Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MBWEHA, WATOTO WA NGURUWE WATAKUONGOZA KUELEKEA KWENYE HADITHI TAMU YA KASINO

KASINO mpya kabisa inayopatikana mtandaoni inayokuletea hadithi tamu za wapendanao kwa sasa inapatikana kwenye orodha ya kasino za Meridianbet. 
Gemu hii ya sloti ya kwenye simu inayoitwa Piggy Party, iliyotengenezwa na studio za Expanse ina lengo la kutanua wigo wa burudani na kukuletea wewe sherehe ya aina yake ikiwa na mizunguko mingi na ushindi mkubwa – inapatikana kwenye kasino ya Meridianbet pekee.
Furahia maajabu ya mbweha na watoto wa nguruwe kwa kuingia hapa mtandaoni...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Mama Salma Kikwete mgeni rasmi kwenye tamasha la kwanza la vitabu vya hadithi kwa watoto wa shule za msingi

DSC_0481

Baadhi ya watoto wa shule za msingi jijini Dar wakifanya mazoezi ya maigizo kwa ajili ya tamasha la kesho kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa.

DSC_0533

Na Mwandishi wetu

WANAFUNZI wa shule za Msingi nchini, wameshauriwa kuwa na mazoea ya kusoma vitabu kwa lengo la kuwa wagunduzi wa vitu mbalimbali.

Akizungumza  jijini Dar es Salaam,Mkurugenzi Mtendaji wa  Taasisi ya Soma, Demere Kitunga wakati wa maandalizi ya tamasha la kwanza la vitabu vya hadithi kwa watoto wa Shule za msingi.

Kitunga amesema...

 

11 years ago

GPL

MAMA SALMA KIKWETE MGENI RASMI KWENYE TAMASHA LA KWANZA LA VITABU VYA HADITHI KWA WATOTO WA SHULE ZA MSINGI‏

Baadhi ya watoto wa shule za msingi jijini Dar wakifanya mazoezi ya maigizo kwa ajili ya tamasha la kesho kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa. Mmoja wa watoto akionyesha kipaji chake wakati wa mazoezi kwa vitendo kupitia hadithi mbalimbali walizosoma kutoka kwenye vitabu. Na Mwandishi wetu WANAFUNZI wa shule za Msingi nchini, wameshauriwa kuwa na… ...

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA ATAKA HADITHI NYINGI KWENYE ZAO LA KOROSHO ZIFIKE MWISO


 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Tandahimba ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa zao la korosho lina hadithi nyingi sana na njia pekee ya kuleta ukombozi kwa mkulima ni kujenga kwa viwanda vya kutosha vya kubangulia Korosho nchini.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Tandahimba ambapo aliwaambia wasihadaike na wapinzani ambao muda wao wa ujana wameutumia wakiwa CCM na uzeeni kuingia upinzani na kuanza kuhadaa watu walioishi kwa...

 

9 years ago

Raia Mwema

Kabla ya ‘Mbweha wa Jangwani’, tuanze na haya

MWISHONI mwa wiki iliyopita timu ya Taifa (Taifa Stars) ilikuwa na mchezo wa kufuzu fainali za Ko

Mwandishi Wetu

 

5 years ago

Michuzi

Mchanganyiko kati ya kasino na wakati wenye burudani halisi hapa Meridianbet

Kasino ya Meridianbet imezindua kipengele cha LIVE DEALER kukuletea mkusanyiko mzuri wa michezo halisi ya kasino na starehe ya kweli, iliyowekwa kwenye jukwaa la kidijitali.

Kwa wapenzi wote wa kasino wanaotafuta msisimko wa kweli na wa kufurahisha, Live Dealer imewasili, ikikuletea radha mpya ya chipsi na sloti za kasino.

Mazingira halisi ya meza ya kasino na kushindana dhidi ya wachezaji wengine moja kwa moja kwenye akaunti yako ya Meridianbet.co.tz.

Michezo unayoipata ni pamoja na Blackjack,...

 

9 years ago

Vijimambo

WANANCHI WA KISARAWE WASHIRIKI MDAHALO WA AJENDA YA WATOTO KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2015


Ndg Abel Mudo, mgombea wa udiwani kata ya Kisarawe kupitia CCM akichangia katika mdahalo wa ajenda ya watoto ambapo ulihusisha pia wakazi wa kata ya kisaraweBaadhi ya wakazi ya kata wa kisarawe wakifuatilia kwa makini mdahalo wa ajenda ya watoto ambapo wa  ajenda ya watoto ullohusisha wagombea wa udiwani kupiitia vyama vya CCM na Chadema 


Mmoja wa wananchi wa kata ya kisarawe akichangia katika mdahalo wa ajenda ya  watoto kuelekea uchaguzi mkuu  ambapo ulihusisha wanafunzi na wagombea  wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kuelekea maandalizi ya sikukuu ya X-Mass PSPF yawakumbuka watoto yatima wa kituo cha Amani

46

Kushoto ni Meneja wa Pwani wa PSPF Msafiri S. Mugaka  akiwa na Afisa Mahusiano wa PSPF Coleta Mnyamani wakiwakabidhi zawadi ya Mbuzi  kwa ajilli ya Krismasi watoto wa kituo cha kulelea yatima cha Amani Orphanage Centre.

40

Afisa Mahusiano wa PSPF Coleta Mnyamani akimkabidhi zawadi ya vinywaji mmoja wa watoto katika kituo hicho.

44

Meneja wa Pwani wa PSPF Msafiri S. Mugaka akimkabidhi mmoja wa watoto msaada wa mafuta ya kupikia kwa niaba ya watoto wenzake walipo watembelea katika kituo chao...

 

5 years ago

CCM Blog

DK MSHINDO MSOLLA AZINDUA KAMPENI YA KUELEKEA KWENYE MABADLIKO YA MFUMO WA UENDESHAJI YANGA SC


Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
MWENYEKTI wa Yanga SC, Dk. Mshindo Msolla amezindua Kampeni ya kuelekea kwenye mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji wa Klabu.
“Moja ya ajenda zangu wakati nagombea uongozi ilikuwa ni kuhakikisha tunaingia kwenye mabadiliko ya mfumo mpya wa uendeshaji wa Klabu yetu.
“Leo nina furaha kuzindua kampeni hii ambayo ni hatua muhimu kuelekea kwenye matukio makubwa ya mabadiliko tunayoyatarajia,” amesema.Amesema kampeni hiyo yenye Kaulimbiu ‘Twenzetu kwenye Mabadiliko’...

 

9 years ago

Michuzi

RAIS MAGUFULI ATOA ZAWADI ZA SIKUKUU YA KRISMASI KWA WATOTO WANAOISHI KWENYE KITUO CHA KUHUDUMIA WATOTO WA KIJIJI CHA MATUMAINI MKOANI DODOMA.

 Afisa Ustawi wa Jamii kutoka Sekretarieti ya Mkoa wa Dodoma Bi. Ziada Nkinda (Aliyebeba Mtoto) akikabidhi zawadi za siku kuu ya Noeli (Christmas) zilizotolewa na Mhe. Rais John Pombe Magufuli kwa watoto wanaoishi kwenye kituo cha kuhudumia watoto cha kijiji cha matumaini Mkoani Dodoma.Meneja wa kituo cha kuhudumia watoto cha kijiji cha matumaini kilichopo Dodoma  Padiri Vicent, kwa niaba ya watoto wa kituo hiko, akimshukuru Bi. ziada Nkinda kwa kukabidhi zawadi zilizotolewa na Mhe. Rais...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani