Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete: Tumepiga hatua kubwa 2013

Rais Jakaya Kikwete amekutana na mabalozi 49 kutoka katika mbalimbali duniani, ambapo alitumia fursa hiyo kuzungumza nao kuhusu maendeleo ya nchi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ngeleja: Tumepiga hatua kiuchumi

MBUNGE wa Sengerema, William Ngeleja, amesema taifa limepiga hatua kubwa ya kiuchumi na kimaendeleo licha ya baadhi ya watu kubeza. Ngeleja alitoa kauli hiyo bungeni juzi jioni alipokuwa akichangia bajeti...

 

11 years ago

Habarileo

Hai imepiga hatua kubwa katika kilimo, ufugaji - DC

MKUU wa Wilaya ya Hai, Novatus Makunga amesema Wilaya yake imepiga hatua kubwa katika kuziba pengo la kiteknolojia kwenye kilimo na ufugaji.

 

11 years ago

Mwananchi

Vyombo vya habari Z’bar vimepiga hatua kubwa

>Kwa kipindi cha miaka 50 iliyopita tangu kufanyika kwa Mapinduzi ya Januari 12, 1964 Zanzibar imeshuhudia ongezeko la vyombo vya habari na upanuzi wa uhuru wa kukusanya,na kutoa habari.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Rais Kikwete hatua zinahitaji

RAIS Jakaya Kikwete, juzi akiwa mkoani Mwanza, ameziagiza Halmashauri nchini kuepuka vishawishi vya kutumia fedha za maendeleo ya wananchi katika kulipia posho za vikao vya madiwani. Agizo hilo alilotoa wakati...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rais wangu Kikwete, Mwaka 2013 ulikuwa ni majanga!

RAIS wangu tunapoufungua mwaka 2014 na kuufunga mwaka 2013 tunapata fursa nyingine ya kujitafakari na kuyapima yote tuliyoyafanya kwa mwaka mzima uliopita. Tujiulize, ni kwa jema lipi tutakumbukwa au ni...

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI ITAWACHUKULIA HATUA ZA KISHERIA WATAKAOKAIDI AGIZO LA NEC - RAIS KIKWETE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete (pichani) amewataka wananchi wote wenye haki ya kupiga kura kuhakikisha wanaheshimu maagizo ya Tume ya Uchaguzi ya kuwataka waondoke katika vituo vya kupigia kura mara baada ya kumaliza zoezi la upigaji kura.
Rais Kikwete Amesema kuwa wenye jukumu la kukaa kituoni ni Mawakala wa wagombea na sio wapiga kura wote kama inavyodaiwa na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa.Rais Kikwete ametoa kauli hiyo leo mjini Dodoma wakati wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Slaa azidi kumbana Kikwete achukue hatua dhidi ya Prof Muhongo

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willbrod Slaa amesema Rais Jakaya Kikwete asitumie kivuli cha mapumziko ya sikukuu kuchukua uamuzi dhidi ya Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo anayehusika katika kashfa ya fedha za Akaunti ya Tegeta Escrow ya Sh306 bilioni.

 

10 years ago

Michuzi

Watoaji wa gesi ya ukaa wawajibike kwani tayari Afrika imeanza kuchukua hatua: Kikwete



Rais Jakaya Kikwete akihojiwa na Radio ya Umoja wa Mataifa. (Picha:UM/Joseph Msami)Rais Kikwete na Malkia MAxima wa Uholanzi
ambaye pia ni Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu  wa
Umoja wa Mataifa  kuhusu financing for developmentHatimaye mkutano wa wakuu wa nchi na serikali uliofanyika kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa mjiniNew York, Marekani ukiangazia hatua madhubuti zinazopaswa kuchukuliwa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi umefikia ukomo wake.Mkutano huo wa siku moja ulitoa fursa kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani