MBWEHA, WATOTO WA NGURUWE WATAKUONGOZA KUELEKEA KWENYE HADITHI TAMU YA KASINO
![](https://1.bp.blogspot.com/-oR-CzJiBKoQ/XsUP8zZwL4I/AAAAAAALq7c/LSsBTLB5c1Md_TaBpgSsNsU72p3Ildz5wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-20%2Bat%2B2.07.56%2BPM.jpeg)
KASINO mpya kabisa inayopatikana mtandaoni inayokuletea hadithi tamu za wapendanao kwa sasa inapatikana kwenye orodha ya kasino za Meridianbet.
Gemu hii ya sloti ya kwenye simu inayoitwa Piggy Party, iliyotengenezwa na studio za Expanse ina lengo la kutanua wigo wa burudani na kukuletea wewe sherehe ya aina yake ikiwa na mizunguko mingi na ushindi mkubwa – inapatikana kwenye kasino ya Meridianbet pekee.
Furahia maajabu ya mbweha na watoto wa nguruwe kwa kuingia hapa mtandaoni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog11 Jun
Mama Salma Kikwete mgeni rasmi kwenye tamasha la kwanza la vitabu vya hadithi kwa watoto wa shule za msingi
Baadhi ya watoto wa shule za msingi jijini Dar wakifanya mazoezi ya maigizo kwa ajili ya tamasha la kesho kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa.
Na Mwandishi wetu
WANAFUNZI wa shule za Msingi nchini, wameshauriwa kuwa na mazoea ya kusoma vitabu kwa lengo la kuwa wagunduzi wa vitu mbalimbali.
Akizungumza jijini Dar es Salaam,Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Soma, Demere Kitunga wakati wa maandalizi ya tamasha la kwanza la vitabu vya hadithi kwa watoto wa Shule za msingi.
Kitunga amesema...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_0481.jpg)
MAMA SALMA KIKWETE MGENI RASMI KWENYE TAMASHA LA KWANZA LA VITABU VYA HADITHI KWA WATOTO WA SHULE ZA MSINGI
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-96qlwBLSyVI/VHdOT1WBMwI/AAAAAAAAUDY/Pxpziivbj7Y/s72-c/1.jpg)
KINANA ATAKA HADITHI NYINGI KWENYE ZAO LA KOROSHO ZIFIKE MWISO
![](http://1.bp.blogspot.com/-96qlwBLSyVI/VHdOT1WBMwI/AAAAAAAAUDY/Pxpziivbj7Y/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-O-b7TiIKy3I/VHdQLfDp1DI/AAAAAAAAUEo/ixrWymmF0pI/s1600/2.jpg)
9 years ago
Raia Mwema14 Oct
Kabla ya ‘Mbweha wa Jangwani’, tuanze na haya
MWISHONI mwa wiki iliyopita timu ya Taifa (Taifa Stars) ilikuwa na mchezo wa kufuzu fainali za Ko
Mwandishi Wetu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mXkSHEL_ihQ/Xr6exX31SUI/AAAAAAAAHKU/RGf8CgdAE48kdQPQoDXkhfbpADo35adnwCLcBGAsYHQ/s72-c/471b4a90-406a-4541-9d57-d1f85c16ad83.jpg)
Mchanganyiko kati ya kasino na wakati wenye burudani halisi hapa Meridianbet
![](https://1.bp.blogspot.com/-mXkSHEL_ihQ/Xr6exX31SUI/AAAAAAAAHKU/RGf8CgdAE48kdQPQoDXkhfbpADo35adnwCLcBGAsYHQ/s640/471b4a90-406a-4541-9d57-d1f85c16ad83.jpg)
Kwa wapenzi wote wa kasino wanaotafuta msisimko wa kweli na wa kufurahisha, Live Dealer imewasili, ikikuletea radha mpya ya chipsi na sloti za kasino.
Mazingira halisi ya meza ya kasino na kushindana dhidi ya wachezaji wengine moja kwa moja kwenye akaunti yako ya Meridianbet.co.tz.
Michezo unayoipata ni pamoja na Blackjack,...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-p5jE-ZOipZ0/VgDMyvRIiNI/AAAAAAAAWig/rxCwnVJz0tg/s72-c/IMG_2504.jpg)
WANANCHI WA KISARAWE WASHIRIKI MDAHALO WA AJENDA YA WATOTO KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-p5jE-ZOipZ0/VgDMyvRIiNI/AAAAAAAAWig/rxCwnVJz0tg/s640/IMG_2504.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ILFRVXZkSQk/VgDMyeH8GwI/AAAAAAAAWik/9PTBuca8qw4/s640/IMG_2489.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-74pEIwfEOYA/VgDM3_vxcqI/AAAAAAAAWjM/bm8PINSEeic/s640/IMG_2532.jpg)
10 years ago
Dewji Blog07 Dec
Kuelekea maandalizi ya sikukuu ya X-Mass PSPF yawakumbuka watoto yatima wa kituo cha Amani
Kushoto ni Meneja wa Pwani wa PSPF Msafiri S. Mugaka akiwa na Afisa Mahusiano wa PSPF Coleta Mnyamani wakiwakabidhi zawadi ya Mbuzi kwa ajilli ya Krismasi watoto wa kituo cha kulelea yatima cha Amani Orphanage Centre.
Afisa Mahusiano wa PSPF Coleta Mnyamani akimkabidhi zawadi ya vinywaji mmoja wa watoto katika kituo hicho.
Meneja wa Pwani wa PSPF Msafiri S. Mugaka akimkabidhi mmoja wa watoto msaada wa mafuta ya kupikia kwa niaba ya watoto wenzake walipo watembelea katika kituo chao...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-CRK3NHxKc2I/XsVP4Qi631I/AAAAAAADc2Y/WkcTcL1I2nsWSGbEY8axLjbdi-v7DwIDwCNcBGAsYHQ/s72-c/dk_mshndo_msolla%2B%2540binzubeiry%2B.jpg)
DK MSHINDO MSOLLA AZINDUA KAMPENI YA KUELEKEA KWENYE MABADLIKO YA MFUMO WA UENDESHAJI YANGA SC
Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
MWENYEKTI wa Yanga SC, Dk. Mshindo Msolla amezindua Kampeni ya kuelekea kwenye mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji wa Klabu.
“Moja ya ajenda zangu wakati nagombea uongozi ilikuwa ni kuhakikisha tunaingia kwenye mabadiliko ya mfumo mpya wa uendeshaji wa Klabu yetu.
“Leo nina furaha kuzindua kampeni hii ambayo ni hatua muhimu kuelekea kwenye matukio makubwa ya mabadiliko tunayoyatarajia,” amesema.
![](https://1.bp.blogspot.com/-CRK3NHxKc2I/XsVP4Qi631I/AAAAAAADc2Y/WkcTcL1I2nsWSGbEY8axLjbdi-v7DwIDwCNcBGAsYHQ/s640/dk_mshndo_msolla%2B%2540binzubeiry%2B.jpg)
9 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI ATOA ZAWADI ZA SIKUKUU YA KRISMASI KWA WATOTO WANAOISHI KWENYE KITUO CHA KUHUDUMIA WATOTO WA KIJIJI CHA MATUMAINI MKOANI DODOMA.