Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHILOLE: WANANGU WANANISEMA NIKIANDIKWA VIBAYA

Stori: Gladness Mallya
MSANII wa filamu na muziki, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amefunguka kuwa kila akiandikwa kwa skendo mbaya, wanaye humsema na kumwambia hawataki kumuona akifanya hivyo tena. Zuwena Mohamed ‘Shilole’. Akistorisha na gazeti hili, Shilole kutokana na mkwara huo anaoupata kutoka kwa wanaye, Joyce na Rahma, amekuwa akijitahidi kuepukana na skendo mbaya ili asiwakwaze mara kwa mara....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge la Katiba mpya tumeanza vibaya, tutamaliza vibaya

UTEUZI  wa wajumbe wa Bunge la Katiba uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete juzi hauonekani kuwa na jambo jipya, umezingatia yale yale yaliyokuwa yanatarajiwa kwa kiwango kikubwa. Ni uteuzi uliowaweka walalamikaji...

 

10 years ago

Bongo Movies

RAY: Nikiwa nao wananisifia, nikiwapa kisogo wananisema

VINCENT Kigosi ‘Ray’ amesema kuna baadhi ya watu wakiwamo wasanii, huwa wanawadharau wakongwe walioifanya tasnia hiyo kuwa juu na kuwasema vibaya pindi wanapowapa kisogo.

Ray alisema kuwa baadhi ya wasanii wachanga leo hii wanauza kazi zao na kukaa na wakongwe na kuwasifia lakini wakiwapa kisogo wanawasema vibaya.

“Tasnia hii watu waliisusa ilikuwa ikionekana kama ni kazi ya ziada tu wala si kazi inayomwezesha mtu kuendesha maisha yake, katika hali ngumu tulipigana na kuifikisha hapa,...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanangu tuache kusikilizia… Tutaumia

...Huku tangu jana unaambiwa hakuna komyunikesheni. Swaga za Bongo bwana, umeme tatizo; maji soo; migomo kama kawa. Huko bungeni badala ya kudiskasi ishu kama hizi 

 

11 years ago

BBCSwahili

Mama:'Mimi huwahami wanangu kwa Kondomu'

Mama mmoja mjini Nairobi amechukua tahadhari kuwalinda vijana wake kwa kuwapa Kondomu ili kuwalinda dhidi ya maradhi ya Ukimwi

 

10 years ago

Bongo Movies

Mwanaume aliyezaa na Shilole Atoboa Haya Kuhusu Yeye na Shilole

Yule mwanaume aliyezaa na Staa wa Bongo Movies na Fleva,Shilole,aitwaye Elias Makala ameibuka na kuzungumza na U heard na Soudy Brown kuwa hakuwahi kumbaka msaniii huyo kama ambayo anazungumza kwenye vyombo vya habari.

‘’Mimi namshangaa sana Shilole anavyosema kuwa nilimbaka,sijawahi kumbaka nilikuwa naishi naye kama mume na mke kwa zaidi ya miaka saba, na nilimuuliza kwanini anasema uongo kuwa nilimbaka alinijibu kuwa habari hiyo inamsaidia kumpaisha (kick) kwenye muziki wake,’’alisema...

 

10 years ago

Bongo Movies

Kauli ya Shilole na Mchumba Wake Juu ya Picha Chafu za Shilole Akiwa Stejini

Haya ndiyo maelezo ya wawili hao kuhusiana na picha za mwanadada shilole zikimuonyesha  wazi sehemu ya kifua chake wakati akiwa stejini anatumbuiza huko nchini Ubelgiji.

Show ni movement na uwezi mkataza mtu kupiga picha ukiwa kwa stage'na kuna nguo za show na nguo za kutoka out kikawaida'ukiruka ruka sana sidiria ni rahisi kuchomoka akina dada mnafaham na mtu yupo stejini anakua hajitambui kama nini kimetokea coz yupo stejin kwenye mood ya kazi na kila mtu ni binadamu na ndio mana wengine...

 

10 years ago

Bongo5

Shilole: Sio kwamba nimeacha kuigiza ila nafatutia timing, asema filamu ijayo itakuwa ni true story (Shilole In Dar)

Licha ya kuwa Shilole amefanikiwa zaidi kwenye muziki, lakini ameweka wazi kuwa hajaitupa kabisa fani yake ya uigizaji ambayo alianza nayo kabla ya muziki. Akizungumza kupitia kipindi cha Leo Tena cha Clouds Fm wakati akitambulisha wimbo wake mpya Dec.15, amesema kuwa bado anajipanga na atakuja kutoa filamu yake mpya siku za usoni. “Saizi nimejikita sana […]

 

11 years ago

BBCSwahili

Nasri ajeruhiwa vibaya

Mchezaji wa kiungo cha kati, wa Manchester City Samir Nasri, atafanyiwa uchunguzi zaidi wa jereha la goti alilopata wakati wa mechi ya klabu hiyo dhidi ya Newcastle.

 

10 years ago

Habarileo

'Tofauti za dini zinatumika vibaya'

VIONGOZI wa dini za Kiislamu na Kikristo nchini wamesema tofauti za dini zao zimekuwa zikitumika vibaya kwa maslahi binafsi ikiwemo kisiasa na hivyo kusababisha migogoro. Wamesema licha ya kutumika kisiasa, pia tofauti hizo zinatumiwa vibaya kwenye uchumi, jamii na hata miongoni mwa watu binafsi jambo linaloleta migogoro kwenye jamii na kusababisha vifo, majeraha na uharibifu wa mali. Walitoa tamko hilo jana jijini Dar es Salaam wakati wa kufunga mkutano wao wa siku nne wa amani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani