Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Raia awezesha kukamatwa majambazi

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova.RAIA wa kigeni ambaye jina lake halikutajwa na polisi kwa sababu za kiusalama ameporwa na kutelekezwa eneo la Mwananyamala na watu aliokuwa nao kwenye gari alilopanda Posta Mpya.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

IGP ATOA ZAWADI NONO KWA ATAKAYEFANIKISHA KUKAMATWA MAJAMBAZI WALIOVAMIA STAKISHARI

Muonekano wa Kituo cha Stakishari, Ukonga jijini Dar kilichovamiwa na majambazi. Askari polisi akidumisha ulinzi kwenye kituo hicho. MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Ernest Mangu leo ametoa zawadi nono ya shilingi milioni 50 kwa mtu yeyote atakayefanikisha kukamatwa kwa majambazi waliovamia Kituo cha Polisi cha Stakishari kilichopo Ukonga, Dar juzi. Zawadi… ...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: JE WAJUA SHERIA INAKURUHUSU RAIA KUKATAA KUKAMATWA NA ASKARI TARATIBU ZINAPOKIUKWA ?

Na  Bashir  Yakub.Siku  zote  wananchi  wamekuwa    wakililalamikia jeshi  la polisi  kwa  namna  linavyoendesha  shughuli  zake hasa wakati  wa  ukamataji (arrest). Matumizi  ya  nguvu, ubabe    na  kutofuata  sheria    na  taratibu  maalum  limekuwa  ndio  tatizo  kubwa  kwa  wananchi  dhidi  ya  askari.  
Sio  siri  askari wamekuwa  wakitumia  nguvu  na  ubabe  mno  katika  kuwakamata raia.  Hata  pale pasipo  na  haja  yoyote  ya  kutumia  nguvu    bado  wao  wamekuwa  wakilazimisha...

 

10 years ago

Vijimambo

BREAKING NEWS:MAJAMBAZI YAVAMIA KUTUO CHA POLISI UKONGA STAKI SHARI YAUA ASKARI NA RAIA

Kuna taarifa tulizozipata kuwa kituo cha polisi Ukomnga sitaki shari, jijini Dar es Salaam, kimevamiwa usiku wa manane na watu wasiojulikana ambapo, askari polisi sita na raia wawili wameuawa. Mwazo taarifa hizo zilisema polisi wanne wameuawa na bunduki 21 zimeibiwa.
Vijimambo iliongea na mmoja ya mkazi wa eneo hilo yeye alisema alisikia milio ya risasi mida ya saa 5 usiku karibu na nyumbani kwake lakini hafahamu kilichotokea. Mkazi mwingine wa Ukonga alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na...

 

5 years ago

BBCSwahili

Kenya: Raia alichapwa viboko na raia wa China baada ya kusemekana alichelewa kazini

Kenya raia wanne wa Uchina wamekamatwa na polisi Kenya baada ya kusambaa kwa video mtandaoni ikionesha mkenya akichapwa viboko.

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NEWZZZZZ: idara ya uhamiaji yaendelea kucharuka, yamzuia raia wa netherlands kuingia nchini kwa kujihusisha na kusafrisha kimazabe raia wa kigeni

 Bw. Shirwan Naseh, raia wa Netherlands  mwenye asili ya Iraq aliyezuiliwa kuingia nchini na kupigwa pigwa PI na Idara ya Uhamiaji



 

10 years ago

Habarileo

DC Korogwe kukamatwa

SEKRETARIETI ya Maadili kwa Viongozi wa Umma imeamuru Polisi kumkamata Mkuu wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, Mrisho Gambo na kumfikisha mbele ya Baraza.

 

10 years ago

Habarileo

Bosi wa kampuni ya UDA kukamatwa

Robert Kisena MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jana imetoa hati ya kukamatwa kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Simon Group, Robert Kisena na mwenzake kwa kuwa hawajafika mahakamani kusomewa mashitaka yanayowakabili.

 

10 years ago

BBCSwahili

EU yakemea kukamatwa Wanahabari Uturuki

Maafisa wakuu katika Umoja wa Ulaya wamepinga kukamatwa kwa wawakilishi wa vyombo vya habari nchini Uturuki.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani