Mchanganyiko kati ya kasino na wakati wenye burudani halisi hapa Meridianbet
![](https://1.bp.blogspot.com/-mXkSHEL_ihQ/Xr6exX31SUI/AAAAAAAAHKU/RGf8CgdAE48kdQPQoDXkhfbpADo35adnwCLcBGAsYHQ/s72-c/471b4a90-406a-4541-9d57-d1f85c16ad83.jpg)
Kasino ya Meridianbet imezindua kipengele cha LIVE DEALER kukuletea mkusanyiko mzuri wa michezo halisi ya kasino na starehe ya kweli, iliyowekwa kwenye jukwaa la kidijitali.
Kwa wapenzi wote wa kasino wanaotafuta msisimko wa kweli na wa kufurahisha, Live Dealer imewasili, ikikuletea radha mpya ya chipsi na sloti za kasino.
Mazingira halisi ya meza ya kasino na kushindana dhidi ya wachezaji wengine moja kwa moja kwenye akaunti yako ya Meridianbet.co.tz.
Michezo unayoipata ni pamoja na Blackjack,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fGcspb67QRQ/XoRxbi2F0yI/AAAAAAALlxU/dOjFSYzsqWQjpJrpK8Cx574DMbgsvuB4QCLcBGAsYHQ/s72-c/093d0932-90be-4079-abf5-61c1daf3dbe8.jpg)
MERIDIANBET INAWAJIBIKA KWA JAMII: Afya na burudani vinaenda bega kwa bega!
![](https://1.bp.blogspot.com/-fGcspb67QRQ/XoRxbi2F0yI/AAAAAAALlxU/dOjFSYzsqWQjpJrpK8Cx574DMbgsvuB4QCLcBGAsYHQ/s640/093d0932-90be-4079-abf5-61c1daf3dbe8.jpg)
KAMPUNI inayowajibika kwa jamii na kujali afya na utu wa wananchi, Meridianbet inataka kukuhimiza kufuata taratibu na kanuni zilizowekwa na mamlaka husika.
Sisi kama jamii ni lazima tujali afya zetu na wananchi wengine na kuonesha mshikamano kati yetu.
Tunafahamu kiasi cha msongo wa mawazo na hali ya mabadiliko katika maisha yetu, hali hii imepelekea watu wengi kutumia muda mwingi kukaa majumbani na kujitenga.
Hivyo, kwa ajili ya kufanya hali iwe rahisi katika kipindi hiki ambacho wote tupo,...
10 years ago
Dewji Blog27 Aug
Serikali yasisitiza matumizi ya ya vyeti halisi wakati wa uombaji wa kazi Sekretariati ya Ajira
Naibu Katibu Kitengo cha Udhibiti na Ubora toka Ofisi ya Rais, Sekretariat ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Humphrey Mniachi akiongea na waandishi wa Habari (Hawapo Pichani)Jinsi wanavyoshirikiana na Vyombo vingine serikalini katika Mchakato wa Ajira,wakati wa Mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Ofisi Hiyo Bi. Riziki Abraham.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano toka Ofisi ya Rais, Sekretariat ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bi. Riziki...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AFie06AUli0/XvNAmIL-BeI/AAAAAAALvPs/cVXuCyZESEAfTCtCmRn-PUsPiUmSl9r6wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-24%2Bat%2B2.34.50%2BPM.jpeg)
SASA NI WAKATI KUWAPA BURUDANI ZA KINYUMBANI ZAIDI WATAZAMAJI WETU-TIDO MHANDO
- Rich rich aona Raha ya kuwepo Azam tv, tamthilia 4 madebe na shilingi yake.
KAMPUNI ya Azam media imezindua filamu nne kwa mpigo jijini leo jijini Dar es salaam.
Akizungumza na Michuzi tv Mtendaji mkuu wa kampuni ya Azam Media, Tido Mhando amesema Sasa ni wakati wa kuwapa burudani za kinyumbani zaidi watazamaji wao.
"Tumekuwa tukipokea malalamiko,maoni na ujumbe kutoka kwa watazamaji wet,u kupitia mitandaoni kuhusu juu ya kutaka kuona tamthilia za...
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Burudani inahamia Zanzibar, Kombe la Mapinduzi 2016 Yanga, Azam FC na Simba ndani, ratiba kamili ipo hapa …
Ni kawaida kila mwaka kufanyika kwa mashindano ya Kombe la Mapinduzi visiwani Zanzibar, kwa mwaka 2016 michuano hiyo inafanyika kama kawaida. Kombe la Mapinduzi kwa sasa Bingwa mtetezi wa Kombe hilo ni klabu ya Simba. Jumapili ya January 3 2016. Hii ndio ratiba kamili mtu wangu ya michuano ya Kombe la Mapinduzi. CHANZO CHA HII […]
The post Burudani inahamia Zanzibar, Kombe la Mapinduzi 2016 Yanga, Azam FC na Simba ndani, ratiba kamili ipo hapa … appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xa7rDnAgaa7O1v929yinbOh*WaRzG1TW-EEx1nmiIIE2jrTtOIQtjHQg1zdjG4TUdAFYXRQ6jYuw0WE1N*0p0I2EO6jynOf4/2.jpg?width=650)
TASWIRA ZA VURUGU ZA MASHABIKI WAKATI WA MECHI YA NUSU FAINALI AFCON KATI YA GHANA NA EQUATORIAL GUINEA
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/u-8Cq3szLXM/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-nDULIyL20vs/VbeQzYLY4BI/AAAAAAAHsSA/ediqGlZXdaU/s72-c/MMGL0816.jpg)
KAULI NANE ZA EDWARD LOWASSA WAKATI ANAJIUNGA NA CHADEMA LEO HIZI HAPA
![](http://4.bp.blogspot.com/-nDULIyL20vs/VbeQzYLY4BI/AAAAAAAHsSA/ediqGlZXdaU/s640/MMGL0816.jpg)
Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa amejiunga rasmi na Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), leo Jijini Dar na hizi ndizo kauli alizozitoa wakati wa hotuba yake
Lowassa: Namshukuru mke wangu Regina, wanangu na wanafamilia katika kipindi hiki kigumu kilichojitokeza.
Lowassa: Nawashukuru wanaCCM waliojitokeza...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-oR-CzJiBKoQ/XsUP8zZwL4I/AAAAAAALq7c/LSsBTLB5c1Md_TaBpgSsNsU72p3Ildz5wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-20%2Bat%2B2.07.56%2BPM.jpeg)
MBWEHA, WATOTO WA NGURUWE WATAKUONGOZA KUELEKEA KWENYE HADITHI TAMU YA KASINO
![](https://1.bp.blogspot.com/-oR-CzJiBKoQ/XsUP8zZwL4I/AAAAAAALq7c/LSsBTLB5c1Md_TaBpgSsNsU72p3Ildz5wCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-20%2Bat%2B2.07.56%2BPM.jpeg)
Gemu hii ya sloti ya kwenye simu inayoitwa Piggy Party, iliyotengenezwa na studio za Expanse ina lengo la kutanua wigo wa burudani na kukuletea wewe sherehe ya aina yake ikiwa na mizunguko mingi na ushindi mkubwa – inapatikana kwenye kasino ya Meridianbet pekee.
Furahia maajabu ya mbweha na watoto wa nguruwe kwa kuingia hapa mtandaoni...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-JSexxhkX_nQ/Xk52UGVhgsI/AAAAAAACHyU/XvJU3MiHv0QNtD8S4Axe7rxAKq_MdmORQCLcBGAsYHQ/s72-c/HIJA%2BYA%2BCHANZO%2BHALISI.jpg)
KANISA HALISI LA MUNGU BABA LINAWAKARIBISHA WATU WOTE KWENYE HIJA YA CHANZO HALISI CHA MUNGU BABA, MJINI KIGOMA 26 THEBETI,1(26 APRILI,2020)
![](https://1.bp.blogspot.com/-JSexxhkX_nQ/Xk52UGVhgsI/AAAAAAACHyU/XvJU3MiHv0QNtD8S4Axe7rxAKq_MdmORQCLcBGAsYHQ/s400/HIJA%2BYA%2BCHANZO%2BHALISI.jpg)
Sauti Mpya(2019) ambayo imetangaza kuwa Tanzania ni Taifa Baba ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo imetangaza kuwa Afrika ni Bara la Nuru ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya zile Sauti Saba ilisikika Kigoma-Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya ishara tatu mbinguni (Ufunuo 12:1-9) ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya Nafsi ya Moyo (Miungu tisa mitakatifu iliyofafanuliwa ndani ya Kitabu) ilisikika...