Rangers kushuka dimbani kesho
![](http://1.bp.blogspot.com/-mDM1Bvc3VQc/VofdsviN9yI/AAAAAAAIP4w/GdNgUWoVZRk/s72-c/download.jpg)
LIGI Daraja la kwanza inaendelea kesho kwa michezo miwili huku timu ya Friends Rangers (pichani) ya Dar es salaam ikishuka kwenye Uwanja wa mabatini Mlandizi kuvaana na timu ya KMC.
Ofisa Habari wa klabu ya Friends Rangers, Asha Kigundula, alisema kuwa wanatambua ugumu wa mechi hiyo lakini lengo lao ni kushinda na kupata pointi tatu.Kigundula alisema anatambua kama wapinzani wao wamejipanga kushinda, lakini nao wapo kwa lengo la kufanya vizuri na kuondoka na pointi tatu.Alisema wao hawajataka...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo10 Nov
Stars kushuka dimbani leo
TIMU ya soka ya taifa, Taifa Stars leo inatarajia kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya timu ya vijana ya Afrika Kusini chini ya umri wa miaka 23 ‘Amaglug- glug’ na kocha Charles Mkwasa amesema ana imani mechi hiyo itakuwa kipimo kikubwa kwa timu yake.
10 years ago
BBCSwahili24 Apr
Ligi ya England timu 20 kushuka dimbani
9 years ago
BBCSwahili19 Dec
Chelsea, Man Utd kushuka dimbani EPL
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Matokeo ya mchezo wa kwanza wa Kundi A kati ya URA dhidi ya JKU, kabla ya Simba kushuka dimbani (+Pichaz)
Jumatatu ya January 4 ni siku ambayo Kombe la Mapinduzi liliendelea tena kwa mchezo wa kwanza wa Kundi A kuchezwa katika uwanja wa Amani Zanzibar. Huu ulikuwa ni mchezo wa tatu wa mashindano na wa kwanza kwa Kundi A ambalo lina timu za Simba, Jamuhuri, JKU na URA ya Uganda. Hivyo timu ya URA dhidi […]
The post Matokeo ya mchezo wa kwanza wa Kundi A kati ya URA dhidi ya JKU, kabla ya Simba kushuka dimbani (+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ze5WFjL49OM/VGd2gjq5JXI/AAAAAAAGxgQ/SsE1e39I5oA/s72-c/Asha-Kigundula1.jpg)
Friends Rangers kukipiga na Kimondo katika uwanja wa Karume Kesho
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ze5WFjL49OM/VGd2gjq5JXI/AAAAAAAGxgQ/SsE1e39I5oA/s1600/Asha-Kigundula1.jpg)
VINARA wa Ligi Daraja la kwanza katika kundi A, timu ya Friends Rangers, kesho wanashuka katika Uwanja wa Karume, Dar es Salaam, kuvaana na timu ya Kimondo, katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza.
Ofisa Habari wa klabu hiyo, Asha Kigundula, amewataka wapenzi wa klabu hiyo kujitokeza kwa wingi katika mchezo huo, kuwapa hamasa wachezaji wao. Kigundula alisema kuwa wana amini mchezo huo utakuwa mgumu, lakini kujitokeza kwa wapenzi wengi kutawafanya wachezaji wao...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IregChaDnDQ/VJPeKEV4ymI/AAAAAAAG4Xc/Lp2T_RYslf4/s72-c/FRIENDS%2BRANGERS.jpg)
friends rangers kukipiga na ndanda fc uwanja wa makurumla magomeni mwembechai kesho
![](http://2.bp.blogspot.com/-IregChaDnDQ/VJPeKEV4ymI/AAAAAAAG4Xc/Lp2T_RYslf4/s1600/FRIENDS%2BRANGERS.jpg)
11 years ago
Michuzi21 Feb
RHINO RANGERS WATUA SALAMA BUKOBA, KESHO JUMAMOSI UWANJANI KAITABA KUWAKABILI KAGERA SUGAR
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/qt2RfWOiZ2SFt_6HASeEmRtH9TWt-qdjE4r9FX7MJ6sqqTOWzuzKwjpgS6QkW6o44_H-63DUNKAaDEq_5S-JOGwCCp8xEno8IMMPrUGDsHWNhIr5LXpvA14PtdznpCY_hUKLjm31Cx5BlLv0Y2jIiq-vP5s-KdeAxJR5W2PuB4B7hUVeROITB-_Ia8134XeSdVLtjjEZe625c9eDqmEEsLlJSOrm60VhMxuqkLis7yJxXPVdhI8nf4JHlj0BOn5OnQVHFSFAWOPn9O0tmdnh2DDapCsWoKZejbQ4kWWLfBazJtAXdwYSBoTgoljTK87RsFaIQ6Or0E81=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-furbhstlGzE%2FUwdtHr4umZI%2FAAAAAAAAUQA%2FNh8JmgQgriw%2Fs1600%2F1.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/EGBYRGiwy_8dOpk3HQh6w-ikVzbPcgCabxFFrV2_z_QGupxGPMKOBkJjB36UiYzXR6WfqJ1IXp8iQBpDqNoo-4KJRYBYdoKWL78xZ-4wQUHcx9Km174MkSSUaqplMI5Fz4cmJJ_jxoj_edWqT2pmCpIkPnSoetrxLUsFXZBx124RF96nHXPbfDsxb8CcxjllnQ_0emMbLBDTcdl6Kl5cQjD5CYKg6uoKDt-GMntff-jxfAKhfRY4UgLmeK4xX_Pk5G8qtNP7LwJxSvLscNb3kVNtOjhreufsp6wIEpF39yLNge-AMuOrqB_7sQQVV_2jGLFIY-XFd8bLyw=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-BVzX_kjHXBE%2FUwdtcK7VmpI%2FAAAAAAAAUQM%2Fs3vU023xiK0%2Fs1600%2F1a.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/xDQaKJfisicVqIEH-nYvIMpQKYKzYjN2c9NlKGd9xnky0RXZww33N1bck5aPc7Pczanhcnl0hZGLWas-Ey7UMApZB1kFUnNhABpYlTynXEpNlYRx-muwKVD-vBEd-J-5XbqQ0RriYXk5X8ASx12Fpa_wAUs6DkfWEwNv1t4ZaYunvCw02XTFKaw4Svq2CEJ1-sY-zT3RgdYbqu1Vbw1qf2xFud7PoHlnPZDlrwGJY3_v3S5OEGdTsLJAgRFb9Ij_x61-VUWHRiIQQ9noFH4Fv6dgHnBrJMy5Urj8fUGi85vNV7KoDqJicZYWh2UkegxhNXsPBs-Mj1Ob=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-uplZTsnXpfE%2FUwdtcaAT6GI%2FAAAAAAAAUQQ%2F83k_p53A8XY%2Fs1600%2F2.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YgVBKrw6g5c/VKWPKoanmjI/AAAAAAAG644/yk62JanmAsQ/s72-c/download.jpg)
friends rangers vs African lyon jino kwa jino uwanja wa karume kesho
10 years ago
Vijimambo![](https://lh3.googleusercontent.com/-JZ91ljyh71w/VF-kCddS14I/AAAAAAAARZo/5UT0rCGq3LU/s72-c/blogger-image-880205719.jpg)
DEADLINE NI KESHO ....MWISHO WA KUNUNUA TICKET ZA DISCOUNT KWA $75 NI KESHO ,BAADA YA KESHO ZITAKUWA $100.
![](https://lh3.googleusercontent.com/-JZ91ljyh71w/VF-kCddS14I/AAAAAAAARZo/5UT0rCGq3LU/s640/blogger-image-880205719.jpg)