Rais Nkurunziza aapishwa
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza anaapishwa kwa muhula wa tatu uliozua utata.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/a5b4X5Lcvi18qIFYmzatHrRqkMaVKLiB0p8g2iTMqo97s25d8w6mNGq*gOEnlvcmMxkGMP4ulYJp1YSqECFUolQtoj-fg2vn/alsisi.jpg)
RAIS AL SISI WA MISRI AAPISHWA
Rais wa Misri, Abdel Fatah al Sisi. Rais wa Misri, Abdel Fatah al Sisi ameapishwa rasmi kama rais mpya wa Misri katika sherehe iliyofanyika katika mahakama ya kikatiba katika mji mkuu wa Cairo. Baada ya wimbo wa taifa na kusomwa kwa Quran, rais al Sisi alikula kiapo chake ambapo aliahidi kuheshimu sheria na maslahi ya raia wa misri. Al Sisi alishinda uchaguzi wa urais mwezi uliopita kwa kura nyingi japo idadi ya waliojitokeza...
9 years ago
BBCSwahili06 Nov
Rais mpya wa Tanzania aapishwa
John Pombe Magufuli sasa ndiye rais mpya wa taifa la Tanzania baada kuapishwa mbele ya umati mkubwa wa watu waliojaa uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam wakiwemo viongozi wa mataifa mbalimbali.
11 years ago
BBCSwahili07 Jun
Rais wa Ukraine aapishwa rasmi
Rais mpya wa Ukraine tajiri Petro Poroshenko ameapishwa rasmi hii leo katika sherehe iliyofanyika mjini Kiev.
11 years ago
BBCSwahili23 Jan
Rais wa mpito aapishwa CAR
Rais wa mpito katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, Catherine Samba Panza, ameapishwa katika sherehe maalum mjini Bangui.
10 years ago
BBCSwahili25 Jan
Rais mpya wa Zambia aapishwa
Edgar Lungu aapishwa mjini Lusaka kuwa rais mpya wa Zambia baada ya kushinda kwa kura chache
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-4VMRNRbkPgw/XuRXrF1bq0I/AAAAAAACNIg/bR7KihQb1uYRXD-gAD3Fv6h086iCkjIAQCLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpeg)
RAIS MAGUFULI ATANGAZA MAOMBOLEZO YA SIKU TATU YA KIFO CHA RAIS NKURUNZIZA WA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-4VMRNRbkPgw/XuRXrF1bq0I/AAAAAAACNIg/bR7KihQb1uYRXD-gAD3Fv6h086iCkjIAQCLcBGAsYHQ/s400/images.jpeg)
Rais Dk. John Magufuli ametangaza maombolezo ya Kitaifa ya siku tatu kuanzia kesho Juni 13, 2020 kufuatia kifo cha Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza kilichotokea Juni 09, 2020 nchini Burundi.
Taarifa iliyotolewa na Ikulu jijini Dodoma imesema katika kipindi chote cha siku tatu za maombolezo hayo ambayo yataanza leo, hadi keshokuwa bendera zote zitapeperushwa nusu mlingoti.
Taarifa hiyo imesema, Rais Magufuli ameeleza kuwa Tanzania inatoa heshima hiyo kwa kifo...
10 years ago
BBCSwahili29 Sep
Ghani aapishwa rais mpya Afghanistan
Ashraf Ghani ameapishwa kuwa rais mpya wa Afghanistan baada ya miezi sita ya mvutano na mpinzani wake
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-lbNEL4OFfR4/XuzPqOJVwOI/AAAAAAAAz24/r6N4k_5jqjEyffGBcxpk9d7TUe-TUcJ-wCLcBGAsYHQ/s72-c/F87A4658-2-1536x864.jpg)
MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU NA RAIS MSTAAFU AWAMU YA NNE DKT. KIKWETE WAIFARIJI FAMILIA YA NKURUNZIZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-lbNEL4OFfR4/XuzPqOJVwOI/AAAAAAAAz24/r6N4k_5jqjEyffGBcxpk9d7TUe-TUcJ-wCLcBGAsYHQ/s400/F87A4658-2-1536x864.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-SGJ4d8t1fvA/XuzPqflRA_I/AAAAAAAAz28/m_D2vvNAJ3Y1jKM40IHqmpZqR0LREiujQCLcBGAsYHQ/s400/F87A4665-2-1536x812.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania