KINANA ATAKA HADITHI NYINGI KWENYE ZAO LA KOROSHO ZIFIKE MWISO
![](http://1.bp.blogspot.com/-96qlwBLSyVI/VHdOT1WBMwI/AAAAAAAAUDY/Pxpziivbj7Y/s72-c/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Tandahimba ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa zao la korosho lina hadithi nyingi sana na njia pekee ya kuleta ukombozi kwa mkulima ni kujenga kwa viwanda vya kutosha vya kubangulia Korosho nchini.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Tandahimba ambapo aliwaambia wasihadaike na wapinzani ambao muda wao wa ujana wameutumia wakiwa CCM na uzeeni kuingia upinzani na kuanza kuhadaa watu walioishi kwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMFUKO WA ZAO LA KOROSHO WATENGA BILIONI 6 KUJENGA VIWANDA VYA KUBANGUA KOROSHO.
Akizungumza katika hafla ya utiaji saini wa mikataba baina ya mfuko huo na wataalamu washauri jana (Jumatano Mei 6, 2015), Mwenyekiti wa Bodi ya...
10 years ago
Dewji Blog06 May
Mfuko wa kuendeleza zao la Korosho watenga bilioni 6 kujenga viwanda vya kubangulia Korosho
Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Korosho Tanzania, Mundhir Mundhir akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya utiaji saini wa mikataba ya ujenzi wa viwanda vitatu vya korosho katika Wilaya za Mtwara, Tunduru na Mkuranga kati ya Mfuko Mfuko wa kuendeleza Zao la Korosho Nchini na wataalamu washauri wa kutoka Chuo Kikuu cha Ardhi cha Jijni Dar es Salaam na Shule ya Elimu ya Biashara katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Kulia ni Katibu Mtendaji...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-P30WfcnebBY/VB9PHuEkugI/AAAAAAAARCw/4tZ8uMUwz60/s72-c/6.jpg)
KINANA ATAKA WAZAZI KUCHAGUA WATU WENYE SHUGHULI ZAO KUWA WAJUMBE WA KAMATI ZA SHULE
![](http://2.bp.blogspot.com/-P30WfcnebBY/VB9PHuEkugI/AAAAAAAARCw/4tZ8uMUwz60/s1600/6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HaCjpVafzr8/VB9PJtzQwTI/AAAAAAAARC4/9agjW_GxaJ0/s1600/8.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-DKj7VVYTGt4/VB9PMotG8SI/AAAAAAAARDA/jwob49EDL0Y/s1600/13.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
CBT yajikita kupaisha zao la korosho
KATI ya mazao muhimu ya kibiashara nchini korosho ni mojawapo jambo linalofanya tasnia nzima ya korosho iweze kuangaliwa kwa umakini zaidi kuanzia serikalini hadi kwa mdau mmoja mmoja. Hata hivyo,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SDHZipv-ba4/XvGIGpoLA0I/AAAAAAALvAQ/M0sx7_rinJAN89s7qrrpchYUigW2YxNRACLcBGAsYHQ/s72-c/Korosho.jpg)
UTAFITI WAWAUMBUA WALAGHAI WA ZAO LA KOROSHO
![](https://1.bp.blogspot.com/-SDHZipv-ba4/XvGIGpoLA0I/AAAAAAALvAQ/M0sx7_rinJAN89s7qrrpchYUigW2YxNRACLcBGAsYHQ/s640/Korosho.jpg)
…………………………………………………………………………..
Korosho haiharibiki kwa kukaa ghalani zaidi ya mwaka
Na Mwandishi Wetu –Maelezo Mtwara
Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) Dkt. Fortunatus Kapinga amesema kuwa zao la korosho lina uwezo wa kukaa zaidi ya mwaka mmoja ghalani bila kuharibika na korosho hiyo inapopelekwa sokoni inakuwa na ubora uleule unaotakiwa katika soko.
Dkt Kapinga amesema hayo alipohojiwa na Idara ya Habari (Maelezo) ofisini kwake katika kituo cha...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-XghLf9AkOCw/VCmYsGwnbsI/AAAAAAAARm0/4LU9yUEYsiY/s72-c/3.jpg)
KINANA ATAKA WALIOSABABISHA MATATIZO KWENYE KIWANDA CHA CHAI MPONDE WAWAJIBIKE SASA HIVI
![](http://1.bp.blogspot.com/-XghLf9AkOCw/VCmYsGwnbsI/AAAAAAAARm0/4LU9yUEYsiY/s1600/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-w2qyz4kRP94/VCmYihdFioI/AAAAAAAARmI/JXVXmO7T0v8/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-c8oZKo2ODiQ/VCmY3q_5NgI/AAAAAAAARoA/uQFRtBxyj8I/s1600/5.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_4VpB64T0rk/VkxWeOujQYI/AAAAAAAIGiQ/ixNGoCOrv84/s72-c/viwanda%252Bpicha.jpg)
Bilioni Mbili kutengwa kwa ajili ya kusaidia utafiti wa zao la Korosho
![](http://4.bp.blogspot.com/-_4VpB64T0rk/VkxWeOujQYI/AAAAAAAIGiQ/ixNGoCOrv84/s640/viwanda%252Bpicha.jpg)
Bodi ya Korosho Tanzania imeadhima kutoa asilimia 7 ya mapato yake sawa na shilingi bilioni mbili kwa ajili ya kusaidia utafiti wa zao hilo unaofanywa na kituo cha utafiti cha Naliendele.
Akiongea wakati wa kufunga kwa mkutano wa tatu wa kimataifa uliowahusisha wadau kutoka nchi mbalimbli duniani ,Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Korosho Tanzania Bw. Muhidhiri Muhidhiri amesema kuwa changamoto kubwa wanayokabiliana nayo ni ukosefu wa fedha kwa ajili ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-oR-CzJiBKoQ/XsUP8zZwL4I/AAAAAAALq7c/LSsBTLB5c1Md_TaBpgSsNsU72p3Ildz5wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-20%2Bat%2B2.07.56%2BPM.jpeg)
MBWEHA, WATOTO WA NGURUWE WATAKUONGOZA KUELEKEA KWENYE HADITHI TAMU YA KASINO
![](https://1.bp.blogspot.com/-oR-CzJiBKoQ/XsUP8zZwL4I/AAAAAAALq7c/LSsBTLB5c1Md_TaBpgSsNsU72p3Ildz5wCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-20%2Bat%2B2.07.56%2BPM.jpeg)
Gemu hii ya sloti ya kwenye simu inayoitwa Piggy Party, iliyotengenezwa na studio za Expanse ina lengo la kutanua wigo wa burudani na kukuletea wewe sherehe ya aina yake ikiwa na mizunguko mingi na ushindi mkubwa – inapatikana kwenye kasino ya Meridianbet pekee.
Furahia maajabu ya mbweha na watoto wa nguruwe kwa kuingia hapa mtandaoni...
11 years ago
MichuziKATAA UMEME FAMILY YAWAKEMEA WATU WANAOTUMIA PICHA ZAO KWENYE BIASHARA ZAO ZA MADAWA YA KUPUNGUZA UZITO