Rais wa mpito aapishwa CAR
Rais wa mpito katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, Catherine Samba Panza, ameapishwa katika sherehe maalum mjini Bangui.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili10 Jan
Rais wa mpito CAR ajiuzulu
Rais wa mpito katika Jamhuri ya Afrika ya Kati Michel Djotodia amejiuzulu baada ya wiki kadhaa za vurugu za kidini
11 years ago
BBCSwahili20 Jan
Wabunge CAR kumchagua Rais wa mpito
Wabunge katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, wameanza mkutano wa kumchagua Rais wa mpito, huku ghasia zikiendelea kati ya waisilamu na wakristo
10 years ago
BBCSwahili17 Nov
Burkina Faso yapata rais wa mpito
Aliyekuwa waziri wa mambo ya nje Burkina Faso Michel Kafando, ametajwa kuwa rais wa mpito nchini humo.
10 years ago
Tanzania Daima23 Nov
MICHEL KAFANDO: Rais mteule serikali ya mpito Burkina Faso
NOVEMBA 10 mwaka huu Burkina Faso ilikamilisha rasimu ya mkataba ya mpito ambayo ilisababisha upinzani na vyama vya kiraia nchini humo kuafikiana kuhusu baadhi ya vifungu hususan kugawana madaraka katika taasisi mbalimbali...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6ovfEf3pFLdbkxF1xP58sAEnofv9fRJgmbba4SaF-etFQBX4zLTA0xqMm9OPKW1JUayInk*RUdgB5xDhub77muK2IrPz57e7/GuyScot2.jpg?width=650)
GUY SCOTT ATEULIWA KUWA RAIS WA MPITO NCHINI ZAMBIA
Mhe. Guy Scott. KUFUATIA kifo cha Rais Michael Chilufya Sata, kilichotokea tarehe 28 Oktoba 2014, mjini London na kwa kuzingatia Katiba yake Kifungu cha 38 (1) kinachohusu mamlaka ya Rais, kwamba nafasi ya Rais ikiwa wazi kwa sababu yoyote ile, Makamu wa Rais atakaimu madaraka ya kiti cha Urais hadi uchaguzi mdogo utakapofanyika ndani ya siku tisini (90), hivyo Serikali imemteua Mhe. Guy Scott (MB), Makamu wa Rais, kukaimu...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-phmE6jL0mwQ/VFFDEIRTSRI/AAAAAAAGuHM/peJm2WMwfYg/s72-c/1-Zambia-OnoBello-1029.jpg)
Mhe. Guy Scott ateuliwa kuwa Rais wa Mpito nchini Zambia
![](http://1.bp.blogspot.com/-phmE6jL0mwQ/VFFDEIRTSRI/AAAAAAAGuHM/peJm2WMwfYg/s1600/1-Zambia-OnoBello-1029.jpg)
Tayari aliyekuwa anakaimu madaraka ya...
9 years ago
BBCSwahili20 Aug
Rais Nkurunziza aapishwa
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza anaapishwa kwa muhula wa tatu uliozua utata.
9 years ago
BBCSwahili06 Nov
Rais mpya wa Tanzania aapishwa
John Pombe Magufuli sasa ndiye rais mpya wa taifa la Tanzania baada kuapishwa mbele ya umati mkubwa wa watu waliojaa uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam wakiwemo viongozi wa mataifa mbalimbali.
11 years ago
BBCSwahili07 Jun
Rais wa Ukraine aapishwa rasmi
Rais mpya wa Ukraine tajiri Petro Poroshenko ameapishwa rasmi hii leo katika sherehe iliyofanyika mjini Kiev.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania