RC Gama: Tuweke siasa pembeni kuisaidia Panone
MKUU wa Mkoa (RC), wa Kilimanjaro, Leonidas Gama, amewataka wapenzi wa soka mkoani hapa kuweka siasa pembeni na badala yake waungane kuisaidia Klabu Bingwa ya Mkoa, Panone FC inayojiandaa na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Tuweke propaganda pembeni, tuelekeze nguvu kujenga Taifa
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hA00SIFl6AUtcBclmCEs1u4fK3EmyeoVIHfIVjxKz98VGgJA2k0oaks3lKUrLBiT7AY85mGWVVHlEemGSpOn4l2yAM2kmc33/W2.png?width=650)
KISA SIASA, WOLPER AWEKA PEMBENI UIGIZAJI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--Qln2nlj_sI/XoMYEv7ufVI/AAAAAAALlqg/XdS6vz9iygIg5fOuYVfCzPEt-4bN-06pQCLcBGAsYHQ/s72-c/Pic-1-aAA-768x512.jpg)
Wabunge Waweka Siasa Pembeni na Kupambana na Corona
Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wameweka nguvu zao pamoja kupambana na ugonjwa wa Corona na kuweka itikadi zao za kisiasa pembeni.
Akizungumza leo Bungeni jijini Dodoma katika kikao cha kwanza cha Bunge la Bajeti la 2020/21, Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai amewataka wabunge na wadau wengine waweke umbali kati ya mtu na mtu (sociali distance) ili kuepuka maambukizi ya Corona.
Kwa kuzingatia hilo, jumla ya wabunge wasiozidi 150 ndio wanaoruhusiwa...
9 years ago
Bongo Movies13 Nov
Kisa Siasa, Wolper Aweka Pembeni Uigizaji
UPO? Habari ikufikie kuwa ‘mtoto mtamu’ anayesumbua katika tasnia ya filamu Bongo, Jacqueline Wolper Massawe ameweka pembeni masuala ya uigizaji kwa muda usiojulikana kwa kile alichodai ni kujipa muda wa kupumzika na kujikita zaidi kwenye mambo ya siasa.
Rafiki wa karibu na Wolper aliyeomba hifadhi ya jina lake mwanzoni mwa wiki hii, aliliambia gazeti hili kuwa Wolper kwa sasa amekolea sana kwenye mambo ya siasa na kuona kama amekuwa akipoteza muda mwingi kwenye mambo ya uigizaji.
Baada ya...
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
Panone FC yaongoza ligi Kilimanjaro
TIMU ngeni katika Ligi Daraja la Tatu ngazi ya Mkoa wa Kilimanjaro, Panone FC, hadi sasa inaongoza ligi hiyo ikiwa imejikusanyia pointi sita baada ya kushuka dimbani mara mbili. Panone...
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
Panone FC na safari ya mafanikio ya soka
TIMU ya soka ya Panone FC ‘Matajiri wa Moshi’, ndio mabingwa wa Mkoa wa Kilimanjaro msimu wa 2013/2014, wakipokea kijiti kutoka kwa Machava FC. Tangu Panone wajitwalie taji Machi 30...
9 years ago
Michuzi17 Sep
PANONE FC KUFUNGUA DIMBA NA JKT OLJORO
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2014/11/mbeya-city.jpg)
10 years ago
TheCitizen11 Jun
Gama still in hot water
10 years ago
Mtanzania09 Jun
RC Gama alipuliwa bungeni
NA ARODIA PETER, Dodoma
MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama, amehusishwa na tuhuma za kutaka kumiliki ardhi kwa njia za kifisadi katika maeneo mbalimbali, ikiwamo Wilaya ya Rombo mkoani humo.
Kutokana na hali hiyo, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, imemwomba Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi kuzuia mchakato wowote haramu utakaofanywa na Gama kuhusu ardhi.
RC Gama, alitajwa bungeni na Waziri Kivuli wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Halima Mdee...