba moja na  namba sita.Kulia kwake ni Mhe.Hilda Ngoye.Wote wawili wamewahi kuwa wakuu wa Mkoa wa Kilimanjaro kwa Nyakati tofauti  Mhe.Frederick Migala kutoka kundi la walemavu akichangia. Mhe.Kingunge Ngombale Mwiruakimpongeza Mhe.Frederick Migala kutoka kundi la walemavu akichangia baada...

 

10 years ago

Michuzi

mamaa wa mitindo asia idarous apata tuzo ya Zakhia Meghji Life Time Achievement 2014

Mwanamitindo Mkongwe hapa nchini na nje ya Mipaka ya Tanzania,Asia Idarous a.k.a Mamaa wa Mitindo (pichani) akiwa na tuzo yake ya "Zakhia Meghji Life Time Achievement 2014" alioshinda jana katika Jukwaa kubwa na maonyesho ya Mitindo la Swahili Fashion Week Tanzania.Asia Idarous ambaye ni Mwanamitindo wa miaka mingi aliweza kunyakua tuzo hiyo baada ya kuwepo kwenye tasnia hiyo ya mitindo kwa zaidi ya miaka 35 na amefanya maonyesho ya mitindo mara 150 ndani ya Tanzania na nje ya mipaka ya...

 

10 years ago

Sunday Leader

Query Over Blood Ivory Disposal


Sunday Leader
Query Over Blood Ivory Disposal
Sunday Leader
Questions have been raised as to why the new government has not yet considered disposing of the shipment of contraband blood ivory that was seized by the Sri Lanka Customs in May 2012, while being transshipped to Dubai from Tanzania. Stock of ...

 

10 years ago

TheCitizen

Residents query sand exports

Residents of Ntondo Village in Lindi Region have called for government intervention in their dispute with Pack, a mining company they suspect of smuggling out of the country tonnes of sand believed to contain minerals.

 

10 years ago

TheCitizen

Parliamentarians query education standards in EA

Poverty could be the reason behind the falling educational standards in East Africa, according to a member of the East African Legislative Assembly (Eala) from Kenya Judith Pareno.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani