Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CBT yajikita kupaisha zao la korosho

KATI ya mazao muhimu ya kibiashara nchini korosho ni mojawapo jambo linalofanya tasnia nzima ya korosho iweze kuangaliwa kwa umakini zaidi kuanzia serikalini hadi kwa mdau mmoja mmoja. Hata hivyo,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MFUKO WA ZAO LA KOROSHO WATENGA BILIONI 6 KUJENGA VIWANDA VYA KUBANGUA KOROSHO.

Na Ismail NgayongaMFUKO wa wakfu wa kuendelezazao la Korosho nchini umetenga kiasi cha Tsh. Bilioni 6 kwa ajili ya ujenzi wa viwanda vitatu vya kubangulia korosho vitakavyojengwa katika Wilaya za Mtwara, Tunduru na Mkuranga.

Taasisi zitakazojenga viwanda hivyo ni Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kupitia Kitivo cha Biashara na Chuo Kikuu  cha Ardhi (ARU).


Akizungumza katika hafla ya utiaji saini wa mikataba baina ya mfuko huo na wataalamu washauri jana (Jumatano Mei 6, 2015), Mwenyekiti wa Bodi ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mfuko wa kuendeleza zao la Korosho watenga bilioni 6 kujenga viwanda vya kubangulia Korosho

1.

Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Korosho Tanzania, Mundhir Mundhir akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya utiaji saini wa mikataba ya ujenzi wa viwanda vitatu vya korosho katika Wilaya za Mtwara, Tunduru na Mkuranga kati ya Mfuko Mfuko wa kuendeleza Zao la Korosho Nchini na wataalamu washauri wa kutoka Chuo Kikuu cha Ardhi cha Jijni Dar es Salaam na Shule ya Elimu ya Biashara katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Kulia ni Katibu Mtendaji...

 

5 years ago

Michuzi

UTAFITI WAWAUMBUA WALAGHAI WA ZAO LA KOROSHO




…………………………………………………………………………..
Korosho haiharibiki kwa kukaa ghalani zaidi ya mwaka

Na Mwandishi Wetu –Maelezo Mtwara

Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) Dkt. Fortunatus Kapinga amesema kuwa zao la korosho lina uwezo wa kukaa zaidi ya mwaka mmoja ghalani bila kuharibika na korosho hiyo inapopelekwa sokoni inakuwa na ubora uleule unaotakiwa katika soko.

Dkt Kapinga amesema hayo alipohojiwa na Idara ya Habari (Maelezo) ofisini kwake katika kituo cha...

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA ATAKA HADITHI NYINGI KWENYE ZAO LA KOROSHO ZIFIKE MWISO


 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Tandahimba ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa zao la korosho lina hadithi nyingi sana na njia pekee ya kuleta ukombozi kwa mkulima ni kujenga kwa viwanda vya kutosha vya kubangulia Korosho nchini.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Tandahimba ambapo aliwaambia wasihadaike na wapinzani ambao muda wao wa ujana wameutumia wakiwa CCM na uzeeni kuingia upinzani na kuanza kuhadaa watu walioishi kwa...

 

9 years ago

Michuzi

Bilioni Mbili kutengwa kwa ajili ya kusaidia utafiti wa zao la Korosho

 Na Lorietha Laurence-Maelezo
Bodi ya Korosho Tanzania imeadhima kutoa asilimia 7 ya mapato yake sawa na shilingi bilioni mbili kwa ajili ya kusaidia utafiti wa zao hilo unaofanywa na kituo cha utafiti cha Naliendele.
Akiongea wakati wa kufunga kwa mkutano wa tatu wa kimataifa uliowahusisha wadau kutoka nchi mbalimbli duniani ,Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Korosho Tanzania Bw. Muhidhiri Muhidhiri amesema kuwa changamoto kubwa wanayokabiliana nayo ni ukosefu wa fedha kwa ajili ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais wa Argentina kupaisha kilimo

Rais wa Argentina, Mauricio Macri, anatarajiwa kutangaza kukata ushuru wa mauzo ya bidhaa za kilimo.

 

9 years ago

Habarileo

Jotoardhi kupaisha hifadhi ya Selous

NISHATI ya jotoardhi Tanzania kutaifanya hifadhi ya wanyamapori ya Selous kupanda hadhi.

 

9 years ago

Habarileo

Poland yatoa mabilioni kupaisha kilimo nchini

SERIKALI ya Poland imetoa mkopo wenye thamani ya Sh bilioni 220 kwa Tanzania utakaoinua kilimo nchini ambao sehemu ya fedha itatumika kujenga kiwanda cha trekta na nyingine kujenga maghala ya chakula nchini.

 

9 years ago

Dewji Blog

Onyesho la Coke Studio lazidi kupaisha mafanikio yangu-Ali Kiba

ali kiba in action 1

Ali Kiba na Victoria Kimani wakishambulia jukwaa ndani ya Coke Studio.

–Awataka wasanii wachanga kujituma ili waweze kushiriki kwenye onyesho kama hili

Na Mwandishi wetu

Mwanamuziki nguli wa miondoko ya Bongo Fleva nchini Ali Kiba amesema moja ya mafanikio anayojivunia nayo katika kazi ya muziki kwa mwaka huu ni ushiriki wake katika onyesho la Coke Studio msimu wa tatu.

Ali Kiba ambaye amefanya kolabo kwa kushirikiana na mwanamuziki wa kike anayetamba katika anga ya muziki wa Bongo Fleva...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani