Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanangu tuache kusikilizia… Tutaumia

...Huku tangu jana unaambiwa hakuna komyunikesheni. Swaga za Bongo bwana, umeme tatizo; maji soo; migomo kama kawa. Huko bungeni badala ya kudiskasi ishu kama hizi 

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

SHILOLE: WANANGU WANANISEMA NIKIANDIKWA VIBAYA

Stori: Gladness Mallya
MSANII wa filamu na muziki, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amefunguka kuwa kila akiandikwa kwa skendo mbaya, wanaye humsema na kumwambia hawataki kumuona akifanya hivyo tena. Zuwena Mohamed ‘Shilole’. Akistorisha na gazeti hili, Shilole kutokana na mkwara huo anaoupata kutoka kwa wanaye, Joyce na Rahma, amekuwa akijitahidi kuepukana na skendo mbaya ili asiwakwaze mara kwa mara....

 

11 years ago

BBCSwahili

Mama:'Mimi huwahami wanangu kwa Kondomu'

Mama mmoja mjini Nairobi amechukua tahadhari kuwalinda vijana wake kwa kuwapa Kondomu ili kuwalinda dhidi ya maradhi ya Ukimwi

 

11 years ago

Mwananchi

Tunategemeana, tuache vita

Dunia sasa imegeuka kijiji, utandawazi ndiyo sera inayoendesha ulimwengu. Soko huria ndilo linalotamba dunia nzima kuanzia Marekani, Uingereza, Tanzania mpaka China na kote duniani, kila mtu anapigania kuwa na mtandao wa marafiki, na marafiki wengi wa biashara, wengi wanapigania kujifunza tamaduni za wengine kwa kasi ili waweze kudumu katika hii dunia maana ndiyo sera inavyosema.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bara na Visiwani tuache kushambuliana

WATU ambao huingilia mambo yasiyowahusu huambiwa: ‘Pilipili usiyoila yakuwashia nini?’ Hili ni onyo wanaloambiwa watu wanaoingilia mambo yasiyowahusu na zaidi wanapojifanya ndio wahusika wakuu. Nimeukumbuka usemi huu kutokana na    kusikia watu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tuache Serikali ifanye uasi?

MJADALA kuhusu uandikaji wa Katiba mpya umekuwa kama mgonjwa mahututi anayehitaji uangalizi maalumu. Mgonjwa mahututi asipoangaliwa vizuri anaweza kufa lakini akaacha madhara makubwa kwa wanaomhudumia. Tumesikia mengi katika mjadala wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tuache kulindana, tuliokoe taifa

KILA kukicha Watanzania wamendelea kusikia taarifa mbalimbali za ubadhirifu, uzembe, utendaji usioridhisha unaofanywa na watendaji waliopewa dhamana za kuongoza ofisi za umma. Makosa haya yamekuwa yakisababisha upotevu wa fedha nyingi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tuache ushabiki mchakato wa katiba

KATIBA ni kila kitu katika kuhakikisha ufanisi wa kisiasa, kiuchumi, kielimu, kiuzalishaji, kiafya, kiutunzaji mazingira na mengine yote yanayohusu ndoto na matarajio ya wanajamii. Kwa mujibu wa Montesquieu (Cohler na...

 

10 years ago

Mwananchi

Tuache matukio ya kihuni wakati wa uchaguzi

Ukiangalia jinsi siasa chafu zinavyoshika kasi nchini na hasa kuhusu masuala ya uporaji katika vituo vya polisi na mauaji, unaweza kujiuliza hivi ni ukweli au propagamda?

 

11 years ago

Mwananchi

Raza: Tuache utoto tujadili Katiba

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Mohamed Raza ametaka wajumbe wenzake kuheshimiana bila kujali wingi au uchache wa wajumbe kwenye makundi yao, kama kweli wana dhamira ya dhati ya kutunga Katiba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani