Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais wa Argentina kupaisha kilimo

Rais wa Argentina, Mauricio Macri, anatarajiwa kutangaza kukata ushuru wa mauzo ya bidhaa za kilimo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Poland yatoa mabilioni kupaisha kilimo nchini

SERIKALI ya Poland imetoa mkopo wenye thamani ya Sh bilioni 220 kwa Tanzania utakaoinua kilimo nchini ambao sehemu ya fedha itatumika kujenga kiwanda cha trekta na nyingine kujenga maghala ya chakula nchini.

 

11 years ago

Bongo5

Argentina yailaza Uholanzi 4-2, fainali Argentina na Ujerumani july 13

Timu ya soka ya Argentina imejikatia tiketi ya kufuzu kwa fainali yake ya kwanza tangu mwaka 1990 baada ya kuilaza timu ya Uholanzi kwa goli 4-2, ambapo fainali itachuana na Ujerumani july 13 siku ya jumapili. Katika mchezo huo wa nusu fainali wa jana, Argentina na Uholanzi zilitoka sare tasa baada ya muda wa kawaida […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais wa Argentina kupambana na rushwa

Rais mpya wa Argentine, Mauricio Macri,ameahidi kupambana na rushwa na hatamuonea huruma mtu yeyote atakaye kiuka sheria .

 

11 years ago

BBCSwahili

Makamu wa rais wa Argentina ashtakiwa

Makamu wa rais nchini Argentina Amado Boudou ameshtakiwa kwa mashtaka ya ufisadi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais wa Argentina awaaga raia wake

Rais wa Argentina aliyemaliza muda wake , Cristina Fernandez de Kirchner, amewaaga maelfu ya wafuasi wake mjini wa Buenos Aires.

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete apokea hati ya utambulisho wa Balozi wa Argentina nchini

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akipokea hati za utambulisho kutoka kwa balozi mpya wa Argentina nchini Tanzania Mhe. Bibianna Lucila Johnes ikulu jijini Dar es Salaam na kisha kufanya mazungumzo mafupi na balozi huyo.(picha na Freddy Maro)

 

9 years ago

Habarileo

Jotoardhi kupaisha hifadhi ya Selous

NISHATI ya jotoardhi Tanzania kutaifanya hifadhi ya wanyamapori ya Selous kupanda hadhi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CBT yajikita kupaisha zao la korosho

KATI ya mazao muhimu ya kibiashara nchini korosho ni mojawapo jambo linalofanya tasnia nzima ya korosho iweze kuangaliwa kwa umakini zaidi kuanzia serikalini hadi kwa mdau mmoja mmoja. Hata hivyo,...

 

9 years ago

Dewji Blog

Onyesho la Coke Studio lazidi kupaisha mafanikio yangu-Ali Kiba

ali kiba in action 1

Ali Kiba na Victoria Kimani wakishambulia jukwaa ndani ya Coke Studio.

–Awataka wasanii wachanga kujituma ili waweze kushiriki kwenye onyesho kama hili

Na Mwandishi wetu

Mwanamuziki nguli wa miondoko ya Bongo Fleva nchini Ali Kiba amesema moja ya mafanikio anayojivunia nayo katika kazi ya muziki kwa mwaka huu ni ushiriki wake katika onyesho la Coke Studio msimu wa tatu.

Ali Kiba ambaye amefanya kolabo kwa kushirikiana na mwanamuziki wa kike anayetamba katika anga ya muziki wa Bongo Fleva...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani