Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yakemea ushirikina Rungwe

 Katibu Tawala wa Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya, Moses Mashaka amekemea tabia ya wananchi wa wilaya hiyo kukumbatia imani za kishirikina na kusababisha kushika nafasi ya pili ngazi ya mkoa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Serikali yakemea utesaji mifugo

SERIKALI imekemea tabia inayozidi kujengeka ya kutesa mifugo kwa kuinyima chakula na maji, kuipiga risasi au kuikata mapanga kwa kisingizio cha migogoro ya ardhi. Aidha, imesisitiza wafugaji kuheshimu shughuli za watumiaji wengine wa ardhi kwani jamii zote zinategemeana.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali Bunda yakemea ukabila

MKUU wa Wilaya ya Bunda, Joshua Mirumbe, amekemea ubaguzi wa kikabila kati ya Wajaluo na Wajita, ulioanza kujitokeza katika Kijiji cha Karukekere, kilichoko wilayani Bunda, mkoani Mara. Mirumbe, alitoa onyo...

 

9 years ago

Mtanzania

Rungwe: Nitaunda Serikali ya mseto

RungweNA DEBORA SANJA, DODOMA

 

MGOMBEA urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA), Hashim Rungwe amesema endapo akishinda nafasi hiyo, ataunda Serikali  ya mseto itakayoshirikisha vyama vyote vilivyoshiriki uchaguzi.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma jana, Rungwe alisema Katiba haikatazi kuundwa kwa Serikali ya aina hiyo.

“Nitachagua watu wenye akili kutoka vyama vyote vilivyoshiriki uchaguzi kwa ajili ya kuunda Serikali, nitapunguza pia ukubwa wa Serikali ili fedha hizo zifanye...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali Rungwe yawaangukia wenyeviti

SERIKALI wilayani Rungwe, Mbeya, jana ilisalimu amri kwa wenyeviti wa serikali za vijiji baada ya kutangaza mgomo usio na kikomo kwa kuitisha mkutano wa wenyeviti wote wa Jimbo la Rungwe...

 

10 years ago

BBCSwahili

UN yakemea mashambulizi dhidi ya Albino

Umoja wa Mataifa umetoa wito kwa Serikali ya Tanzania kupambana na vitendo vya mashambulizi dhidi ya Albino

 

10 years ago

BBCSwahili

EU yakemea kukamatwa Wanahabari Uturuki

Maafisa wakuu katika Umoja wa Ulaya wamepinga kukamatwa kwa wawakilishi wa vyombo vya habari nchini Uturuki.

 

9 years ago

Mwananchi

Bavicha yakemea kauli za CCM

Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha), limekemea kauli mbalimbali zinazotolewa na viongozi wa CCM kuwa hawawezi kukabidhi nchi kwa wapinzani kwa madai kuwa hawajajipanga kwa uongozi.

 

11 years ago

Habarileo

Bakwata yakemea mapinduzi misikitini

BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), limekemea vitendo vya baadhi ya waumini wa dini hiyo kuvamia na kupora misikitini na kusababisha uvunjifu wa amani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Uingereza yakemea hukumu ya kifo Sudan

Viongozi wa kisiasa nchini Uingereza akiwemo waziri mkuu nchini humo wamekemea hukumu ya kifo iliopewa mwanamke mmoja sudan

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani