Rais Kikwete aeleza magumu ya utawala wake
Wakati makada wa CCM wakipigana vikumbo kuwania kupitishwa na chama chao kuwania urais, Rais Jakaya Kikwete anayemaliza ngwe yake amesema nafasi hiyo ni kadhia, ni kazi ngumu na si ya kukimbilia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Di1bom0kdP4/Xu4ej5xogpI/AAAAAAABoPI/lsB9c2G_GA8vjo4brqUgw4CYCb5cW8MmQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC1734.jpg)
RAIS SHEIN ATAJA MATUKIO YALIYOTIKISA UTAWALA WAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-Di1bom0kdP4/Xu4ej5xogpI/AAAAAAABoPI/lsB9c2G_GA8vjo4brqUgw4CYCb5cW8MmQCLcBGAsYHQ/s400/DSC1734.jpg)
Mwaka huu Rais Shein anamaliza muda wake wa vipindi viwili kuiongoza Zanzibar (2010/2015 na 2015/2020), tangu alipoingia madarakani mwezi Novemba 2010.
Akihutubia wakati anavunja shughuli za Baraza la Tisa la Wawakilishi la Zanzibar, leo Jumamosi tarehe 20 Juni 2020, Rais Shein amesema utawala wake uliongoza kwa kuwa upandikizwaji chuki, dharau na...
9 years ago
VijimamboRais Kikwete apokea Tuzo ya Utawala Bora
10 years ago
Mwananchi25 Jul
Rais Kikwete apewa Tuzo ya Utawala Bora
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yQ82DyqhLAo/VbXmfVFUZ4I/AAAAAAAC8_w/hGW73aSG_Ms/s72-c/dd35Jakaya-Mrisho-Kikwete.jpg)
ATCL: Utawala wa Rais Kikwete umetulindia hadhi yetu
![](http://1.bp.blogspot.com/-yQ82DyqhLAo/VbXmfVFUZ4I/AAAAAAAC8_w/hGW73aSG_Ms/s320/dd35Jakaya-Mrisho-Kikwete.jpg)
10 years ago
Dewji Blog25 Jul
Rais Kikwete atunukiwa Tuzo ya Kudumisha Utawala Bora Barani Afrika
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Jitihada za muongo mzima wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kuimarisha na kudumisha Utawala Bora katika Tanzania zimetambuliwa kimataifa kwa Rais kutunukiwa Tuzo la Utawala Bora Barani Afrika mwaka 2015 (Good Governance in Africa.)
Rais Kikwete ametunukiwa Tuzo hiyo na Taasisi ya African Achievers Awards yenye makao yake makuu katika Afrika Kusini kutokana na kutambua mchango...
9 years ago
StarTV23 Sep
Wana-Afrika Mashariki waishia nje wamtunuku Rais Kikwete utawala bora
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete ametunukiwa tuzo nyingine, mara hii ikitolewa na wananchi wa Afrika Mashariki wanaoishi nje hususani Marekani ikilenga kutambua utawala bora wa uongozi wake katika nchi hizo.
Tuzo hiyo imetolewa kwa ushirikiano kati ya Wana-Afrika Mashariki hao na Baraza la Biashara la Waishio Nje EADBC ambalo linaunganisha wafanyabiashara wa nchi hizo.
Tuzo hiyo kwa Rais Kikwete ilitolewa usiku wa Jumapili, Septemba 20, 2015, katika sherehe...
9 years ago
MichuziRais Kikwete atembelea na kuaga rasmi Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZdiEBUUgaB0/U6m85PF_sSI/AAAAAAAFssM/kqp-8-MfL9k/s72-c/New+Picture.png)
RAIS KIKWETE ATAJA MISINGI MIKUU MITANO YA UTHIBITISHO WA KUSHAMIRI KWA UTAWALA BORA NCHINI
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZdiEBUUgaB0/U6m85PF_sSI/AAAAAAAFssM/kqp-8-MfL9k/s1600/New+Picture.png)
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulumawasiliano@yahoo.com press@ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
PRESIDENT’S OFFICE, THE STATE HOUSE, P.O. BOX 9120, DAR ES SALAAM. Tanzania. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametaja misingi mikuu mitano ambayo...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-E1EqQy7cQq0/U9WV8I_iV2I/AAAAAAAF7Oc/Bjxftyzd8DM/s72-c/y22.jpg)
Rais Kikwete aandaa futari kwa yatima, walemavu wa ngozi na watoto waishio kwenye mazingira magumu ikulu Dar es salaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-E1EqQy7cQq0/U9WV8I_iV2I/AAAAAAAF7Oc/Bjxftyzd8DM/s1600/y22.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0SC_TbJOKQw/U9WWmghDJaI/AAAAAAAF7Oo/vH71cdk9z1g/s1600/y23.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ESRMivi2o1g/U9WWyL0HxGI/AAAAAAAF7O0/j73_sC9pSB0/s1600/y24.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vsFdRJ2ADJY/U9WWxUS99pI/AAAAAAAF7Ow/Oqbl3IBXVaQ/s1600/y25.jpg)