Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tuache matukio ya kihuni wakati wa uchaguzi

Ukiangalia jinsi siasa chafu zinavyoshika kasi nchini na hasa kuhusu masuala ya uporaji katika vituo vya polisi na mauaji, unaweza kujiuliza hivi ni ukweli au propagamda?

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Matukio mbalimbali pichani wakati wa Mkutano wa ufunguzi wa kampeni za CCM Jangwani leo

IMG_0256Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete (kulia) akizungumza na Makamu wake, Gharib Bilal (Kushoto) katikati ni Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein.

Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, John Pombe Magufuli akiwasalimia Wana-CCM waliofika viwanjani hapo.

Katibu wa Itikiadi na Uenezi, Nape Nnauye akiamsha shamrashamra.

Malkia wa Taarab, Khadija Kopa akitumbuiza sambamba na bendi ya TOT.

Wasanii wa Bongo Muvi, Wema Sepetu na Batuli wakiingia...

 

11 years ago

GPL

MATUKIO KATIKA PICHA WAKATI WA MAADHIMISHO YA WIKI YA ELIMU MKOA WA NJOMBE‏

Baadhi ya wanafunzi wa shule zilizopo mkoa wa Njombe wakifurahia maadhimisho ya wiki ya elimu yaliyofanyika kimkoa katika wilaya ya Makete Aprili 11, 2014.…

 

9 years ago

Michuzi

Ujumbe wa Waangalizi wa Uchaguzi wa EU watoa wito kwa ukamilishwaji haraka wa mchakato wa uchaguzi Zanzibar kulingana na kanuni za chaguzi shirikishi, za uwazi, zinazotekelezwa kwa wakati na za kuaminika

Ujumbe wa Waangalizi wa Uchaguzi wa Umoja wa Ulaya (EU EOM) kwa Tanzania unatoa tena wito kwa ukamilishwaji haraka wa mchakato wa uchaguzi Zanzibar kulingana na kanuni za chaguzi shirikishi, za uwazi, zinazotekelezwa kwa wakati na za kuaminika. 
Kufuatia Siku ya Uchaguzi tarehe 25 Oktoba, Ujumbe wa Waangalizi wa Uchaguzi wa Umoja wa Ulaya umebaki nchini kufuatilia chaguzi zilizoahirishwa Tanzania Bara na mchakato uliyositishwa Visiwani Zanzibar, baada ya tamko la Mwenyekiti wa Tume ya...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

— Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015-

assalam alaikum ndugu zangu tafadhalini tuwekeni hapa matokeo ya vituo na majimbo yetu kwenye comment chini hapo, tujaribu kuwa na ufasaha na kuwa na taarifa kamili kabla ya kuweka,ili tuwajuze ndungu zetu walio nje ya nchi […]

The post – Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015- appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yaonya siasa za kihuni, vurugu

Hawa GhasiaVYAMA vya siasa nchini vimetakiwa kuendesha siasa za kistaarabu na kutokuwa vyanzo vya vurugu katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambapo kwenye baadhi ya maeneo nchini viongozi wameripotiwa kutekwa wakati wakirejesha fomu huku maeneo mengine watu wakitajwa kuzuia uandikishaji wa wapiga kura.

 

10 years ago

Habarileo

Raia wa kigeni chachu ya vitendo vya kihuni

Mbunge wa Jimbo la Simanjiro, Christopher ole SendekaMJI wa Mirerani uliopo wilayani Simanjiro mkoani Manyara unadaiwa kuvamiwa na raia wa nje wanaotuhumiwa kuendesha vitendo vya kihuni.

 

9 years ago

Michuzi

KUDUMISHA AMANI WAKATI WA UCHAGUZI

WATANZANIA wametakiwa  kuendelea kudumisha amani hasa kipindi  cha uchaguzi kwani bado nchi yetu inasifika kwa amani dunia kotekauli hiyo imetolewa na  mwanaharakati wa amani Mhonda Joseph wakati akizungumza na waandishi wa habari jiji Dar es Salaam.


Mhonda amesema wananchi wahakikishe  amani inakuwepo  na hata  wageni wanaoishi hapa  kutokana na historia ya miaka ya nyuma  ya hapa nchini kuwa ya amani.
Aidha  amewataka watanzania wasikubali  baadhi ya watu  wachache kuja kuchochea utovu wa...

 

10 years ago

Habarileo

Sms wakati wa uchaguzi kuchujwa

Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame MbarawaKATIKA kuhakikisha uchochezi unaoweza kuvuruga amani ya nchi unadhibitiwa wakati wa uchaguzi, Serikali imeiagiza Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kuja na mwongozo wa kampuni za simu katika kudhibiti ujumbe mfupi kwa njia ya simu.

 

10 years ago

Habarileo

‘Kuweni makini wakati wa Uchaguzi Mkuu’

WAKATI nchi ikielekea kwenye mchakato wa kura ya maoni ya Katiba Inayopendekezwa na Uchaguzi Mkuu wa Rais Wabunge na Madiwani, waumini wa dini ya Kiislamu nchini wametakiwa kuwa makini na wanasiasa ambao wamekuwa chanzo cha uvunjifu wa amani na utulivu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani