Rais Kikwete hatua zinahitaji
RAIS Jakaya Kikwete, juzi akiwa mkoani Mwanza, ameziagiza Halmashauri nchini kuepuka vishawishi vya kutumia fedha za maendeleo ya wananchi katika kulipia posho za vikao vya madiwani. Agizo hilo alilotoa wakati...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-f5IYI7QnABk/Vh7G-B49w4I/AAAAAAAH_9A/BdqOuyzkfXE/s72-c/22.jpg)
SERIKALI ITAWACHUKULIA HATUA ZA KISHERIA WATAKAOKAIDI AGIZO LA NEC - RAIS KIKWETE
![](http://1.bp.blogspot.com/-f5IYI7QnABk/Vh7G-B49w4I/AAAAAAAH_9A/BdqOuyzkfXE/s640/22.jpg)
Rais Kikwete Amesema kuwa wenye jukumu la kukaa kituoni ni Mawakala wa wagombea na sio wapiga kura wote kama inavyodaiwa na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa.Rais Kikwete ametoa kauli hiyo leo mjini Dodoma wakati wa...
10 years ago
Dewji Blog17 Jul
Tafiti nyingi Afrika zinahitaji uwekezaji kufikia malengo yake-Dr Mutabazi
Mhadhiri Muandamizi kutoka Idara ya uchumi kilimo wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine ( SUA) Morogoro, Dk. Khamaldin Mutabazi (pichani) wakati wa mahojiano na mwandishi wa mtandao wa modewjiblog.com (hayupo pichani) kwenye viunga vya kumbi za mikutano, Makao makuu ya UNESCO, Paris, Ufaransa wakati wa mkutano mkubwa wa wanayasansi juu ya siku za usoni na kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi ‘Our Common Future Under Climate Change’.
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[Paris, Ufaransa] Tafiti...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-qZ_taV7lQAc/VURfrlc_KXI/AAAAAAAAtDQ/HowY65av2gE/s72-c/shemeji.jpg)
Kikwete: "Nisingekuwa Rais Ningekuwa Msanii Mkali wa Bongo Fleva.".........HOTUBA Nzima ya Rais Kikwete Aliyoitoa Jana Mei Mosi Iko HAPA
![](http://2.bp.blogspot.com/-qZ_taV7lQAc/VURfrlc_KXI/AAAAAAAAtDQ/HowY65av2gE/s640/shemeji.jpg)
RAIS Dkt. Jakaya Kikwete, ametamba kuwa angakuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya basi angelikuwa wa “BongoFleva” kutokana na kuwa na sauti nzuri yenye kumudu kuimba nyimbo kwa ufasaha zaidi.
Kauli hiyo aliitoa jana jijini Mwanza kwenye uwanja wa michezo wa CCM Kirumba wakati wa maadhimisho ya kilele cha sherehe za Mei mosi zilizofanyika Kitaifa jijini Mwanza kwa mwaka huu wa mwisho wa utawala wake.
Dkt. Kikwete aliimba wimbo wa Bendi ya OSS (Ochestra Safari Sound) wenye mashairi yasemayo...
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Kikwete: Tumepiga hatua kubwa 2013
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Dk Slaa azidi kumbana Kikwete achukue hatua dhidi ya Prof Muhongo
10 years ago
VijimamboRAIS JACOB ZUMA AKUTANA NA RAIS KIKWETE IKULU-MAKAMU WA RAIS AMSINDIKIZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-MA1_ZFohI7c/VJgW4lraY4I/AAAAAAAAZho/geWMTtNN3d0/s640/D92A4124.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-90P83e8--nA/VCIvrZZhp6I/AAAAAAAGlaM/kcRxtcLdE0M/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Watoaji wa gesi ya ukaa wawajibike kwani tayari Afrika imeanza kuchukua hatua: Kikwete
![Mkutano](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/HfGGsPgojnxhjMYY6b9qoPlRrbo_Q8QdQRamyN9gtAQV2uz98kLRkF0gTpL_tD3XkVCU7V2YweKkxWje_GztJcGk5oaCOkR4_J1LcAC22badpFieYLqNP5VhLt-f1ltKJA5yNr9sY_B39mc=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2014/09/jk-300x214.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-90P83e8--nA/VCIvrZZhp6I/AAAAAAAGlaM/kcRxtcLdE0M/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
ambaye pia ni Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa
Umoja wa Mataifa kuhusu financing for developmentHatimaye mkutano wa wakuu wa nchi na serikali uliofanyika kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa mjiniNew York, Marekani ukiangazia hatua madhubuti zinazopaswa kuchukuliwa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi umefikia ukomo wake.Mkutano huo wa siku moja ulitoa fursa kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wEfe-eW_P48/U_G8E8LO3SI/AAAAAAACnmE/9JtU4Jjc6N8/s72-c/unnamed.jpg)
Rais Kikwete azungumza na Rais Zuma na Rais Kabila Zimbabwe
![](http://3.bp.blogspot.com/-wEfe-eW_P48/U_G8E8LO3SI/AAAAAAACnmE/9JtU4Jjc6N8/s1600/unnamed.jpg)
9 years ago
StarTV13 Nov
Rais Magufuli aombwa kuwachukulia hatua majangili wa meno ya tembo
Kamati ya Okoa Tembo Tanzania imemuandikia barua Rais John Magufuli ya kumuomba kuwachukulia hatua majangili na wafanyabiashara haramu ya Meno ya Tembo Tanzania ili kupunguza mauaji ya Tembo nchini.
Mwaka 2009 Tanzania ilikuwa na idadi ya Tembo 109,00 lakini hadi kufikia mwaka 2014 idadi ilipungua kwa asilimia 60 mpaka kufikia Tembo 43, 000 ambapo jitihada za ziada zinahitajika ili kuwanusuru Tembo waliobaki.
Kutokana na tatizo hilo kamati Hiyo ya Okoa Tembo wa Tanzania imemtaka Rais...