SHILOLE: WANANGU WANANISEMA NIKIANDIKWA VIBAYA
![](http://api.ning.com:80/files/5Y36hMbSNo-*u*IsutjCLUbg7ugW1DXCvStNTUSBVkFwujjLYfP5B-1KDH-mgJ5EQSsYn4w2rPkKc4nCq25JSWdGgQlEniAW/SHILOLE.jpg?width=650)
Stori: Gladness Mallya MSANII wa filamu na muziki, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amefunguka kuwa kila akiandikwa kwa skendo mbaya, wanaye humsema na kumwambia hawataki kumuona akifanya hivyo tena. Zuwena Mohamed ‘Shilole’. Akistorisha na gazeti hili, Shilole kutokana na mkwara huo anaoupata kutoka kwa wanaye, Joyce na Rahma, amekuwa akijitahidi kuepukana na skendo mbaya ili asiwakwaze mara kwa mara....
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima09 Feb
Bunge la Katiba mpya tumeanza vibaya, tutamaliza vibaya
UTEUZI wa wajumbe wa Bunge la Katiba uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete juzi hauonekani kuwa na jambo jipya, umezingatia yale yale yaliyokuwa yanatarajiwa kwa kiwango kikubwa. Ni uteuzi uliowaweka walalamikaji...
10 years ago
Bongo Movies08 Dec
RAY: Nikiwa nao wananisifia, nikiwapa kisogo wananisema
VINCENT Kigosi ‘Ray’ amesema kuna baadhi ya watu wakiwamo wasanii, huwa wanawadharau wakongwe walioifanya tasnia hiyo kuwa juu na kuwasema vibaya pindi wanapowapa kisogo.
Ray alisema kuwa baadhi ya wasanii wachanga leo hii wanauza kazi zao na kukaa na wakongwe na kuwasifia lakini wakiwapa kisogo wanawasema vibaya.
“Tasnia hii watu waliisusa ilikuwa ikionekana kama ni kazi ya ziada tu wala si kazi inayomwezesha mtu kuendesha maisha yake, katika hali ngumu tulipigana na kuifikisha hapa,...
10 years ago
Mwananchi31 Jan
Wanangu tuache kusikilizia… Tutaumia
11 years ago
BBCSwahili07 May
Mama:'Mimi huwahami wanangu kwa Kondomu'
10 years ago
Bongo Movies04 Jul
Mwanaume aliyezaa na Shilole Atoboa Haya Kuhusu Yeye na Shilole
Yule mwanaume aliyezaa na Staa wa Bongo Movies na Fleva,Shilole,aitwaye Elias Makala ameibuka na kuzungumza na U heard na Soudy Brown kuwa hakuwahi kumbaka msaniii huyo kama ambayo anazungumza kwenye vyombo vya habari.
‘’Mimi namshangaa sana Shilole anavyosema kuwa nilimbaka,sijawahi kumbaka nilikuwa naishi naye kama mume na mke kwa zaidi ya miaka saba, na nilimuuliza kwanini anasema uongo kuwa nilimbaka alinijibu kuwa habari hiyo inamsaidia kumpaisha (kick) kwenye muziki wake,’’alisema...
10 years ago
Bongo Movies11 May
Kauli ya Shilole na Mchumba Wake Juu ya Picha Chafu za Shilole Akiwa Stejini
Haya ndiyo maelezo ya wawili hao kuhusiana na picha za mwanadada shilole zikimuonyesha wazi sehemu ya kifua chake wakati akiwa stejini anatumbuiza huko nchini Ubelgiji.
Show ni movement na uwezi mkataza mtu kupiga picha ukiwa kwa stage'na kuna nguo za show na nguo za kutoka out kikawaida'ukiruka ruka sana sidiria ni rahisi kuchomoka akina dada mnafaham na mtu yupo stejini anakua hajitambui kama nini kimetokea coz yupo stejin kwenye mood ya kazi na kila mtu ni binadamu na ndio mana wengine...
10 years ago
Bongo515 Dec
Shilole: Sio kwamba nimeacha kuigiza ila nafatutia timing, asema filamu ijayo itakuwa ni true story (Shilole In Dar)
11 years ago
BBCSwahili13 Jan
Nasri ajeruhiwa vibaya
10 years ago
Habarileo10 Oct
'Tofauti za dini zinatumika vibaya'
VIONGOZI wa dini za Kiislamu na Kikristo nchini wamesema tofauti za dini zao zimekuwa zikitumika vibaya kwa maslahi binafsi ikiwemo kisiasa na hivyo kusababisha migogoro. Wamesema licha ya kutumika kisiasa, pia tofauti hizo zinatumiwa vibaya kwenye uchumi, jamii na hata miongoni mwa watu binafsi jambo linaloleta migogoro kwenye jamii na kusababisha vifo, majeraha na uharibifu wa mali. Walitoa tamko hilo jana jijini Dar es Salaam wakati wa kufunga mkutano wao wa siku nne wa amani.