Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais Kikwete hatua zinahitaji

RAIS Jakaya Kikwete, juzi akiwa mkoani Mwanza, ameziagiza Halmashauri nchini kuepuka vishawishi vya kutumia fedha za maendeleo ya wananchi katika kulipia posho za vikao vya madiwani. Agizo hilo alilotoa wakati...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

SERIKALI ITAWACHUKULIA HATUA ZA KISHERIA WATAKAOKAIDI AGIZO LA NEC - RAIS KIKWETE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete (pichani) amewataka wananchi wote wenye haki ya kupiga kura kuhakikisha wanaheshimu maagizo ya Tume ya Uchaguzi ya kuwataka waondoke katika vituo vya kupigia kura mara baada ya kumaliza zoezi la upigaji kura.
Rais Kikwete Amesema kuwa wenye jukumu la kukaa kituoni ni Mawakala wa wagombea na sio wapiga kura wote kama inavyodaiwa na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa.Rais Kikwete ametoa kauli hiyo leo mjini Dodoma wakati wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tafiti nyingi Afrika zinahitaji uwekezaji kufikia malengo yake-Dr Mutabazi

DSC_1926Mhadhiri Muandamizi kutoka Idara ya uchumi kilimo wa Chuo Kikuu cha Kilimo  cha Sokoine ( SUA) Morogoro, Dk. Khamaldin Mutabazi (pichani) wakati wa mahojiano na mwandishi wa mtandao wa modewjiblog.com (hayupo pichani) kwenye viunga vya kumbi za mikutano, Makao makuu ya UNESCO, Paris, Ufaransa wakati wa mkutano mkubwa wa wanayasansi juu ya siku za usoni na kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi ‘Our Common Future Under Climate Change’.

Na Andrew Chale, Modewjiblog

[Paris, Ufaransa] Tafiti...

 

10 years ago

Vijimambo

Kikwete: "Nisingekuwa Rais Ningekuwa Msanii Mkali wa Bongo Fleva.".........HOTUBA Nzima ya Rais Kikwete Aliyoitoa Jana Mei Mosi Iko HAPA


RAIS Dkt. Jakaya Kikwete, ametamba kuwa angakuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya basi angelikuwa wa “BongoFleva” kutokana na kuwa na sauti nzuri yenye kumudu kuimba nyimbo kwa ufasaha zaidi.

Kauli hiyo aliitoa jana jijini Mwanza kwenye uwanja wa michezo wa CCM Kirumba wakati wa maadhimisho ya kilele cha sherehe za Mei mosi zilizofanyika Kitaifa jijini Mwanza kwa mwaka huu wa mwisho wa utawala wake.
Dkt. Kikwete aliimba wimbo wa Bendi ya OSS (Ochestra Safari Sound) wenye mashairi yasemayo...

 

11 years ago

Mwananchi

Kikwete: Tumepiga hatua kubwa 2013

Rais Jakaya Kikwete amekutana na mabalozi 49 kutoka katika mbalimbali duniani, ambapo alitumia fursa hiyo kuzungumza nao kuhusu maendeleo ya nchi.

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Slaa azidi kumbana Kikwete achukue hatua dhidi ya Prof Muhongo

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willbrod Slaa amesema Rais Jakaya Kikwete asitumie kivuli cha mapumziko ya sikukuu kuchukua uamuzi dhidi ya Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo anayehusika katika kashfa ya fedha za Akaunti ya Tegeta Escrow ya Sh306 bilioni.

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS JACOB ZUMA AKUTANA NA RAIS KIKWETE IKULU-MAKAMU WA RAIS AMSINDIKIZA

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha na kufanya mazungumzo na Rais Jackob Zuma wa Afrika ya Kusini leo ikulu jijini Dar es Salaam

 

10 years ago

Michuzi

Watoaji wa gesi ya ukaa wawajibike kwani tayari Afrika imeanza kuchukua hatua: Kikwete



Rais Jakaya Kikwete akihojiwa na Radio ya Umoja wa Mataifa. (Picha:UM/Joseph Msami)Rais Kikwete na Malkia MAxima wa Uholanzi
ambaye pia ni Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu  wa
Umoja wa Mataifa  kuhusu financing for developmentHatimaye mkutano wa wakuu wa nchi na serikali uliofanyika kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa mjiniNew York, Marekani ukiangazia hatua madhubuti zinazopaswa kuchukuliwa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi umefikia ukomo wake.Mkutano huo wa siku moja ulitoa fursa kwa...

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete azungumza na Rais Zuma na Rais Kabila Zimbabwe

  Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Rais Jackob Zuma wa Afrika ya Kusini pamoja na Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo (DRC) wakati wa dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa na Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe kwa ajili ya viongozi wa SADC wanaohudhuria mkutano wa 34 wa wakuu wa nchi za SADC unaofanyika katika mji wa Victoria Falls nchini Zimbabwe(picha na Freddy Maro)

 

9 years ago

StarTV

Rais Magufuli aombwa kuwachukulia hatua majangili wa meno ya tembo

Kamati ya Okoa Tembo Tanzania imemuandikia barua Rais John Magufuli ya kumuomba kuwachukulia hatua majangili na wafanyabiashara haramu ya Meno ya Tembo Tanzania ili kupunguza mauaji ya Tembo nchini.

Mwaka 2009 Tanzania ilikuwa na idadi ya Tembo 109,00 lakini hadi kufikia mwaka 2014 idadi ilipungua kwa asilimia 60 mpaka kufikia Tembo 43, 000 ambapo jitihada za ziada zinahitajika ili kuwanusuru Tembo waliobaki.

 Kutokana na tatizo hilo kamati Hiyo ya Okoa Tembo wa Tanzania imemtaka Rais...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani