Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RASHID NA UPENDO WAMEREMETA KWENYE SHEREHE YA HARUSI YAO COLUMBIA

Bwana na Bi Harusi Rashid na Upendo wakiwa ndani ya gari ndefu walipowasili kwenye ukumbi wakijiandaa kuingia ukumbini kwenye sherehe ya harusi yao iliyofanyika siku ya Ijumaa Februari 13, 2015 Columbia, Maryland nchini Marekani.Rashid na Upendo wakiingia ukumbini.Maharusi na wasimamizi wao wakiwa ukumbini.Rashid na Upendo wakiwa  meza kuu.Upendo akimlisha keki mumewe.Rashidakimlisha keki mkewe.Maharusi wakinyeshana kanywaji kepesi.Maharusi wakicheza dansi yao ya kwanza.Dennis Mdoe kaka wa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Pale ambapo sherehe ya harusi inalazimika kuendelea japo bwana harusi kafariki… (+Video)

Ndugu jamaa na marafiki walijikuta wakiendelea na ratiba ya mazishi kwa mtindo wa sherehe baada ya bwana harusi kufariki… bibi harusi nae ilibidi akubaliane na ukweli kwamba ndoa yao imekatishwa na kifo cha mume mtarajiwa. Kifo cha bwana harusi John Mwangi kilitokana na ajali baada ya gari kutumbukia mtoni maeneo ya Kabarnet, Kaunti ya Baringo Kenya… […]

The post Pale ambapo sherehe ya harusi inalazimika kuendelea japo bwana harusi kafariki… (+Video) appeared first on...

 

10 years ago

Vijimambo

NDOA YA RASHID SEMNDAIA NA UPENDO LINDA MCHATTA

Ndoa ya Rashid Semndaia na Upendo Linda Machatta iliyofanyika siku ya Ijumaa Februari 13, 2015 Baltimore, Maryland na baadae kutafanyika sherehe Colombia, Maryland muda si mrefu. Maneno ya khanga yakimkuna mpiga picha.Rashid na Upendo wakichumu kwa mara ya kwanza kama mke na mume.Rashid na Upendo wakiwa kwenye ndoa yao.Shekh Faizur Khan akifungisha ndoa ya Rashid na Upendo siku ya Ijumaa Februari 13, 2015 Baltimore, Maryland nchini Marekani.Upendo akitia saini cheti cha ndoa.Rashid akitia...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Wapenzi waliohairisha harusi yao

Zuio la mikusanyiko ya watu laweza kuwa sababu tosha kwa wapenzi kubadili mipango yao ya harusi kwa sasa.

 

10 years ago

Vijimambo

SHEREHE YA HARUSI YA OSWALD NA SUSAN

Oswald na Susan wakiwa kwenye sherehe ya harusi yao iliyofanyika kwenye ukumbi wa kanisa katoliki la Mt. Peter lililopo Burmingham, Alabama siku ya Jumamosi April 11, 2015.Maharusi na wapambe wao wakiwa meza kuu.Wasimamizi wa maharusi wakijipanga kuwapokea Oswald na Susan wakati walipokua wakiingia ukumbini. Wasimamizi wakiwa tayari kuwapokea maharusi. Wapambe wa maharusi wakiingia ukumbini. Maharusi wakiingia kwa staili ya ghari, ghari. Maharusi wakifanya vitu vyao. Ni cherekuchereku kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

SHEREHE YA HARUSI YA SANDRA NA GEORGE DALLAS, TEXAS.

Maharusi wakiwa meza kuu wakipata picha ya kumbukumbu na mmoja ya mtoto wao siku ya sherehe ya harusi yao iliyofanyika katika hoteli ya Westin iliyopo mtaa Legacy Dr. Dallas, Texas siku ya Jumamosi July 4, 2015 na kuhudhuriwa na ndugu, jamaa na marafiki kutoka kila pembe ya Dunia.Wapambe wa Bwna na Bi harusi.WasimamiziWasimamiziWasimamiziFor More photos Click Soma Zaidi

 

10 years ago

GPL

BWANA HARUSI APATWA NA UCHIZI SHEREHE IKIENDELEA

KAMA kawa, kama dawa. Ni siku nyingine mapaparazi wetu wanaotii amri za mkuu wao, Musa Mateja ‘Toz’, Dustan Shekidele ‘Mkude Simba au Mzee wa Mji Kasoro Bahari’, Issa Mnally ‘Mzee wa GX 100’ na Mpigapicha Mkuu, Richard Bukos walijiachia viwanja mbalimbali kusaka matukio na kuwasiliana na Mkuu wao aliyekuwa makao makuu ya gazeti hili, Bamaga- Mwenge, jijini Dar.
Saa 3:14 usiku Banana Zoro...

 

10 years ago

GPL

LUCY KOMBA: HARUSI BONGO, SHEREHE MAMTONI

HISTORIA
Dada Lucy hongera kwa kuwa na kipaji, kiukweli unaweza, kubwa napenda kuijua historia yako kwa ufupi. Thabiti Kiula, Igunga, 0786947474 Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Lucy Komba akipozi. LUCY: Mimi ni mama wa mtoto mmoja wa kiume. Nimezaliwa Dar katika Hospitali ya Lugalo. Nina elimu ya kidato cha nne baada ya hapo nikasomea mambo ya usekretari. Mimi ni mwajiriwa wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.
Sanaa...

 

10 years ago

Vijimambo

MNUSO BAADA YA SHEREHE YA HARUSI YA OSWALD NA SUSAN BURMINGHAM, ALABAMA

Wadau mbalimbali waliotokelezea kwenye mnuso wa baada ya sherehe ya harusi ya Oswald na Susan uliofanyika katikati ya mji wa Burmingham jimbo la Alabama wakipata picha ya pamoja.
Ni ukodak moment kwenye mnuso wa baada ya sherehe ya harusi ya Oswald na Susan
Wadau wakiwa katika picha ya pamoja
Mnuso wa baada ya sherehe ukiendelea.
Ni ukodak kwa kwenda mbele
Wadau wakiselebuka
Mnuso wa baada ya sherehe ukiendeleaKwa picha zaidi bofya soma zaidi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani