Serikali yakemea ushirikina Rungwe
 Katibu Tawala wa Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya, Moses Mashaka amekemea tabia ya wananchi wa wilaya hiyo kukumbatia imani za kishirikina na kusababisha kushika nafasi ya pili ngazi ya mkoa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo24 May
Serikali yakemea utesaji mifugo
SERIKALI imekemea tabia inayozidi kujengeka ya kutesa mifugo kwa kuinyima chakula na maji, kuipiga risasi au kuikata mapanga kwa kisingizio cha migogoro ya ardhi. Aidha, imesisitiza wafugaji kuheshimu shughuli za watumiaji wengine wa ardhi kwani jamii zote zinategemeana.
11 years ago
Tanzania Daima01 Jun
Serikali Bunda yakemea ukabila
MKUU wa Wilaya ya Bunda, Joshua Mirumbe, amekemea ubaguzi wa kikabila kati ya Wajaluo na Wajita, ulioanza kujitokeza katika Kijiji cha Karukekere, kilichoko wilayani Bunda, mkoani Mara. Mirumbe, alitoa onyo...
9 years ago
Mtanzania28 Sep
Rungwe: Nitaunda Serikali ya mseto
NA DEBORA SANJA, DODOMA
MGOMBEA urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA), Hashim Rungwe amesema endapo akishinda nafasi hiyo, ataunda Serikali ya mseto itakayoshirikisha vyama vyote vilivyoshiriki uchaguzi.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma jana, Rungwe alisema Katiba haikatazi kuundwa kwa Serikali ya aina hiyo.
“Nitachagua watu wenye akili kutoka vyama vyote vilivyoshiriki uchaguzi kwa ajili ya kuunda Serikali, nitapunguza pia ukubwa wa Serikali ili fedha hizo zifanye...
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
Serikali Rungwe yawaangukia wenyeviti
SERIKALI wilayani Rungwe, Mbeya, jana ilisalimu amri kwa wenyeviti wa serikali za vijiji baada ya kutangaza mgomo usio na kikomo kwa kuitisha mkutano wa wenyeviti wote wa Jimbo la Rungwe...
10 years ago
BBCSwahili09 Jan
UN yakemea mashambulizi dhidi ya Albino
10 years ago
BBCSwahili15 Dec
EU yakemea kukamatwa Wanahabari Uturuki
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Bavicha yakemea kauli za CCM
11 years ago
Habarileo15 Jan
Bakwata yakemea mapinduzi misikitini
BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), limekemea vitendo vya baadhi ya waumini wa dini hiyo kuvamia na kupora misikitini na kusababisha uvunjifu wa amani.
11 years ago
BBCSwahili31 May
Uingereza yakemea hukumu ya kifo Sudan