Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rangers kushuka dimbani kesho

LIGI Daraja la kwanza inaendelea kesho kwa michezo miwili huku timu ya Friends Rangers (pichani) ya Dar es salaam ikishuka kwenye Uwanja wa mabatini Mlandizi kuvaana na timu ya KMC.
Ofisa Habari wa klabu ya Friends Rangers, Asha Kigundula, alisema kuwa wanatambua ugumu wa mechi hiyo lakini lengo lao ni kushinda na kupata pointi tatu.Kigundula alisema anatambua kama wapinzani wao wamejipanga kushinda, lakini nao wapo kwa lengo la kufanya vizuri na kuondoka na pointi tatu.Alisema wao hawajataka...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Stars kushuka dimbani leo

TIMU ya soka ya taifa, Taifa Stars leo inatarajia kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya timu ya vijana ya Afrika Kusini chini ya umri wa miaka 23 ‘Amaglug- glug’ na kocha Charles Mkwasa amesema ana imani mechi hiyo itakuwa kipimo kikubwa kwa timu yake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ligi ya England timu 20 kushuka dimbani

Jumla ya timu 20 zinazoshiriki ligi ya England zinatarajiwa kushuka dimbani mwishoni mwa wiki.

 

9 years ago

BBCSwahili

Chelsea, Man Utd kushuka dimbani EPL

Ligi Kuu ya Uingereza itarejelewa leo kwa mechi saba, Chelsea na Manchester United zikiwa miongoni mwa klabu zitakazocheza nyumbani.

 

9 years ago

MillardAyo

Matokeo ya mchezo wa kwanza wa Kundi A kati ya URA dhidi ya JKU, kabla ya Simba kushuka dimbani (+Pichaz)

Jumatatu ya January 4 ni siku ambayo Kombe la Mapinduzi liliendelea tena kwa mchezo wa kwanza wa Kundi A kuchezwa katika uwanja wa Amani Zanzibar. Huu ulikuwa ni mchezo wa tatu wa mashindano na wa kwanza kwa Kundi A ambalo lina timu za Simba, Jamuhuri, JKU na URA ya Uganda. Hivyo timu ya URA dhidi […]

The post Matokeo ya mchezo wa kwanza wa Kundi A kati ya URA dhidi ya JKU, kabla ya Simba kushuka dimbani (+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Michuzi

Friends Rangers kukipiga na Kimondo katika uwanja wa Karume Kesho

Mwandishi Wetu
VINARA wa Ligi Daraja la kwanza katika kundi A, timu ya Friends Rangers, kesho wanashuka katika Uwanja wa Karume, Dar es Salaam, kuvaana na timu ya Kimondo, katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza.
Ofisa Habari wa klabu hiyo, Asha Kigundula, amewataka wapenzi wa klabu hiyo kujitokeza kwa wingi katika mchezo huo, kuwapa hamasa wachezaji wao. Kigundula alisema kuwa wana amini mchezo huo utakuwa mgumu, lakini kujitokeza kwa wapenzi wengi kutawafanya wachezaji wao...

 

10 years ago

Michuzi

friends rangers kukipiga na ndanda fc uwanja wa makurumla magomeni mwembechai kesho

KIKOSI cha timu ya Friends Rangers (pichani), kesho kinajitupa kwenye Uwanja wa Makurumla, Magomeni Mwembechai, Dar es salaam kuvaana na timu ya Ndanda FC ya Mtwara katika mchezo wa kirafiki wa kijiandaa na mzunguko wa pili wa ligi daraja la kwanza.  Ofisa habari wa timu hiyo Asha Kigundula, alisema kikosi hicho kinashuka dimbani kikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mzunguko wa pili wa ligi hiyo inayoanza kutimua vumbi Ijumaa ya Desemba 26, 2014.  Alisema kwa kutambua umuhimu wa...

 

11 years ago

Michuzi

RHINO RANGERS WATUA SALAMA BUKOBA, KESHO JUMAMOSI UWANJANI KAITABA KUWAKABILI KAGERA SUGAR

Na Faustine Ruta, Bukoba Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuwania ubingwa wa Tanzania Bara inaingia raundi ya 19 kesho (Februari 22 mwaka huu) kwa mechi tano zitakazochezwa katika miji ya Dar es Salaam, Bukoba, Morogoro, Tanga na Arusha. Kocha wa Rhino Rangers Wachezaji wa Timu ya Rhino Rangers kutoka Tabora wakifanya mazoezi yao ya mwisho kwenye Uwanja wa Kaitaba jioni hii, Kesho Kuwakabili Wenyeji Kagera Sugar. Rhino Rangers ambao wanashika nafasi ya mkiani mwa ligi hiyo pendwa ya Vodacom...

 

10 years ago

Michuzi

friends rangers vs African lyon jino kwa jino uwanja wa karume kesho

KIKOSI cha timu ya Friends Rangers, kesho kinajitupa kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam kuvaana na timu ya African Lyon, katika mchezo wa ligi daraja la kwanza.  Ofisa habari wa Friends Rangers, Asha Kigundula, alisema kuwa mchezo huo wa pili kwa timu hizo ikiwa ni mzunguko wa pili wa ligi hiyo.  Kigundula alisema kuwa kikosi chao kipo katika hali kubwa ya kuhakikisha haitapoteza mchezo huo.  Alisema kikosi chao chini ya kocha wao Ally Yusuph 'Tigana' kina...

 

10 years ago

Vijimambo

DEADLINE NI KESHO ....MWISHO WA KUNUNUA TICKET ZA DISCOUNT KWA $75 NI KESHO ,BAADA YA KESHO ZITAKUWA $100.

           NUNUA YAKO SASA INGIA..    WWW.DIAMONDUSATOUR.COM AU PIGA 3016616207 NOW.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani