CBT yajikita kupaisha zao la korosho
KATI ya mazao muhimu ya kibiashara nchini korosho ni mojawapo jambo linalofanya tasnia nzima ya korosho iweze kuangaliwa kwa umakini zaidi kuanzia serikalini hadi kwa mdau mmoja mmoja. Hata hivyo,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMFUKO WA ZAO LA KOROSHO WATENGA BILIONI 6 KUJENGA VIWANDA VYA KUBANGUA KOROSHO.
Akizungumza katika hafla ya utiaji saini wa mikataba baina ya mfuko huo na wataalamu washauri jana (Jumatano Mei 6, 2015), Mwenyekiti wa Bodi ya...
10 years ago
Dewji Blog06 May
Mfuko wa kuendeleza zao la Korosho watenga bilioni 6 kujenga viwanda vya kubangulia Korosho
Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Korosho Tanzania, Mundhir Mundhir akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya utiaji saini wa mikataba ya ujenzi wa viwanda vitatu vya korosho katika Wilaya za Mtwara, Tunduru na Mkuranga kati ya Mfuko Mfuko wa kuendeleza Zao la Korosho Nchini na wataalamu washauri wa kutoka Chuo Kikuu cha Ardhi cha Jijni Dar es Salaam na Shule ya Elimu ya Biashara katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Kulia ni Katibu Mtendaji...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SDHZipv-ba4/XvGIGpoLA0I/AAAAAAALvAQ/M0sx7_rinJAN89s7qrrpchYUigW2YxNRACLcBGAsYHQ/s72-c/Korosho.jpg)
UTAFITI WAWAUMBUA WALAGHAI WA ZAO LA KOROSHO
![](https://1.bp.blogspot.com/-SDHZipv-ba4/XvGIGpoLA0I/AAAAAAALvAQ/M0sx7_rinJAN89s7qrrpchYUigW2YxNRACLcBGAsYHQ/s640/Korosho.jpg)
…………………………………………………………………………..
Korosho haiharibiki kwa kukaa ghalani zaidi ya mwaka
Na Mwandishi Wetu –Maelezo Mtwara
Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) Dkt. Fortunatus Kapinga amesema kuwa zao la korosho lina uwezo wa kukaa zaidi ya mwaka mmoja ghalani bila kuharibika na korosho hiyo inapopelekwa sokoni inakuwa na ubora uleule unaotakiwa katika soko.
Dkt Kapinga amesema hayo alipohojiwa na Idara ya Habari (Maelezo) ofisini kwake katika kituo cha...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-96qlwBLSyVI/VHdOT1WBMwI/AAAAAAAAUDY/Pxpziivbj7Y/s72-c/1.jpg)
KINANA ATAKA HADITHI NYINGI KWENYE ZAO LA KOROSHO ZIFIKE MWISO
![](http://1.bp.blogspot.com/-96qlwBLSyVI/VHdOT1WBMwI/AAAAAAAAUDY/Pxpziivbj7Y/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-O-b7TiIKy3I/VHdQLfDp1DI/AAAAAAAAUEo/ixrWymmF0pI/s1600/2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_4VpB64T0rk/VkxWeOujQYI/AAAAAAAIGiQ/ixNGoCOrv84/s72-c/viwanda%252Bpicha.jpg)
Bilioni Mbili kutengwa kwa ajili ya kusaidia utafiti wa zao la Korosho
![](http://4.bp.blogspot.com/-_4VpB64T0rk/VkxWeOujQYI/AAAAAAAIGiQ/ixNGoCOrv84/s640/viwanda%252Bpicha.jpg)
Bodi ya Korosho Tanzania imeadhima kutoa asilimia 7 ya mapato yake sawa na shilingi bilioni mbili kwa ajili ya kusaidia utafiti wa zao hilo unaofanywa na kituo cha utafiti cha Naliendele.
Akiongea wakati wa kufunga kwa mkutano wa tatu wa kimataifa uliowahusisha wadau kutoka nchi mbalimbli duniani ,Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Korosho Tanzania Bw. Muhidhiri Muhidhiri amesema kuwa changamoto kubwa wanayokabiliana nayo ni ukosefu wa fedha kwa ajili ya...
9 years ago
BBCSwahili15 Dec
Rais wa Argentina kupaisha kilimo
9 years ago
Habarileo18 Oct
Jotoardhi kupaisha hifadhi ya Selous
NISHATI ya jotoardhi Tanzania kutaifanya hifadhi ya wanyamapori ya Selous kupanda hadhi.
9 years ago
Habarileo23 Oct
Poland yatoa mabilioni kupaisha kilimo nchini
SERIKALI ya Poland imetoa mkopo wenye thamani ya Sh bilioni 220 kwa Tanzania utakaoinua kilimo nchini ambao sehemu ya fedha itatumika kujenga kiwanda cha trekta na nyingine kujenga maghala ya chakula nchini.
9 years ago
Dewji Blog11 Nov
Onyesho la Coke Studio lazidi kupaisha mafanikio yangu-Ali Kiba
Ali Kiba na Victoria Kimani wakishambulia jukwaa ndani ya Coke Studio.
–Awataka wasanii wachanga kujituma ili waweze kushiriki kwenye onyesho kama hili
Na Mwandishi wetu
Mwanamuziki nguli wa miondoko ya Bongo Fleva nchini Ali Kiba amesema moja ya mafanikio anayojivunia nayo katika kazi ya muziki kwa mwaka huu ni ushiriki wake katika onyesho la Coke Studio msimu wa tatu.
Ali Kiba ambaye amefanya kolabo kwa kushirikiana na mwanamuziki wa kike anayetamba katika anga ya muziki wa Bongo Fleva...