Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IGP ATOA ZAWADI NONO KWA ATAKAYEFANIKISHA KUKAMATWA MAJAMBAZI WALIOVAMIA STAKISHARI

Muonekano wa Kituo cha Stakishari, Ukonga jijini Dar kilichovamiwa na majambazi. Askari polisi akidumisha ulinzi kwenye kituo hicho. MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Ernest Mangu leo ametoa zawadi nono ya shilingi milioni 50 kwa mtu yeyote atakayefanikisha kukamatwa kwa majambazi waliovamia Kituo cha Polisi cha Stakishari kilichopo Ukonga, Dar juzi. Zawadi… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MAJAMBAZI WALIOVAMIA KITUO CHA POLISI CHA STAKISHARI, WAKAMATWA

Jeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema limefanikiwa kuwakamata majambazi watano wanaodaiwa kuhusika na tukio la uvamizi katika kituo cha polisi cha Stakishari kilichopo Ukonga.Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova amesema Majambazi hao wamekamatwa Mbagala ambapo katika tukio hilo pia wamekamata pia fedha shilingi milioni 170 na bunduki 16 miongoni mwao ni zile zilizoibiwa katika kituo cha Stakishari.

 

10 years ago

Dewji Blog

Jeshi la Polisi latangaza dau kwa yeyote atakayefanikisha kukamatwa kwa kinara wa matukio ya kigaidi na ulipuaji wa mabomu nchini

IMG-20140814-WA0000

‘Sensei’ Yahaya Hassan Hella pichani kinara wa matukio mbalimbali ya ulipuaji wa mabomu hapa nchini ambaye Jeshi la Polisi na vyombo mbalimbali vya usalama vinamtafuta huku Serikali ikitangaza dau kwa mtu atakeyetoa taarifa zake kwenye kituo cha polisi kilichokaribu nawe. (Picha na Mahmoud Ahmad, Arusha).

 

11 years ago

Dewji Blog

Anatafutwa kwa kutokomea kusikojulikana na mali ya Kampuni, zawadi nono kutolewa

MUSA DRIVER 001

Kampuni ya MOHAMMED ENTERPRISES (T) LTD inautangazia umma kutoweka Mfanyakazi MUSA SAID (Pichani) aliyekuwa  Dereva wa 21st CENTURY TEXTILES MOROGORO kwa kupeleka kusikojulikana mzigo wa Vitenge na kisha kutelekeza gari lenye namba za usajili T 128 CVJ katika bohari kuu (Main Godown) ya Dar es Salaam kampuni  ya MOHAMMED ENTERPRISES (T) LTD.

Tumeshafungua Jalada CB/RB/4869/2014 na CB/IR/1540/2014.

Zawadi nono itatolewa kwa yeyote atakayefanikisha kupatikana kwake.

Kwa taarifa za kupatikana...

 

10 years ago

Vijimambo

JOYCE KIRIA ATOA KAULI KUHUSU KUKAMATWA KWA BLOGGER MANGE KIMAMBI ‪


‪#TAHADHARI‬! Wizara ya Mambo ya Ndani kupitia Jeshi la Polisi, Tanzania Human Rights Defenders, Tawla, Wlac, Legal Human Right Center, Wildaf, Tume ya Haki za Binadam, Tamwa, Tgnp, Wananzania wote wapenda Maendeleo ya Halali, msaidieni huyu Mwanaharakati aliyethubutu Kujitosa mithili ya Swala katikati ya msitu ulojaa Simba wenye njaa, Mpiganaji wa kweli aliyejaaliwa Kipawa cha kusema bila kumumunya, ambae amejitokeza kupigania Haki za Binadamu kwa kupiga vita Madawa ya kulevya nchini...

 

10 years ago

GPL

IGP, MKUU WA MKOA WATEMBELEA KITUO CHA POLISI STAKISHARI, DAR

Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Ernest Mangu (katikati) akiongea na wanahabari baada ya kutembelea kituo hicho. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Said Mecky Sadick akiongea na wanahabari.…

 

10 years ago

Habarileo

Raia awezesha kukamatwa majambazi

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova.RAIA wa kigeni ambaye jina lake halikutajwa na polisi kwa sababu za kiusalama ameporwa na kutelekezwa eneo la Mwananyamala na watu aliokuwa nao kwenye gari alilopanda Posta Mpya.

 

10 years ago

Michuzi

KOMBE LA MEYA SHINYANGA 2015 LAZINDULIWA,TIMU 18 KUCHUANA, MSHINDI KUONDOKA NA ZAWADI NONO!

Mashindano ya Kombe la Meya Shinyanga 2015 (Pepsi Meya Cup 2015) yamezinduliwa rasmi leo na mkuu wa wilaya ya Shinyanga ndugu Josephine Matiro katika viwanja vya Shycom mjini Shinyanga.
Mashindano hayo ambayo yameandaliwa na mstahiki meya wa manispaa ya Shinyanga Gulam Hafidh Mukadam na kudhaminiwa na kampuni ya Vinywaji baridi ya  Pepsi (SBC Tanzania Ltd) yanashirikisha timu 17 za kata zote za manispaa hiyo na timu ya polisi Shinyanga.
Mashindano ya Kombe la Meya Shinyanga yakihusisha...

 

10 years ago

Michuzi

MWILI WA MMOJA WA ASKARI WALIOUAWA NA MAJAMBAZI KITUO CHA POLISI STAKISHARI WAAGWA

Jeneza lenye mwili wa marehemu Koplo Gaudin Kakoko, likiwa  nyumbani kwa marehemu, Majohe, Ilala Jijini Dar es Salaam tayari kwa mwili wa marehemu kuagwa na wapendwa wake,Mwili huo ulisafirishwa jana kupelekwa kwao wilaya ya Karagwe Mkoani Kagera kwa mazishi.Marehemu ni mmoja wa askari wanne waliouawa na majambazi hivi majuzi baada ya kukivamia kituo cha polisi Stakishari, Ukonga, Ilala Jijini Dar es Salaam, Mungu ailaze roho ya marehemu wote mahali pema peponi.Baadhi ya waombolezaji wakiwa...

 

10 years ago

Michuzi

IGP MANGU ATOA HESHMA KWA ASKARI WALIOUAWA WILAYANI MKURANGA

Inspekta Jenerali wa Polisi IGP Ernest Jumbe Mangu akitoa heshma za mwisho kwa miili ya askari wawili waliouawa na watu wasiojulikana huko vikindu wilaya ya mkuranga, mkoani Pwani hivi karibuni. Shughuli za kuiaga miili hiyo zilifanyika jana katika maeneo hospitali ya barabara ya kilwa jijini Dar es Salaam . Picha na Hassan Mndeme-Jeshi la Polisi. nspekta Jenerali wa Polisi IGP Ernest Jumbe Mangu akitoa heshma za mwisho kwa miili ya askari waliouawa na watu wasiojulikana huko vikindu wilaya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani