Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


EU yakemea kukamatwa Wanahabari Uturuki

Maafisa wakuu katika Umoja wa Ulaya wamepinga kukamatwa kwa wawakilishi wa vyombo vya habari nchini Uturuki.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

RC MAKONDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UTURUKI PAMOJA NA JOPO LA WAWEKEZAJI KUTOKA NCHINI UTURUKI.


************************************Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo February 18 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania Mhe. Ali Davulaglu, Balozi wa Tanzania Nchini Uturuki Prof.Elizabeth Kiondo, Mstahiki Meya kutoka Uturuki, Wawekezaji na Wafanyabiashara zaidi ya 40 kutoka Nchini Uturuki waliokuja Kutazama na kuchangamkia fursa za Uwekezaji wa Viwanda jijini Dar es salaam.Katika Mazungumzo hayo RC Makonda ...

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yakemea ushirikina Rungwe

 Katibu Tawala wa Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya, Moses Mashaka amekemea tabia ya wananchi wa wilaya hiyo kukumbatia imani za kishirikina na kusababisha kushika nafasi ya pili ngazi ya mkoa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali Bunda yakemea ukabila

MKUU wa Wilaya ya Bunda, Joshua Mirumbe, amekemea ubaguzi wa kikabila kati ya Wajaluo na Wajita, ulioanza kujitokeza katika Kijiji cha Karukekere, kilichoko wilayani Bunda, mkoani Mara. Mirumbe, alitoa onyo...

 

9 years ago

Mwananchi

Bavicha yakemea kauli za CCM

Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha), limekemea kauli mbalimbali zinazotolewa na viongozi wa CCM kuwa hawawezi kukabidhi nchi kwa wapinzani kwa madai kuwa hawajajipanga kwa uongozi.

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yakemea utesaji mifugo

SERIKALI imekemea tabia inayozidi kujengeka ya kutesa mifugo kwa kuinyima chakula na maji, kuipiga risasi au kuikata mapanga kwa kisingizio cha migogoro ya ardhi. Aidha, imesisitiza wafugaji kuheshimu shughuli za watumiaji wengine wa ardhi kwani jamii zote zinategemeana.

 

11 years ago

Habarileo

Bakwata yakemea mapinduzi misikitini

BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), limekemea vitendo vya baadhi ya waumini wa dini hiyo kuvamia na kupora misikitini na kusababisha uvunjifu wa amani.

 

10 years ago

BBCSwahili

UN yakemea mashambulizi dhidi ya Albino

Umoja wa Mataifa umetoa wito kwa Serikali ya Tanzania kupambana na vitendo vya mashambulizi dhidi ya Albino

 

11 years ago

BBCSwahili

Uingereza yakemea hukumu ya kifo Sudan

Viongozi wa kisiasa nchini Uingereza akiwemo waziri mkuu nchini humo wamekemea hukumu ya kifo iliopewa mwanamke mmoja sudan

 

9 years ago

Habarileo

Tume yakemea vurugu, matusi kwenye kampeni

TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imekemea vurugu na mauaji yaliyotokea wakati wa mikutano ya kampeni za vyama vya siasa inayoendelea katika sehemu mbalimbali nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani