Tuweke propaganda pembeni, tuelekeze nguvu kujenga Taifa
Tuliambiwa kwamba Abdulrahman Kinana ni mtu hatari sana kwa mbinu za kisiasa, anaweza kuviyumbisha vyama vya upinzani na hata kuvifuta kabisa. Dalili zimeanza kujitokeza.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima23 Apr
RC Gama: Tuweke siasa pembeni kuisaidia Panone
MKUU wa Mkoa (RC), wa Kilimanjaro, Leonidas Gama, amewataka wapenzi wa soka mkoani hapa kuweka siasa pembeni na badala yake waungane kuisaidia Klabu Bingwa ya Mkoa, Panone FC inayojiandaa na...
10 years ago
Mwananchi28 Jun
Wao wakiitazama Ikulu, sisi tulitazame taifa huku tukiweka uchama pembeni
Kwa hali ilivyo sasa ninaona jotoridi ikizidi kupanda katika vyama vya siasa, hasa ukizingatia michakato ya ndani ya vyama ya kuteua watakaopewa dhamana ya kugombea nafasi za udiwani, ubunge na Urais. Kwa kiasi kikubwa kabisa, naona Wananchi wakigubikwa na mjadala wa nani ni nani na huenda nani atapata nini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Ew9lsJazTC4/Xm_dvnO7KqI/AAAAAAALkAY/JswAr-Zvo78Qi_qGzWBrAYoNgDAPj8w9QCLcBGAsYHQ/s72-c/52190608_303.jpg)
ASASI ZA KIRAIA ZAUNGANA WILAYANI ILALA KWA AJILI YA KUJENGA NGUVU YA PAMOJA ILI KUKABILIANA NA ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI
Na Said Mwishehe,Michuzi Blogu ya jamii
KUENDELEA kukithiri kwa athari za mabadiliko ya tabia ya nchi wilayani Ilala jijini Dar es Salaam , asasi mbalimbali za kiraia wilayani humo zimeungana kwa ajili ya kujenga nguvu ya pamoja kuhakikisha wanakabiliana na athari zitokanazo na mabadiliko ya tabia yanchi.
Miongoni mwa nguvu wanayotaka kujenga katika wilaya hiyo ni pamoja na kuhakikisha kunakuwa wa kutosha kwa jamii kuhusu mabadiliko ya tabianchi ambapo watapata nafasi na uwezo wa kuripoti...
KUENDELEA kukithiri kwa athari za mabadiliko ya tabia ya nchi wilayani Ilala jijini Dar es Salaam , asasi mbalimbali za kiraia wilayani humo zimeungana kwa ajili ya kujenga nguvu ya pamoja kuhakikisha wanakabiliana na athari zitokanazo na mabadiliko ya tabia yanchi.
Miongoni mwa nguvu wanayotaka kujenga katika wilaya hiyo ni pamoja na kuhakikisha kunakuwa wa kutosha kwa jamii kuhusu mabadiliko ya tabianchi ambapo watapata nafasi na uwezo wa kuripoti...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xLJQfJNYZ-zJt25GDYYLdnWqrB5YUhIE4x8y0EwLqfTdATREZvCfI4TKa72lzxSw4jjh9Yu2Wh8vtW1IYwmxvfLJxD5J2EF6/nature.jpg?width=650)
NATURE APIGA SHOO YA NGUVU TAIFA
Mwanamuziki Juma Nature na kundi lake la Wanaume Halisi wakifanya yao ndani ya Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 Uwanja wa Taifa.…
10 years ago
GPLAZAM FC, SIMBA SC NGUVU SAWA TAIFA
TIMU ya Simba SC na Azam FC zimeshindwa kutambiana leo katika mechi ya Ligi Kuu Bara baada ya kutoka sare ya bao 1-1. Katika mechi hiyo iliyopigwa Uwanja wa Taifa jijini Dar, bao la Simba limefungwa na Emmanuel Okwi dakika ya 19 wakati la kusawazisha la Azam likifungwa na Kipre Tchetche dakika ya 57. Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi alitolewa uwanjani kwenye machela baada ya kujeruhiwa na kukimbizwa hospitali. ...
10 years ago
Mwananchi30 Apr
Dk Hussein Mwinyi, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
Historia yake
Dk Hussein Mwinyi alizaliwa Desemba 23, 1966 huko Unguja, Zanzibar (Desemba mwaka huu atatimiza miaka 49). Dk Mwinyi ni mtoto wa Mzee Ali Hassan Mwinyi (Rais wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) na mama Sitti Mwinyi. Kwa sasa Dk Mwinyi ni Mbunge wa Kwahani Zanzibar na ni Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
11 years ago
GPLYANGA WATOSHANA NGUVU NA AZAM UWANJA WA TAIFA LEO
Patashika langoni mwa Yanga SC. ...Wanaume kazini. Wachezaji wa Yanga wakishangilia bao lao kwa kucheza…
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WAL8XSbH9ik/VkdjQlcUqjI/AAAAAAAIF0c/bKxxK4gqr9E/s72-c/OTH_3087.jpg)
TAIFA STARS YATOSHANA NGUVU NA ALGERIA KWA BAO 2-2
![](http://4.bp.blogspot.com/-WAL8XSbH9ik/VkdjQlcUqjI/AAAAAAAIF0c/bKxxK4gqr9E/s640/OTH_3087.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-M91OizY_iU4/Vkdjp3U-MrI/AAAAAAAIF1U/6eEvFKxMKok/s640/_MG_1183.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ewtGeW3gRL8/U3I8blUm5qI/AAAAAAAFhXg/bmZ07ztr6nQ/s72-c/unnamed+(74).jpg)
DR MWINYI AWASILISHA Bajeti ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
![](http://4.bp.blogspot.com/-ewtGeW3gRL8/U3I8blUm5qI/AAAAAAAFhXg/bmZ07ztr6nQ/s1600/unnamed+(74).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QSHRaITrTPY/U3I8d8PxKHI/AAAAAAAFhXo/TEqabO2l3yI/s1600/unnamed+(77).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OFNqiqyWoic/U3I8f083JdI/AAAAAAAFhXw/_JZwPu4iPgY/s1600/unnamed+(72).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-g-xFnhFtUY0/U3I8hOjThkI/AAAAAAAFhX4/bzb09JPz_Gk/s1600/unnamed+(75).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania