Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais Nkurunziza aapishwa

Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza anaapishwa kwa muhula wa tatu uliozua utata.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

RAIS AL SISI WA MISRI AAPISHWA

Rais wa Misri, Abdel Fatah al Sisi. Rais wa Misri, Abdel Fatah al Sisi ameapishwa rasmi kama rais mpya wa Misri katika sherehe iliyofanyika katika mahakama ya kikatiba katika mji mkuu wa Cairo. Baada ya wimbo wa taifa na kusomwa kwa Quran, rais al Sisi alikula kiapo chake ambapo aliahidi kuheshimu sheria na maslahi ya raia wa misri. Al Sisi alishinda uchaguzi wa urais mwezi uliopita kwa kura nyingi japo idadi ya waliojitokeza...

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais mpya wa Tanzania aapishwa

John Pombe Magufuli sasa ndiye rais mpya wa taifa la Tanzania baada kuapishwa mbele ya umati mkubwa wa watu waliojaa uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam wakiwemo viongozi wa mataifa mbalimbali.

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais wa Ukraine aapishwa rasmi

Rais mpya wa Ukraine tajiri Petro Poroshenko ameapishwa rasmi hii leo katika sherehe iliyofanyika mjini Kiev.

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais wa mpito aapishwa CAR

Rais wa mpito katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, Catherine Samba Panza, ameapishwa katika sherehe maalum mjini Bangui.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais mpya wa Zambia aapishwa

Edgar Lungu aapishwa mjini Lusaka kuwa rais mpya wa Zambia baada ya kushinda kwa kura chache

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS MAGUFULI ATANGAZA MAOMBOLEZO YA SIKU TATU YA KIFO CHA RAIS NKURUNZIZA WA BURUNDI

Pierre NkurunzizaIkulu, Chamwino.
Rais Dk. John Magufuli ametangaza maombolezo ya Kitaifa ya siku tatu kuanzia kesho Juni 13, 2020 kufuatia kifo cha Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza kilichotokea Juni 09, 2020 nchini Burundi.

Taarifa iliyotolewa na Ikulu jijini Dodoma imesema katika kipindi chote cha siku tatu za maombolezo hayo ambayo yataanza leo, hadi keshokuwa bendera zote zitapeperushwa nusu mlingoti.

Taarifa hiyo imesema, Rais Magufuli ameeleza kuwa Tanzania inatoa heshima hiyo kwa kifo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ghani aapishwa rais mpya Afghanistan

Ashraf Ghani ameapishwa kuwa rais mpya wa Afghanistan baada ya miezi sita ya mvutano na mpinzani wake

 

5 years ago

CCM Blog

MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU NA RAIS MSTAAFU AWAMU YA NNE DKT. KIKWETE WAIFARIJI FAMILIA YA NKURUNZIZA

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete wakimjulia hali na kumfariji Mjane wa marehemu Rais  Pierre Nkurunziza wa Burundi Bibi Rev Denise Nkurunziza wakati alipofika nyumbani kwa marehemu Nkurunziza  Jijini Bujumbura Nchini Burundi jana jioni kwa ajili ya kuitembelea na kuifariji familia akiwemo mjane na watoto wa marehemu Nkurunziza.

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani