Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ngeleja: Tumepiga hatua kiuchumi

MBUNGE wa Sengerema, William Ngeleja, amesema taifa limepiga hatua kubwa ya kiuchumi na kimaendeleo licha ya baadhi ya watu kubeza. Ngeleja alitoa kauli hiyo bungeni juzi jioni alipokuwa akichangia bajeti...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kikwete: Tumepiga hatua kubwa 2013

Rais Jakaya Kikwete amekutana na mabalozi 49 kutoka katika mbalimbali duniani, ambapo alitumia fursa hiyo kuzungumza nao kuhusu maendeleo ya nchi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Hatua za Italia za kudhibiti coronavirus: Taifa zima kuchukua hatua ya kujitenga.

Matembezi ya raia wa Italia wapatao milioni 60 yamedhibitiwa kutokana na mlipuko. Italia ina idadi kubwa zaidi ya vifo vya virusi vya corona baada ya China.

 

9 years ago

Dewji Blog

Hatua ya Makundi UEFA yakamilika, hii ndiyo listi ya timu zilizofuzu hatua ya 16 bora

2F3824FE00000578-3353037-image-a-25_1449700421460

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA imekamilika usiku wa jumatano kwa kupatikana timu nyingine 8 ambazo zitaungana na timu 8 zilizofuzu jumanne kuingia katika hatua ya 16 bora.

Timu ambazo zimefuzu kuingia hatua ya 16 bora ni;

GROUP A;

Real Madrid

Paris Saint-German

GROUP B;

Wolfsburg

PSV Eindhoven

GROUP C;

Atletico Madrid

Benfica

GROUP D;

Manchester City

Juventus

GROUP E;

Barcelona

Roma

GROUP F;

Bayern Munich

Arsenal

GROUP G;

Chelsea

Dynamo Kyiv

GROUP H;

 

10 years ago

Michuzi

DRFA yataja makundi ya timu zitakazoshiriki kucheza hatua ya 18 bora (hatua ya pili) ya ligi ya mkoa wa Dar es salaam

Chama cha soka mkoa wa Dar es salaam DRFA, kimetaja makundi ya timu zitakazoshiriki kucheza hatua ya 18 bora (hatua ya pili) ya ligi ya mkoa wa Dar es salaam,inayotarajia kuanza kutimua vumbi mapema mwezi huu.Katika kundi (A) limepangwa kuwa na timu za Simba U20,Red Coast,Sifa UTD,Shababi,Ukonga UTD,Zakhem,Ugimbi,Beirahotspurs na Pan Africa.Katika kundi (B) litakuwa na timu za Yanga U20,Stakishari,FFU,New Kunduchi,Sinza Stars,Changanyikeni,Tuamoyo,Sifapilitan na Azania Unga.
Ligi hiyo ya mkoa...

 

10 years ago

GPL

HATUA KWA HATUA FUMANIZI X-MAS

Stori: Deogratius Mongela na Chande Abdallah Shabaash! Mwanamke mmoja, mkazi wa Mikocheni A, Dar, Catherine Kayombo ‘Catty’ anadai kumfumania mumewe aliyemtaja kwa jina la Excavery Kayombo akiwa na mchepuko alioutaja kwa jina la Mariamu Kauke ‘Mamuu’ ndani ya Sikukuu ya Krismasi ‘X-Mas’, Ijumaa Wikienda limesheheni. Mchepuko… ...

 

11 years ago

Habarileo

Ngeleja: Wapinzani wazushi

MBUNGE wa Sengerema, William Ngeleja (CCM), ameitaka Kambi Rasmi ya Upinzani, kuijibu Serikali kwa kutumia takwimu badala ya kuwalisha Watanzania takwimu za kupika. Alisema hayo juzi usiku alipokuwa akichangia hotuba ya Bajeti Kuu ya Serikali, ambapo alitoa mifano ya nchi zilizoendelea ambako umasikini haujaondoka, kujenga hoja kuwa umasikini unaondoka katika mchakato na si suala la kuondoka siku moja.

 

10 years ago

Deal

Ngeleja Explains 40 Million/


IPPmedia
Ngeleja Explains 40 Million/ - Deal
AllAfrica.com
SENGEREMA Member of Parliament (MP) William Ngeleja denied receiving 40m/- from a local firm, VIP Engineering and Marketing Limited, which had a stake in the Independent Power Tanzania Limited (IPTL). "According to a bank statement from Mkombozi ...
Denies alleged source, discredits alleged account numberIPPmedia

all 3

 

11 years ago

Habarileo

Ngeleja amponda Mbowe

MBUNGE wa Sengerema (CCM), William Ngeleja amesema Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe hakutenda haki kuzungumzia masuala ya Bunge la Katiba katika Bunge la Bajeti la Jamhuri ya Muungano Tanzania.

 

10 years ago

TheCitizen

Ngeleja: Yes, I took Escrow cash, but...

>Former Cabinet minister William Ngeleja found himself on the spot yesterday over Sh40.4 million he reportedly received from controversial Dar es Salaam businessman James Rugemalira.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani