Rais Kikwete ateuliwa Tume ya Elimu Duniani
RAIS Jakaya Kikwete ameteuliwa kuwa Mjumbe wa Tume ya Kimataifa ya Kuchunguza Jinsi ya Kugharimia Elimu Duniani (TICFGEO). Tume hiyo, inayoongozwa na Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza, Gordon Brown ambaye pia ni Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa (UN) wa Elimu Duniani, ina wajumbe 30, wakiwemo marais na mawaziri wakuu wa zamani, wataalamu wa elimu, wafanyabiashara kutoka sekta binafsi na wawakilishi wa mashirika yasiyokuwa ya kiserikali (NGOs) duniani.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-6fzq8ERloQA/VNjGiV3obLI/AAAAAAADX1U/SSPT5qAIlWE/s72-c/ad1.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS WA KANISA LA SEVENTH DAY ADVENTIST DUNIANI DKT TED N.C. WILSON IKULU
![](http://1.bp.blogspot.com/-6fzq8ERloQA/VNjGiV3obLI/AAAAAAADX1U/SSPT5qAIlWE/s1600/ad1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MKnmj7hr_TE/VNjGiilFhuI/AAAAAAADX1g/UebJwe4_O-Y/s1600/ad2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-eJTFX652IjY/VNjGiFM6PfI/AAAAAAADX1Q/t2TifWqKDGg/s1600/ad3.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
Rais Kikwete hakuitendea haki tume ya Jaji Warioba
KILE kilichokuwa kikipiganiwa na Mwenyekiti wa Kudumu wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, hadi kuvunja kanuni za Bunge hilo, kimedhihirika jana. Bado tunakumbuka jinsi Sitta alivyovunja kanuni kwa makusudi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-f83iWIcmGmE/VQb_BzHj0PI/AAAAAAAHKzQ/zzc6eD-7aRQ/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
Rais Kikwete awaapisha wajumbe wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi
![](http://2.bp.blogspot.com/-f83iWIcmGmE/VQb_BzHj0PI/AAAAAAAHKzQ/zzc6eD-7aRQ/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
10 years ago
Vijimambo04 Apr
JK ateuliwa Mwenyekiti jopo la majanga ya afya duniani
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/ban-ki-moon-april4-2015.jpg)
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, amemteua Rais Jakaya Kikwete kuwa Mwenyekiti wa jopo la ngazi ya juu kuhusu Mwitikio wa Kimataifa wa Majanga ya Afya (High - Level Panel on Global Responses to Health Crises).
"Ni majukumu makubwa na yenye changamoto nyingi lakini dunia inahitaji tuwe na mikakati katika masuala haya ambayo ni muhimu kwa maisha ya binadamu, hivyo hatuna budi kufanya kazi hii kama mchango wetu kwa ajili ya maisha ya...
9 years ago
MichuziRais Kikwete atembelea na kuaga rasmi Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-CbY9rkI75qU/VP1y2dlIiRI/AAAAAAAHI6k/hx78ijHH2n4/s72-c/m1.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI 2015 MOROGORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-CbY9rkI75qU/VP1y2dlIiRI/AAAAAAAHI6k/hx78ijHH2n4/s1600/m1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-BjJLAflc9PE/VP1zX4qZusI/AAAAAAAHI70/9rx5Z1L9k2I/s1600/m2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8S97E3dPDxY/VP1z9gYUAKI/AAAAAAAHI9E/bTgfzUmsd6g/s1600/m3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-APkCfAd_z_Y/VP1z96buJXI/AAAAAAAHI9I/AveWLG25e-s/s1600/m4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-H8CzxTgwdUc/VP10It3tCmI/AAAAAAAHI9s/0zdtai3j-HA/s1600/m5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-q-vYege5-gw/VP10FOjA0MI/AAAAAAAHI9c/Vv3XIAhEXro/s1600/m6.jpg)
10 years ago
VijimamboRais Kikwete Akutana na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Unilever Duniani
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-pvruC2ME_w4/VFJMrVW5-CI/AAAAAAAGuP8/PpYCBpApITc/s72-c/unnamed%2B(60).jpg)
Rais Kikwete afungua Maadhimisho ya miaka 10 ya Tume ya Utumishi wa Umma jijini Dar leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-pvruC2ME_w4/VFJMrVW5-CI/AAAAAAAGuP8/PpYCBpApITc/s1600/unnamed%2B(60).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1k9faOIbmBY/VFJMsFUu2HI/AAAAAAAGuQA/5CSz10Tki-k/s1600/unnamed%2B(62).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eS0WmH4WqZw/VFJMsQfevvI/AAAAAAAGuQQ/V7Jjbi3GF9M/s1600/unnamed%2B(61).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0hbezVqRC2w/VFJMs7Vhf5I/AAAAAAAGuQI/JgpcJQkrdeY/s1600/unnamed%2B(63).jpg)