Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RACHEL SITOKI NA TID JAMANI!

Stori: shani ramadhani MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Winfrida Josephat maarufu kama Rachel, amekanusha uvumi kuwa anatoka kimapenzi na mkongwe wa Bongo Fleva, Khalid Mohamed ‘TID’. Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Winfrida Josephat maarufu kama Rachel,Rachel ambaye ni zao la Nyumba ya Vipaji Tanzania (THT), aliyetamba na kibao chake cha Kizunguzungu, alisema maneno hayo siyo mageni kwake, lakini ukweli ni...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Jamani jamani, hii nini tena jamani?? Shilole na Nuh mziwanda wachafua mtandao tena

LEO kupitia kwenye kwenye mtandao ule maarufu wa picha nchini, msanii Nuhu mziwanda a.k.a mume mtarajiwa wa mwanadada Shilole ameweke picha hiyo hapo juu ambayo imezua utata mkubwa sana kwa wadau wachache walioiona picha hiyo kwenye mtandao, kabla haijafutwa. Wengi wao wamehoji,

 je kuna umuhimu gani wa kutupia mambo mazito kama hayo kwenye mitandao ya kijamii??

 

Picha hiyo ilikuwa na maandishi yanayosema

 

“I’m just hold it tight, my favorite thing on her boy”

 

Kwanza kabisa...

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

GPL

11 years ago

GPL

RACHEL: NAJUTA KUTAMANI KUOLEWA

Rachel Daudi Mwegola akiwa ndani ya Global TV Online. MSANII wa filamu Bongo, Rachel Mwegoha amefunguka ya moyoni kuwa anajuta kutamani kuolewa.
Akifanya mahojiano kupitia kipindi cha Mtu Kati kinachorushwa na Global TV Online, Rachel alisema kuwa anajuta jinsi alivyoutumia vibaya ujana wake kwa kuelekeza nguvu nyingi katika kutamani ndoa na mwisho kujikuta akiambulia maumivu. “Nilikuwa nikitamani sana kuolewa...

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Rachel K f/ Ms. Triniti — Application

Video mpya ya msanii wa Uganda, Rachel K aliomshrikisha Ms Triniti ‘Application’.

 

11 years ago

CloudsFM

RACHEL HAULE WA BONGO MOVIE AFARIKI DUNIA

Msanii wa Bongo Movie, Rachel Haule 'Recho' (pichani), amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es slaaam. Habari zilizothibitishwa na Mwenyekiti wa Bongo Movie, Steve Nyerere, zimesema kuwa Recho alikwenda Muhimbili jana kujifungua ambapo mara baada ya kujifungua mtoto alifariki na yeye hali yake kuwa mbaya, ilibidi ahamishiwe ICU ambako hali ilizidi kuwa mbaya na baadae kufariki dunia.

 

11 years ago

GPL

MSANII RACHEL DAUDI NDANI YA GLOBAL TV ONLINE

Rachel Daudi Mwegola ndani ya Global Tv Online. STAA wa maigizo, Rachel Daudi Mwegola, leo yupo ndani ya Global TV Online akizungumza katika kipindi cha Mtu Kati.

 

11 years ago

GPL

RACHEL AMUUMIZA WASTARA, AMUACHIA DAVINA HAUSIGELI

Stori: Hamida Hassan KIFO cha msanii wa filamu, Rachel Haule kimewaumiza wengi lakini baadhi yao ni wasanii wenzake, Halima Yahaya ‘Davina’ aliyeachiwa hausigeli wa marehemu katika mazingira ya ajabu huku Wastara Juma akiumizwa na viatu na pochi alivyopewa na Rachel kabla hajafariki dunia. Msaniii wa Bongo Movie Halima Yahaya ‘Davina’ akiwa na simanzi kubwa. Akizungumza na Ijumaa juzi, Davina alisema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani