RAY: Nikiwa nao wananisifia, nikiwapa kisogo wananisema
VINCENT Kigosi ‘Ray’ amesema kuna baadhi ya watu wakiwamo wasanii, huwa wanawadharau wakongwe walioifanya tasnia hiyo kuwa juu na kuwasema vibaya pindi wanapowapa kisogo.
Ray alisema kuwa baadhi ya wasanii wachanga leo hii wanauza kazi zao na kukaa na wakongwe na kuwasifia lakini wakiwapa kisogo wanawasema vibaya.
“Tasnia hii watu waliisusa ilikuwa ikionekana kama ni kazi ya ziada tu wala si kazi inayomwezesha mtu kuendesha maisha yake, katika hali ngumu tulipigana na kuifikisha hapa,...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Miy5-5-cgYvf-l92XFe*e9kNlFXYKocciY9-*YZoy*7QeRO31QedlSGFcwRgTdg-FnabUd7P1XpTUgQjy5106dic2T2IFN1n/MAMAWEMA.jpg)
MH! ETI RAY, STEVE NYERERE NAO MAPEDESHEE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5Y36hMbSNo-*u*IsutjCLUbg7ugW1DXCvStNTUSBVkFwujjLYfP5B-1KDH-mgJ5EQSsYn4w2rPkKc4nCq25JSWdGgQlEniAW/SHILOLE.jpg?width=650)
SHILOLE: WANANGU WANANISEMA NIKIANDIKWA VIBAYA
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Man Utd kumpa kisogo Fergie
10 years ago
BBCSwahili19 May
Raheem Sterling kuipa kisogo Liverpool?
10 years ago
Habarileo04 Jul
JK: Wafadhili wameipa kisogo sekta ya maji
TANZANIA imefanikiwa katika sekta mbalimbali kutokana na misaada kutoka Benki ya Dunia, lakini haijafanikiwa katika sekta ya maji kutokana na sekta hiyo kutopewa kipaumbele na wafadhili.
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Madhara ya kuyapa kisogo masomo ya dini shuleni
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-h0l19NDac74/VJ7bcFfIeoI/AAAAAAACU5M/_sFqFEozxJA/s72-c/IMG_45030184266163.jpeg)
JAMES KIBOSHO AIPA KISOGO TWANGA, ASAINI MKATABA NA DIAMOND
![](http://3.bp.blogspot.com/-h0l19NDac74/VJ7bcFfIeoI/AAAAAAACU5M/_sFqFEozxJA/s640/IMG_45030184266163.jpeg)
10 years ago
Bongo Movies15 Feb
Ray Feki Awatapeli Watu Facebook, Ray Waukweli Atoa Angalizo!
“Wadau na wasanii wote mnaotaka kuigiza msidanganyike na account hii ya Facebook SIYO YANGU NI FAKE.
Maana napata tabu sana Ofisini kwangu watu wanakuja kudai Hela wakisema kuwa Eti Mimi nimetangaza usahili kupitia kwenye account hiyo hapo juu fake Kuwa nahitaji wasanii ni uongo mtupu mnaibiwa pesa zenu na namba anayotumia kuwaibia Watu Hela ni hiii hapa 0779 946440.
Msidanganywe ni matapeli hao Mimi Sijatangaza Chochote kwenye Facebook. Im done hope That You Have All understood...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcreM0c1gpUfwU*9fPZNSDp8jEe7K2VgKoF3-EGhGeUqn-mbVKjY6ZF*n2qfJYVD2zHLWAi9COROLFB4wrXpzx-d/chuhcu.jpg?width=650)
CHUCHU AJICHORA TATUU YA RAY, RAY AJIBU